Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti elewe comment ndio ujibu..Wasaidie takukuru wakakamatwe hao GSM lkn kusema maneno matupu ni umbea wa mtaani usio na faida.
Itabidi mtulie tu sasa hadi nyongo ziishe. 🤣🤣Hili swala kitatuumiza sana, maana Watani watalitumia sana
Hili tukio halijanibadili utimamu wangu.Kama na wewe unataka kuwa punda bakiaamooo😄
you are very right , huyu jamaa sio mara ya kwanza kukamatwa na hizo ishuCambiaso mtoto wa wailes, ulikuwa muda tu alijificha na uwekezaji wa dala dala, malori, shamba la ngombe kule kisarawe two, Cambiaso academy chini ya kundi la kampuni inaitwa safia group.
Alianza kujihusisha na UNGA kipindi wale wa Pakistan walivunja rekodi ya kukamatwa na madawa kule Tanga na kutoroka pale mahakama ya kisutu chini ya ulinzi mkali(kwa kifupi walitoroshwa) na ishu ilimuhusisha marehemu jaji Upendo Msuya.
Alijificha kwenye uwekezaji, alikuwa gwiji wa utakatishaji pesa na huyu Mwarami sijajua kaingiaje lakini hawa wote ni watoto wamezaliwa na kukulia pale mitaa ya wailes uwanja wa TEMEKE SQUAQ karibu na baa maarufu ya BULIAGA.
Kundi moja na TIKO TIKO alikamatwa kipindi cha MAGUFULI.
Kwa Leo nimeishia hapa.
Duh!Cambiaso mtoto wa wailes, ulikuwa muda tu alijificha na uwekezaji wa dala dala, malori, shamba la ngombe kule kisarawe two, Cambiaso academy chini ya kundi la kampuni inaitwa safia group.
Alianza kujihusisha na UNGA kipindi wale wa Pakistan walivunja rekodi ya kukamatwa na madawa kule Tanga na kutoroka pale mahakama ya kisutu chini ya ulinzi mkali(kwa kifupi walitoroshwa) na ishu ilimuhusisha marehemu jaji Upendo Msuya.
Alijificha kwenye uwekezaji, alikuwa gwiji wa utakatishaji pesa na huyu Mwarami sijajua kaingiaje lakini hawa wote ni watoto wamezaliwa na kukulia pale mitaa ya wailes uwanja wa TEMEKE SQUAQ karibu na baa maarufu ya BULIAGA.
Kundi moja na TIKO TIKO alikamatwa kipindi cha MAGUFULI.
Kwa Leo nimeishia hapa.
Naam mkuu.you are very right , huyu jamaa sio mara ya kwanza kukamatwa na hizo ishu
Leo kwangu kesho kwakoMbumbumbu fc wamethibitisha kuwa ni Punda😄
Wanamichezo hawakaguliwi mkuu, ndiyo maana ndiyo mapundaNani kakudanganya?
Pale mnakaguliwa wote kasoro VIPs pekee.
Sisi ni wazalendo wa nchi yetu huwezi tukuutaaamoo😄Leo kwangu kesho kwako
Pembeni yake kuna uwanja wa mchangaCambiaso mtoto wa wailes, ulikuwa muda tu alijificha na uwekezaji wa dala dala, malori, shamba la ngombe kule kisarawe two, Cambiaso academy chini ya kundi la kampuni inaitwa safia group.
Alianza kujihusisha na UNGA kipindi wale wa Pakistan walivunja rekodi ya kukamatwa na madawa kule Tanga na kutoroka pale mahakama ya kisutu chini ya ulinzi mkali(kwa kifupi walitoroshwa) na ishu ilimuhusisha marehemu jaji Upendo Msuya.
Alijificha kwenye uwekezaji, alikuwa gwiji wa utakatishaji pesa na huyu Mwarami sijajua kaingiaje lakini hawa wote ni watoto wamezaliwa na kukulia pale mitaa ya wailes uwanja wa TEMEKE SQUAQ karibu na baa maarufu ya BULIAGA.
Kundi moja na TIKO TIKO alikamatwa kipindi cha MAGUFULI.
Kwa Leo nimeishia hapa.
Watu mnajua watuCambiaso mtoto wa wailes, ulikuwa muda tu alijificha na uwekezaji wa dala dala, malori, shamba la ngombe kule kisarawe two, Cambiaso academy chini ya kundi la kampuni inaitwa safia group.
Alianza kujihusisha na UNGA kipindi wale wa Pakistan walivunja rekodi ya kukamatwa na madawa kule Tanga na kutoroka pale mahakama ya kisutu chini ya ulinzi mkali(kwa kifupi walitoroshwa) na ishu ilimuhusisha marehemu jaji Upendo Msuya.
Alijificha kwenye uwekezaji, alikuwa gwiji wa utakatishaji pesa na huyu Mwarami sijajua kaingiaje lakini hawa wote ni watoto wamezaliwa na kukulia pale mitaa ya wailes uwanja wa TEMEKE SQUAQ karibu na baa maarufu ya BULIAGA.
Kundi moja na TIKO TIKO alikamatwa kipindi cha MAGUFULI.
Kwa Leo nimeishia hapa.
Ni doa tayariItabidi mtulie tu sasa hadi nyongo ziishe. [emoji1787][emoji1787]
Unafurahia sababu watu wanaoharibu vijana wetu kwa madawa ya kulevya wametiwa mbaroni au unafurahia sababu umeona anatokea simba, nijibu ili nijue wewe ni aina ya mwanamke mwenye akili mbovu au unajielewa.Itabidi mtulie tu sasa hadi nyongo ziishe. [emoji1787][emoji1787]