Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Msemaji Wa Clouds Atasema Nini
 
Pre season Hawa jamaa walifanya mazoezi na wauza matikiti
Haya ndo matokeo
 
Kwa kweli timu ya Yanga bado sana. Usajili mlioufanya hauna tija. Sajilini wachezaji wenye uwezo.

Wachezaji kama wakina Ngassa wamepitwa na wakati. Masikini Yanga timu ninayoipenda, kuna tatizo gani?
Hii Club ni bora tuu ifutwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…