Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Uongozi wa Yanga eti bado unasubiri miujiza kutoka kwa Zahera. Sjui Zahera kawapa nn wanajagwani? Yanga inaadhilika huku mapro aliowasajili takribani 3 wapo benchi wanapunga upepo tu. Mbaya zaidi timu inacheza ovyo ovyo ovyo kabsa. Ni muda wa uongozi kufanya maamuzi magumu. La sivyo mtaendelea kulokota kunyavu na kuadhilika km msipomtimua huyu Mbuta mbutu wenu. Shauri enu!
Msemaji Wa Clouds Atasema Nini
 
Kwa kweli timu ya Yanga bado sana. Usajili mlioufanya hauna tija. Sajilini wachezaji wenye uwezo.

Wachezaji kama wakina Ngassa wamepitwa na wakati. Masikini Yanga timu ninayoipenda, kuna tatizo gani?
Hii Club ni bora tuu ifutwe
 
Back
Top Bottom