lakini mkuu kule wanaenda kucheki boli.kwahio wameona haina haja yakupoteza muda kuandaa sehem za wanywa pombe,walakitimoto namachoko wakati Hilo siolengo na wameona haina haja.Ushoga ni swala la faragha hakuna haja ya kujua mambo ya watu au wao watutangazie, pombe na kitimoto watu wawekewe sehemu zao ambazo wanaweza kutumia, is trick lakini ndio hivyo tena ukishaingiza mambo ya imani ni ngumu sana na ndio maana nchi nyingi hazitaki kuingiliano wa dini na sheria zake
Lisa sa ivi chimbo lako la kuuza pap.a ni wapi napita kila mara pale buguruni sokoni kwa nyuma ulipokuwaga sikuoniIla ushoga asili yake si ndio uko uko uarabuni au imekuaje tena..tehteh
Kitimoto na uchoko marufuku QatarHaram yako sio haram ya kila mtu boss, kwenu kuoa wake wanne ni sawa lakini wakristu ni haramu kabisa, tuvumiliane tuu la sivyo hapatakalika
Ndiyo hapo shangaa hata wewe hongo watoe ila mengine kama bia na nguruwe ni dhambi[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa kwa nini waliomba wawe wenyeji, tena kwa kuhonga kabisa?
Na wameshajifunza sizani kama hiyo nafasi watakuja ipata tena.Huu ni mwanzo na mwisho kwa watoto wa mamdogo Hajra kupewa uenyeji wa kombe la Dunia labda Dubai pekee wanaweza kufikiriwa
Hahahahaha wako wengi tuu tunakula nao, tupo na mmoja wenu right now tunakula kitimoto na anakipenda kwelikweliHakuna muislam anayekula Kitimoto, sema unakutana na Wasukuma wanaotumia majina yanayitumiwa zaidi na waislam kusema wanakula kitimoto.
Story za vijiweni bwanaMakampuni ya pombe yaliamini wao ndo wenye pesa ndefu na bila wao hakuna mashindano.. Wameonyeshwa jeuri ya pesa ya mafuta na gas.
Mpunga umewekwa mpaka wamepoteana.
Wajikite kwenye mashindano ya Quraan, maswala ya kuzuia kitimoto na pombe ni ujinga, though kwenye ushoga naungana nao.Wao wangekuwa wanaandaa mashindano ya dini tu hiyo michezo inayokusanya dunia nzima waachie wenyewe, wao wawe wanaenda kucheza tu huko kwa wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaambiwa rushwa ni Suna, kuoa mtoto mdogo ni Suna. Hawa jamaa kichwani wamebeba matope.Ndiyo hapo shangaa hata wewe hongo watoe ila mengine kama bia na nguruwe ni dhambi[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unatukana dini za wengine basi na sisi tutaanza kuuliza kama watakubali wanaobaka watoto wa miaka sita waruhusiwe kuhudhuria kwenye mashindano.Pelekeni ushoga Roman huko Qatar hawataki pombe na ushoga mmeshikwa pabaya safari hii wakristo View attachment 2418848
Huyu jamaa ni mwehu sana Kama warabu wanaona maisha kwao ni mazuri na kitakatifu basi wasililie kwenda ulaya wanapopaona pa mashoga wabaki arabuni.Wewe unatukana dini za wengine basi na sisi tutaanza kuuliza kama watakubali wanaobaka watoto wa miaka sita waruhusiwe kuhudhuria kwenye mashindano.
Kwenye umende ni kosa pia ni dhambi kubwa, ila hayo mengine mmmWajikite kwenye mashindano ya Quraan, maswala ya kuzuia kitimoto na pombe ni ujinga, though kwenye ushoga naungana nao.
Kwani hao wakimbia nchi wote wanaotokea huko mbona wanakimbilia huko huko magharibi,, angalia hao wasomali na wahabeshi mbio zote USA wakati humo Qatar ni karibu tu wasiende.Huyu jamaa ni mwehu sana Kama warabu wanaona maisha kwao ni mazuri na kitakatifu basi wasililie kwenda ulaya wanapopaona pa mashoga wabaki arabuni.
Janga la roho.Utaambiwa rushwa ni Suna, kuoa mtoto mdogo ni Suna. Hawa jamaa kichwani wamebeba matope.