Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Ngoja waje kukwambia una wivu kwa maana wewe hauna hayo magari na majumba ya kifahari.Duuh! Saa ingine unaeza shangaa huyu mtu mbona ana mafanikio tena yale makubwa kumbe yamegubikwa na ujanja ujanja tu, siku yakifurumuka ndio inakuwa kama hivi.
Unajilipua tu, ukidakwa bahati mbayaDuuh! Saa ingine unaeza shangaa huyu mtu mbona ana mafanikio tena yale makubwa ambayo ameyapata kwa muda mfupi kumbe yamegubikwa na ujanja ujanja tu, siku yakifurumuka ndio inakuwa kama hivi.
Kwamba inapita kwenye mipira? Ila lazima ule na mtu wa scanner za airportHalafu huyu kocha wa makipa si ndio huwa wanatumia mipira mingi sana kwenye mazoezi..kwahiyo inawezekana ikawa wakisafiri..anyway sijui nilitaka nisemeje.!
Watataifisha kila mali yakeKwa Cambiasso long time nilikua binafsi namshuku. Sema fresh, mwana alikua ana madharau mshamba huyo. Ayaoge sasa msala huo lazima abonye kizenji.
Salamu zimeshawafikia mbumbumbu fcπΆZa ndaaaani kabisa
Kwa hiyo salamu zimewafikia Punda fcπHata wasanii nao hutumika sana kama Punda
Kwa hiyo hii ya hawa majamaa nayo tuiite bahati mbaya?Unajilipua tu, ukidakwa bahati mbaya
Hadi Mdhunguu naye kajigeuza pundaπΉKamishna general wa mamlaka ya Kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya Gerrad Kusaya ametangaza Watuhumiwa 9 wakiongozwa na mmiliki wa Kambiaso sports academy Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Simba Mwalami Sultan kuhusika kukamatwa na madawaView attachment 2417343View attachment 2417344
Mahama kutoka Punda fc hamia wananchi wazalendo ππNimeumia sana kama Mwanasimba kindakindaki
Acha kumchafua kama hauna uhakika, mo hawez kufanya biasharq za hovyo hivyo.....Biashara ya Mo
Hivi hili lina ukweli eti ndugu zangu? π€£π€£Simba ya mateja