Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Jidanganye Mo ni tapeli mzoefu toka enzi ya ubinafsishaji. Zile mali ni umafia wa Baba yake Gulamabbas na mjomba wake Azim. Tafuta wazee wa zamani wakupe mkanda mzima wa umafia wa familia ya akina dewji πππMo alisema utajiri upo kwenye kilimo
Biashara halali huwa hazilipi ukilinganisha na biashara haramu. Ni vigumu kuacha biashara yenye faida mara 50 mpaka 100 ya hela uliyowekeza πππKabisa mkuu.
Sijajua kwanini? Alishaset standard ya maisha yake na ku invest biashara halal
Mungu asaidie kwa kweli π’Mkuu uhalisia ndio uko ivyo hakuna tajiri mkubwa unayemjua wewe ambae biashara halali imemfikisha apo alipo.
Matajiri wengi wana historia chafu ila ndio hivyo tena hapa Tanzania jamii zimewakubali tayari kusema otherwise ni kupigana na ukuta.Jidanganye Mo ni tapeli mzoefu toka enzi ya ubinafsishaji. Zile mali ni umafia wa Baba yake Gulamabbas na mjomba wake Azim. Tafuta wazee wa zamani wakupe mkanda mzima wa umafia wa familia ya akina dewji πππ
Uyo ndio kabisa ana skendo ya kuleta sukari zilizo expire brazil na kuja kuziuza ukuMo alisema utajiri upo kwenye kilimo
Huu ndio ukweli. Matajiri wengi wa Bongo wana historia chafu na hatari sana. Unakuta utajiri wake haueleweki. Vyanzo vikuu vya mtaji havijulikani wala kueleweka π, kumbe vyanzo halisi ni pesa chafu/haramuMatajiri wengi wana historia chafu ila ndio hivyo tena hapa Tanzania jamii zimewakubali tayari kusema otherwise ni kupigana na ukuta.
Kuna timu flani kuna mwaka wafadhili wake walikua vinara kwenye utapeli wa madini na ndio tegemeo kwenye ufadhili.
Ukifuatilia story za utajiri wa bakhresa utasikia alianzia kushona viatu mpaka kufikia apo alipo na wajinga nao wanakubali ivi kweli ushone viatu uje kumiliki mali kama zile[emoji3][emoji3]Matajiri wengi wana historia chafu ila ndio hivyo tena hapa Tanzania jamii zimewakubali tayari kusema otherwise ni kupigana na ukuta.
Kuna timu flani kuna mwaka wafadhili wake walikua vinara kwenye utapeli wa madini na ndio tegemeo kwenye ufadhili.
[emoji3][emoji3][emoji3]Huu ndio ukweli. Matajiri wengi wa Bongo wana historia chafu na hatari sana. Unakuta utajiri wake haueleweki. Vyanzo vikuu vya mtaji havijulikani wala kueleweka [emoji23], vyanzo halisi ni pesa chafu/haramu
1. Pesa ya ufisadi
2. Biashara haramu/magendo (madawa, ujangili)
3. Kuwepa kodi
4. Utapeli
5. Utajiri wa uchawi
6. Utajiri wa connection na wakubwa
7. Tenda za wiziwizi
8. Kuchezea mikopo ya mabenki
9. Umafia
10. Dhuruma
11. Kuleta vitu feki
12. ..............
Mtaendelea kujaza wenyewe.
Halafu mtu akitajirika kwa mbinu hizo anasema vijana fanyeni kazi, changamkia fursa [emoji23][emoji23][emoji23], nilianza na mtaji wa aftatu leo ni bilioni tatu [emoji23][emoji23]
Kuna mizombi nayo inakubali eti ni kweli jamaa alianza kuhuza karanga tu sasa ivi anamiliki scania 100 na ghorofa 8 pale kariakoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
ππππUkifuatilia story za utajiri wa bakhresa utasikia alianzia kushona viatu mpaka kufikia apo alipo na wajinga nao wanakubali ivi kweli ushone viatu uje kumiliki mali kama zile[emoji3][emoji3]
Wapo waliofanikiwa kwa biashara halali bna acheni wivu.Huu ndio ukweli. Matajiri wengi wa Bongo wana historia chafu na hatari sana. Unakuta utajiri wake haueleweki. Vyanzo vikuu vya mtaji havijulikani wala kueleweka π, kumbe vyanzo halisi ni pesa chafu/haramu
1. Pesa ya ufisadi
2. Biashara haramu/magendo (madawa, ujangili)
3. Kuwepa kodi
4. Utapeli
5. Utajiri wa uchawi
6. Utajiri wa connection na wakubwa
7. Tenda za wiziwizi
8. Kuchezea mikopo ya mabenki
9. Umafia
10. Dhuruma
11. Kuleta vitu feki
12. Kujiuza/kudanga
13..............
Mtaendelea kujaza wenyewe.
Halafu mtu akitajirika kwa mbinu hizo anasema vijana fanyeni kazi, changamkia fursa πππ, nilianza na mtaji wa aftatu leo ni bilioni tatu ππ
Hebu wataje wafanyabiashara wakubwa watano wa kitanzania wenye fedha safi na halali. ππ. We taja tu. Uzuri humu jf wapo watu wazima wenye mafaili mengi ya watu πππ hebu wataje watano tu πWapo waliofanikiwa kwa biashara halali bna acheni wivu.
Hebu weka hapa hao matajiri wa janja janja!? Acheni kuhalalisha umaskini wenu.
Kabisa mwanawane. Ila jamaa alitumia hela vizuri...alikuwa anapata bonge la burudani. Tutafute hela jamani ata kama utaishia selo lakini angalau miaka miwili mitatu kitaa umetesaLile Tako la sio la mchezo mchezo nahisi tayari watu wenye hela zao wameanza kufukuzia lile TAKO πππ
Biashara ya madawa kwenye nchi zote duniani viongozi wanahusika. Wee angalia program moja national geographic uwasikie wauza unga wanavyosema wenyewe. Wanakwambia kabisa sie tunaongea ili public ijue hao wanauwatumainia kuwasaidia kupambana na hili janga la madawa ndio kwanza mstari wa mbele katika kufanikisha hii biashara
Mwanawane kumbe nawe jobless...basi tutafute commection na sie tukauze unga tuje tutese kitaaa na mademu pisi kaliππππ
Mara wanasema aliuza urojo, kisha akashona viatu, kisha akaanzisha mgahawa wa azam na bakery, kisha akawa mfanyabiashara wa mchele,ngano na sukari halafu GHAFLA AKAPEWA KIWANDA CHA KUSAGA NGANO cha serikali ENZI ZA UBINAFSISHAJI ππππ. na watu wazima wanaamini πππ. Hata mimi jobless naona huo ni uongo ππππ
Twende mbele, turudi nyuma. Jamaa kafaidi like tako ππ. Na binti wa watu kawa muislamu kabisa na kaacha kupost tako mtandaoni. ππππ. Mwamba kafaidi kwelikweli na inasemekana alimtia mimba na kuzaa nahisi tayari. ππKabisa mwanawane. Ila jamaa alitumia hela vizuri...alikuwa anapata bonge la burudani. Tutafute hela jamani ata kama utaishia selo lakini angalau miaka miwili mitatu kitaa umetesa
Huwezi shinda hii vita mzeya...wee yule jamaa wa mexico de guzman alikuwa anasafirisha kilo 300 kwenye tunnel under the america mexican border na kilo mtaani is worth over 80 million unadhani huyo utamshika kirahisi. Sii vipolisi vyote navihonga tuu
Ndio ukweli wenyewe huo.Hata ukiangalia Series ya El Chapo Guzman ambayo ni true story utaona hii biashara ina watu wakubwa mno,mfano kwenye ile series El Chapo rais anachaguliwa kwa matakwa ya ma drug lords na akiingia madarakani anahakikisha biashara zao hazipati shida[emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487]