Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Julieth??Kuna yule mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mwananchi some Kulangwa if am not mistaken jina lake nae alikamatwa Huko Italy mpaka Leo hajatoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Julieth??Kuna yule mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mwananchi some Kulangwa if am not mistaken jina lake nae alikamatwa Huko Italy mpaka Leo hajatoka.
Kama hujui ni bora kuuliza kuliko kudhalilisha ukoo wako hapa jfVIP naye anakaguliwa pia, waulize wanao tumia izo VIP kama uwa awakaguliwi
Kumbe zile story zao za kuwa wameanzia kuuza maandazi ni geresha?Huu mtandao ni mkubwa uyo aliyekamatwa ni kidagaa tu kuna watu matajiri tanzania hii wanaviwanda na makampuni makubwa biashara hii ndio imewatoa na bado wanaendelea kuifanya izo zingine ni vihini macho tu ukipewa story zao utasikia eti walianza kushona viatu na leo hii mabilionea[emoji16][emoji16]
Bwana ake ni nani apo ?Kwa tako lile mbona kesho tuu anapata billionea mwengine....hainaga makombo ile mbususu
Vijana clean bado wapo wa kutosha tu..mtu akiwa shoga anapunguza nguvu kazi kwa kiasi ambacho ni negligibleLakini ndiyo tunamaliza nguvu kazi ya Taifa hivyo.
Huku Ushoga kule Madawa ya Kulevya mwisho wa Siku tunakuwa na Taifa lenye Vijana ombaomba tu
Mkuu uhalisia ndio uko ivyo hakuna tajiri mkubwa unayemjua wewe ambae biashara halali imemfikisha apo alipo.Kumbe zile story zao za kuwa wameanzia kuuza maandazi ni geresha?
Ukiwakuta kwenye Makanisa/Misikiti yao wanavyotoa Sadaka na misaada utasema ni Watakatifu
Hii ni JF..Mkuu mshahara 6 Mil na bado maisha yako ya tabu? Wazee nyie mnaishi Mykonos, Malaysia au hii hii TZ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila picha ya tako la Sancho itakuwa ni utapeli tu hapa.Kwa tako lile mbona kesho tuu anapata billionea mwengine....hainaga makombo ile mbususu
Na utopolo machoko kama kipa wenuNdio vile tena, tushapata jina jipya mjini....UNGA FC, hebu twende Entertaiment kule tukaendelee na story
Hizi NI fichaka vya uhalifu 👉 WCB, BBS, THTWanajifanya kutafuta vipaji kumbe wana yao, shenzi zao kabisa
Hakuna utajiri halali mzee ,utauoataje sasa? Lazima uzulumu ila ndio ujue Kuna kifo na jela.
Wanapenda sana mkuu tena sanaSijui kwanini wale ndugu zetu katika imaaan huwa wanaipenda sana hiyo biashara.
Hiyo na ya pembe za ndovu.
Wana zima issue ya majaliwa kuvunja mlango wa ndege Kwa kasia (mwiko).Oya sikia sikia nimekatisha mtaani hapa kuna mdau ni Pusha mzOefu namaanisha ni Pusha mzOefu miaka na miaka anasambaza, anauza na ana vijana wanasambaza na Polisi wanamjua na wanamfahamu kabisa kabisa na hua wanakuja kumtembelea mara kwa mara nasikia hua wanakuja kuchukua mgao wao, how does this happen kwa hawa au dili limebuma wamegoma kutoa mgao kwa Polisi au nini kimewakuta?