Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #181
Asante mkuu kwa kunisaidia kumpa somo huyo mwamba.Sijui ka unaelewa nini maana ya neno jamii ya..au kwa hio tuseme chui ni paka tofauti ni ukubwa maumbo kutokana na walipo ..kwamba chui yuko porini na paka anazunguka kwenye ma bar huku? Au tuseme chui ni duma tofauti maumbo? NO ni jamii moja ila ni aina mbili tofauti
Kenge , mamba, komodo ni jamii ya mijusi hata wale caiman
Hivo huyo sio kenge
Hapo kwenye meno kwa kweli sina idea yoyote. Maana akimng'ata mtu mfano mguuni lazima amchane au amtoboe mguu. So sijui anatoboaje toboaje. Pengine ana meno ila madogo madogo sana kama msumeno.
Mleta mada koboko unamjua kweli wewe?
Ndio ulevi wangu mkuu napenda sana
Ukitaka hata dawa yake nakupa khalifu. Maoneo yangu ya kujidai wako kibao; una lingine?Wewe unamjua?
Unazungumzia huyu koboko anaeuliwa na kuliwa na mangoose kila siku au black mamba gani?Mleta mada koboko unamjua kweli wewe?
Hili dude linakula sana Nyani. Ukweli ninalichukia sana tena sana kuna clip moja niliona limemmeza nyani akiwa hai tena waliburuzana sana baadae sijui lilimvunja mgongo. Lipotee tu halina maana.Black mamba ni hatari kwa binadam tu, ila kuna baadhi ya viumbe mfano wale aina ya nguchiro huwa wanamtafuna black mamba vizuri, ila hili dubwasha linaweza kumtafuna huyo nguchiro na black mamba wake kwa pamoj na hakuna madhara yoyote linalalopata zaidi ya kushiba na kutafuta mahali pa kujipumzisha tu.
😂😂😂😂 aisee umenifurahisha sana.
Yani hili dubwasha hakuna mtu anaeweza kulipenda kutokana na umbwaji wake.Hili dude linakula sana Nyani. Ukweli ninalichukia sana tena sana kuna clip moja niliona limemmeza nyani akiwa hai tena waliburuzana sana baadae sijui lilimvunja mgongo. Lipotee tu halina maana.
Jikaze mwaya, kama likija usiku ingia PM uniite nije kuliangamiza mara 1.Bora ningeisoma mchana mwee😭
😄SawaJikaze mwaya, kama likija usiku ingia PM uniite nije kuliangamiza mara
Sawa best?
😂😂😂 aiseee...Ukitaka hata dawa yake nakupa khalifu. Maoneo yangu ya kujidai wako kibao; una lingine?
Asante kwa kunisaidia kuuliza mkuu 🙏Wewe unamjua?
Afrika magharibi nafikiri hawapo hawa. Maybe unazungumzia ile mikenge inayopambana kwa kutumia mkia.Srilanka huko na afrika mgharibi
Watoweke tu tubaki salamaNi moja ya viumbe waliohatarini kutoweka duniani kwasasa, wamebaki wachache sana.
Asante mkuu, tunajaribu kupeana elimu kuhusu wanyama mbali mbali ambao baadhi ya wenzetu hawawajui. Ubarikiwe sana mkuu.