Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko hata kwa mkopo siji.Mahama kutoka Punda fc hamia wananchi wazalendo 🏃🏃
Mlinzi wa milingoti atakuwa salama kweli,Punda hawaja mpiga kelebu kweli ya teke🥱
Duh!Natamani isiwe habari yenye ukweli maana.
Mbona mjini hapatakalika
Mbumbumbu fc wamethibitisha kuwa ni Punda😄Hatari na aibu kubwa sana
Kama na wewe unataka kuwa punda bakiaamooo😄Huko hata kwa mkopo siji.
Hatutaki soka la sembe. Waibuliwe wote wanaohusika na hizi taka kwenye soka
Kwa lile Bata la Wachezaji wa Cambiaso Soccer Academy, Hadhi yao na Mengineyo sishangai leo kusikia kuwa kumbe Mmiliki ni Drug Baron na anashirikiana na Watu wengine.Kocha wa makipa simba mbaroni kwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroine.
Sambamba na boss wa cambiaso
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
================
Kocha huyo, Mwalami Sultan ni kati ya watuhumiwa 9 akiwemo Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif wanadaiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroin zenye Kilo 34.89.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Gerald Kusaya Kusaya amesema watuhumiwa wote wamekamatwa katika maeneo mbalimbali ndani ya nchi katika Operesheni iliyofanyika Oktoba, mwanzoni na Novemba 2022.
Hatari sana...
Aiseee yamekuwa hayo tena?Kwa hiyo salamu zimewafikia Punda fc[emoji1]
Daaah Halafu Mmiliki wa Cambiaso Academy ni Alhaj ambaye alienda Kuhiji Macca Eti [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1316]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Get Rich or Die TryingKwa hiyo hii ya hawa majamaa nayo tuiite bahati mbaya?
Hatari na nusu🏃Hatari sana...
Aisee tutakoma aiseeSimba ya mateja
Acha ushamba..hayo ni maisha yake binafsi.Salamu zimeshawafikia mbumbumbu fc🚶
Na wanamichezo hawakaguliwi...... ukiona wamebeba mipira mingi wakishuka tu airport mipira wakubwa wanaichukua fasta..... muulize Mwameja aligoma kuwapa mpira waliposhuka airport.........wakambembeleza na kumpa chake ndiyo akawapa mpiraHalafu huyu kocha wa makipa si ndio huwa wanatumia mipira mingi sana kwenye mazoezi..kwahiyo inawezekana ikawa wakisafiri..anyway sijui nilitaka nisemeje.!
Ila sio kwa kuwa Punda,punda analiwa na🦁,fisi na hata wo mwitu anawezaje kupona kwa mfano😄😄Get Rich or Die Trying
Bahati mbaya tuIla sio kwa kuwa Punda,punda analiwa na[emoji881],fisi na hata wo mwitu anawezaje kupona kwa mfano[emoji1][emoji1]