Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hawakaguliwi wanamichezo mkuuKwamba inapita kwenye mipira? Ila lazima ule na mtu wa scanner za airport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakaguliwi wanamichezo mkuuKwamba inapita kwenye mipira? Ila lazima ule na mtu wa scanner za airport
Thema hiviii hayo ni maisha ya wanambumbumbu efuusiii🤸Acha ushamba..hayo ni maisha yake binafsi.
wataozea jela hawa. hawasikii kabisaKamishna Jenerali wa DCEA Bw. Gerald Kusaya ametangaza watuhumiwa 9 wakiongozwa na Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Mwalami Sultan kuhusika kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin yenye Kilo 34.89.
View attachment 2417341
Mwalami Sultan
Point..hayo ni maisha binafsi ya huyo kocha..huko Yanga mbona mashoga kibao tu sema kwa vile hakuna taasisi ya kuwakamata mashoga nao wangekuwa wamekamatwa.Mtu yeyote bila kujali taasisi anayotoka anaweza tenda kosa lolote la jinai.. Tusizihusishe taasisi Kwa makosa binafsi ya wafanyakazi wake.
Nani kakudanganya?Hawakaguliwi wanamichezo mkuu
VIP naye anakaguliwa pia, waulize wanao tumia izo VIP kama uwa awakaguliwiNani kakudanganya?
Pale mnakaguliwa wote kasoro VIPs pekee.
Kijana umerudi?Ngoja waje kukwambia una wivu kwa maana wewe hauna hayo magari na majumba ya kifahari.
Respect to all who own clean money. Sio kila tajiri ni mhalifu.
Unakasirika nini ndugu,punda ni Punda hawezi kugeuka kuwa sungura 😄Kama yalivyo maisha ya Ushoga ya wala mihogo.
Nani huyo mkuu. Nikaangalie Kama ameshapost hii breaking news!Nilijua tu cambiasso pale kuna namna, yule mchambuzi uchwara hachezi michezo hii au alikuwa anawapamba bila kujua kinachoendelea?
Wakiwemo wasiojulikanaNi habari ya kweli, imetangazwa muda huu
Pia Mmiliki wa Cambiaso na wachezaji kadhaa
Kwa kweeli.Get Rich or Die Trying
POTI wako magori atapona kweliKwa lile Bata la Wachezaji wa Cambiaso Soccer Academy, Hadhi yao na Mengineyo sishangai leo kusikia kuwa kumbe Mmiliki ni Drug Baron na anashirikiana na Watu wengine.
Shikamoo sana Kocha wa sasa wa Kagera Sugar FC Mecky Mexime ( ambaye ulikuwa Kocha wa Cambiaso Soccer Academy) kwa kuwa Mjanja, Kushtuka, kutoa Ushirikiano na kusepa Mapema kabka ya Msala Kukukuta.
Hili swala kitatuumiza sana, maana Watani watalitumia sanaKwa kweeli.
Sijaongelea VIP gate, nimeongelea VIP i.e Rais, Makamu, WMkuu, Spika, Jaji MkuuVIP naye anakaguliwa pia, waulize wanao tumia izo VIP kama uwa awakaguliwi