Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Heshima ya mtu kwenda kuhiji Macca naona imeshuka sana ,Hijja imeonekana nyepesi na rahisi sana kwavile dini tumeipotezea,Kwani ukienda kuhiji macca ukirudi unakuwa malaika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima ya mtu kwenda kuhiji Macca naona imeshuka sana ,Hijja imeonekana nyepesi na rahisi sana kwavile dini tumeipotezea,Kwani ukienda kuhiji macca ukirudi unakuwa malaika?
Duuu, Vituo vya Redio navyo vimekuwa sehemu ya Money Loundering. Watu wanajificha humo kumbe wanapiga deal haramu. Naona na mzee wa Jambia naye ameanza kwenda Uropu. Kitenge anaenda, Oscar Oscar anaenda.Bdo Eddo Kumwembe, Siku zake zinahesabika Kale Kabinti Kaandishi ka Habari Kwa Mwananchi Some1 Kulangwa amekula mvua ya miaka 40 jera huko Italy
Una ushahidi au mihemko tu ya kunogesha habari?!Bdo Eddo Kumwembe, Siku zake zinahesabika Kale Kabinti Kaandishi ka Habari Kwa Mwananchi Some1 Kulangwa amekula mvua ya miaka 40 jera huko Italy
Na ukianza kusema huyu mtu una mashaka nae unaambiwa wewe ni haterDuuh! Saa ingine unaeza shangaa huyu mtu mbona ana mafanikio tena yale makubwa ambayo ameyapata kwa muda mfupi kumbe yamegubikwa na ujanja ujanja tu, siku yakifurumuka ndio inakuwa kama hivi.
Huyo Cambiasso Mange alishawahi kumnyooshea kidole.Yametimia.
😄😄😄😄😄Sasa naanza kuelewa kwa nini mzamiru anaitwa kiungo punda
ni kwa kazi yake ya kujituma awapo uwanjaniSasa naanza kuelewa kwa nini mzamiru anaitwa kiungo punda
Haya majina ya maustazi yanaharibiwa na hawa wahuni
Binti acha kudandia vitu ovyo ovyo, soma comment uelewe.Kafungue kesi acha kulia lia humu
Binti mbona una hasira,GSM katajwa na kamishna? Jifunze kudeal na vimeo vyako bila kuwahusisha wengine, kamishina kawataja sababu waneshikwa na kg 34+.
mjini Mipango mingi sana kama yote, usione mtu anapush rickshow na showoffs kibao kwenye Jamii. mjini mipangoKocha wa makipa simba mbaroni kwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroine.
Sambamba na boss wa Cambiaso
================
Kocha huyo, Mwalami Sultan ni kati ya watuhumiwa 9 akiwemo Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif wanadaiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroin zenye Kilo 34.89.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Gerald Kusaya Kusaya amesema watuhumiwa wote wamekamatwa katika maeneo mbalimbali ndani ya nchi katika Operesheni iliyofanyika Oktoba, mwanzoni na Novemba 2022.
View attachment 2417370View attachment 2417371