Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Drugs keep me company a promise I can keep, take a pill with a lean watch how fast I fall a sleep
Juice WRLD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Drugs keep me company a promise I can keep, take a pill with a lean watch how fast I fall a sleep
😂
Eddo Kumwembe, Shafii, Salama Jabir, Mkude, Tshabalala, Manula, ts a matter of time watadakwaMtu anazuga kama kocha kumbe ni pusha anawatembezea wachezaji wake ngada
Heshima ya mtu kwenda kuhiji Macca naona imeshuka sana ,Hijja imeonekana nyepesi na rahisi sana kwavile dini tumeipotezea,
Hapo tutabishana milele, wanakaguliwa vizuri tu. Ili mzigo upite pale lazima scanner asiwe makiniWanamichezo hawakaguliwi mkuu, ndiyo maana ndiyo mapunda
Ndo tuseme ni baba yako mzazi ndio amekamatwa, sidhani kama ungekua hata hapa muda huu unaandika hilo jina
Mizigo mingine hupitishwa na magari ya mafuta, chakula etcWanamichezo hawakaguliwi mkuu, ndiyo maana ndiyo mapunda
Mimi mkongwe wa temeke kwa umri wangu wa 42yrs ila kwa sasa sipo temeke ila nimekuwa nae na kucheza cha ndimu na cambiaso ila sio mwaramiWatu mnajua watu
Okay mkuu,nimekubali inawezekana mini ndiyo Nina wrong informationHapo tutabishana milele, wanakaguliwa vizuri tu. Ili mzigo upite pale lazima scanner asiwe makini
Aiseee, ndo anapoteza vyote maana DCEA watataifisha[emoji23]
Ndio mkurugenzi wa safia group of companies na ofisi zao zipo Posta.
Jamaa ni bilionea wa shilling Nashangaa alishatajirika na kawekeza vya kutosha na alishakamatwa sana lakini bado alikuwa muuza ngada.
Yule mwenye kidoti?Eddo Kumwembe, Shafii, Salama Jabir, Mkude, Tshabalala, Manula, ts a matter of time watadakwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sababu wanaipenda simba? [emoji23]Eddo Kumwembe, Shafii, Salama Jabir, Mkude, Tshabalala, Manula, ts a matter of time watadakwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na Muharami mpaka ana SigdaUnawezakuta wahusika walikuwa watu wa swala tano kweli
GSM hawezi mzamisha METL sababu wako kwenye industry tofautiSio mchezo wa kuchafuana huu baada ya kushindwana au kupandishiana mabega?
Waliotuhumia kubeba hiyo biashara na wengine kukamatwa kipindi fulani si ndo waliachiwa HURU kisha siku ile akasema "wanasema nimewaachiwa, muende mkawachunguze huko"?
Si ndo hao hao lakini wanaotajwa huku uswahilini kuwa wanaoendesha kila kitu kivulini au?
Tycoon A anazamisha Tycoon B ili amiliki territory, walisema kipindi kile. Pengine misimu 4 ile Tycoon A alipiga mpunga, sasa Tycoon B karudi kwenye kiti, anamaliza kabisaa
OkayMizigo mingine hupitishwa na magari ya mafuta, chakula etc
Ndio hapo hapo uwanja maarufu umewatoa wachezaji maarufu kuanzia hakina Ramadhani Remy hadi huyu dogo Hassan Dilunga na Kambi alikuwa meneja wa huyu dogo