Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Sijui ka unaelewa nini maana ya neno jamii ya..au kwa hio tuseme chui ni paka tofauti ni ukubwa maumbo kutokana na walipo ..kwamba chui yuko porini na paka anazunguka kwenye ma bar huku? Au tuseme chui ni duma tofauti maumbo? NO ni jamii moja ila ni aina mbili tofauti

Kenge , mamba, komodo ni jamii ya mijusi hata wale caiman

Hivo huyo sio kenge
Asante mkuu kwa kunisaidia kumpa somo huyo mwamba.
 
Mleta mada koboko unamjua kweli wewe?
Unazungumzia huyu koboko anaeuliwa na kuliwa na mangoose kila siku au black mamba gani?

Kwa taarifa yako hiyo sumu ya black mamba ni kama pafyumu tu kwa hilo dubwasha, kamwe haliwezi kudhurika na sumu ya nyoka yoyote hapa duniani.

Lakini yeye kwa asili ana uwezo wa kumla huyo black mamba akiwa na mangoose wake pamoja kwa muda wa dakika 5 tu atakuwa ashamaliza shughuli yake na kutafuta sehem ya kujipumzisha. Ogopa mnyama ambae akimpiga jeraha moja tu mnyama yoyote lazima aanguke na kufariki au kuuwawa kwa kuliwa na yeye mwenyewe komodo dragon. Watu tushashuhudia wanyama wakubwa kama vile farasi akipigwa ambush 1 tu na baada ya dakika farasi kasanda na akatafunwa akiwa mzima anajiona.
Sasa unawezaje kulifananisha dubwasha hilo na huyu mchumba koboko anaedhibitiwa hata na nguchiro anaeitwa mangoose?

Nakutumia na picha yake ili uone utofauti wao wa kimaumbile. Kuanzia muonekano, ukubwa, na mishe zake za uwindaji afu ujipe jibu mwenyewe kama huyo koboko wako anaweza hata kusogea karibu na hilo dudu na akaondoka salama. Hapo sijazungumzia venom (sumu) kali aliyonayo mnyama huyo kwa kiumbe chochote kinachoishi hapa chini ya jua.
 

Attachments

  • images (28).jpeg
    images (28).jpeg
    47.7 KB · Views: 9
  • images (14).jpeg
    images (14).jpeg
    28.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220812-181951.jpg
    Screenshot_20220812-181951.jpg
    37.1 KB · Views: 7
Black mamba ni hatari kwa binadam tu, ila kuna baadhi ya viumbe mfano wale aina ya nguchiro huwa wanamtafuna black mamba vizuri, ila hili dubwasha linaweza kumtafuna huyo nguchiro na black mamba wake kwa pamoj na hakuna madhara yoyote linalalopata zaidi ya kushiba na kutafuta mahali pa kujipumzisha tu.
Hili dude linakula sana Nyani. Ukweli ninalichukia sana tena sana kuna clip moja niliona limemmeza nyani akiwa hai tena waliburuzana sana baadae sijui lilimvunja mgongo. Lipotee tu halina maana.
 
Komodo ana venom and ni mviziaji ila hajakutana na wakali wa kazi kama simba, chui, jaguars etc. In general cat family ni top predators ukiondoa binadamu. Ukiona jinsi jaguar anavyoua alligators kwenye maji huyu komodo ni supu anararuka dakika tu.
 
Hili dude linakula sana Nyani. Ukweli ninalichukia sana tena sana kuna clip moja niliona limemmeza nyani akiwa hai tena waliburuzana sana baadae sijui lilimvunja mgongo. Lipotee tu halina maana.
Yani hili dubwasha hakuna mtu anaeweza kulipenda kutokana na umbwaji wake.
Halifagilii mnyama wa aina yeyote. Yan anaejipendekeza anga lake analiwa mzima mzima bila huruma.
 
Back
Top Bottom