Kocha wa Makipa Simba SC na wengine 8 wakamatwa na Dawa za Kulevya
Kamishna Jenerali wa DCEA Bw. Gerald Kusaya ametangaza watuhumiwa 9 wakiongozwa na Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Mwalami Sultan kuhusika kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin yenye Kilo 34.89.

View attachment 2417341
Mwalami Sultan​
wataozea jela hawa. hawasikii kabisa
 
Kwa lile Bata la Wachezaji wa Cambiaso Soccer Academy, Hadhi yao na Mengineyo sishangai leo kusikia kuwa kumbe Mmiliki ni Drug Baron na anashirikiana na Watu wengine.

Shikamoo sana Kocha wa sasa wa Kagera Sugar FC Mecky Mexime ( ambaye ulikuwa Kocha wa Cambiaso Soccer Academy) kwa kuwa Mjanja, Kushtuka, kutoa Ushirikiano na kusepa Mapema kabka ya Msala Kukukuta.
POTI wako magori atapona kweli
 
Back
Top Bottom