Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kete ya ushindi 🤸🤸Hili swala kitatuumiza sana, maana Watani watalitumia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kete ya ushindi 🤸🤸Hili swala kitatuumiza sana, maana Watani watalitumia sana
Acha wivu na husuda wewe mimi bosi wangu(hakika aishi miaka mingi) ni pedeshee mkubwa sana hapa mjini mocimbou de playa ila hana biashara za unga na anaimbwa mnoJuzi nilipohudhuria Live band hapo DSM na kuona sijui Mapendeshee yanatajwa Tena kwenye nyimbo zile nilianza kuhisi hii biashara ya Madawa Haina muda mrefu inaanza.
Hongereni Mamlaka kuweza kuwakamata hao Wahusika ila muhimu wasije kuhonga pesa na kuachiliwa.
Wanaishabikia kiushabiki sababu kuna neno simba limetajwa huko, ila hao ni vidagaa tu, kuna mapapa madon wenyewe wengine ni taikoon wakubwa wengine wako serikalini huko, haitoweza kufa kamwe.Biashara haiwezi kufa hii, imeshikwa na wakubwa. Na usishangae jamaa wakatoka fasta tuu.
Na Abas Gulamali naye umemsahau au ulikuwa bado uko viuoni mwa dingi yako?Kwa Simba siyo story hiyo,ni mapunda tangu enzi za Dewji senior
Sio wote ila wengi wanapiga hizo mishe MkuuAcha wivu na husuda wewe mimi bosi wangu(hakika aishi miaka mingi) ni pedeshee mkubwa sana hapa mjini mocimbou de playa ila hana biashara za unga na anaimbwa mno
Binti, nkuulize wewe hapo, mana umekuja kwa pupa, tengeneza hoja acha pupa.Una akili timamu kweli?
Poleni.Ni doa tayari
Mkuu Ni kweli kbsa .wahuni Ni wengi mjini DSMNatamani isiwe habari yenye ukweli maana.
Mbona mjini hapatakalika
Umeeleweka Sana [emoji38] kwa waliosoma Cuba tuHalafu huyu kocha wa makipa si ndio huwa wanatumia mipira mingi sana kwenye mazoezi..kwahiyo inawezekana ikawa wakisafiri..anyway sijui nilitaka nisemeje.!
Haujakosea mkuu, na kweli ni ULEVI, hauna tofauti na heroin au ngada wanavyowaita simba kwa sasa...Ulevi wa Simba na Yanga nalo ni tatizo lingine kubwa sana
mzigo wa boss unajulikana narudia tena ukiona mzigo umekamatwa ujue kuna watu wamechomana no way unaweza kukamatwa na kingine usichokijua watu awamezi kete now, wanabeba kwenye begi kama wewe unavyobeba nguo na mtu akamatwi, kuanzia polisi mpaka watu wa scanner wanajua nini kinachoendlea naomba niishie apo.Hapo tutabishana milele, wanakaguliwa vizuri tu. Ili mzigo upite pale lazima scanner asiwe makini
Waliotajirika kwa biashara ya madawa ya kulevya si rahisi kuacha. Hakuna nyengine yenye faida kama hiyo.😂
Ndio mkurugenzi wa safia group of companies na ofisi zao zipo Posta.
Jamaa ni bilionea wa shilling Nashangaa alishatajirika na kawekeza vya kutosha na alishakamatwa sana lakini bado alikuwa muuza ngada.
Kweli pesa haitoshi, aisee[emoji23]
Ndio mkurugenzi wa safia group of companies na ofisi zao zipo Posta.
Jamaa ni bilionea wa shilling Nashangaa alishatajirika na kawekeza vya kutosha na alishakamatwa sana lakini bado alikuwa muuza ngada.
Binti punguza hasira sawa, pia acha ushabiki maandazi.Sawa dada tulikuwa tunakuelekeza.
Mimi wakati nasoma kichwa cha habari, kwenye news alert nilitamani pawe tetesi.Natamani isiwe habari yenye ukweli maana.
Mbona mjini hapatakalika