Kocha wa Makipa Simba SC na wengine 8 wakamatwa na Dawa za Kulevya
Kocha wa makipa simba mbaroni kwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroine.

Sambamba na boss wa cambiaso

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

================


Kocha huyo, Mwalami Sultan ni kati ya watuhumiwa 9 akiwemo Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif wanadaiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroin zenye Kilo 34.89.

Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Gerald Kusaya Kusaya amesema watuhumiwa wote wamekamatwa katika maeneo mbalimbali ndani ya nchi katika Operesheni iliyofanyika Oktoba, mwanzoni na Novemba 2022.
Kwa lile Bata la Wachezaji wa Cambiaso Soccer Academy, Hadhi yao na Mengineyo sishangai leo kusikia kuwa kumbe Mmiliki ni Drug Baron na anashirikiana na Watu wengine.

Shikamoo sana Kocha wa sasa wa Kagera Sugar FC Mecky Mexime ( ambaye ulikuwa Kocha wa Cambiaso Soccer Academy) kwa kuwa Mjanja, Kushtuka, kutoa Ushirikiano na kusepa Mapema kabka ya Msala Kukukuta.
 
Halafu huyu kocha wa makipa si ndio huwa wanatumia mipira mingi sana kwenye mazoezi..kwahiyo inawezekana ikawa wakisafiri..anyway sijui nilitaka nisemeje.!
Na wanamichezo hawakaguliwi...... ukiona wamebeba mipira mingi wakishuka tu airport mipira wakubwa wanaichukua fasta..... muulize Mwameja aligoma kuwapa mpira waliposhuka airport.........wakambembeleza na kumpa chake ndiyo akawapa mpira
 
Back
Top Bottom