mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika midogo imewaponza Viongozi na Kocha wa Yanga.Tuliwaonya msiwadharau Pyramid ni klabu ngeni kwa Tanzania lakini ni Klabu yenye ukwasi mkubwa ambao umewawezesha kusajili vizuri.Mpira sio maneno mmevuna mlichopanda.