Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa na picha lingepiga mileage kubwa😂Tangazo lingeambatanishwa na picha ingekuwa bomba au we unaonaje
Afya tuchek pia tutumie condom.
Tumia pulizioCondoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Utakuwa tayari kusubiri miezi mitatu?Condom zanini tena love kavu ndio tamuuuuu banaaaaa .Mnacheki afya kisha mnapeana mautamu kwaraha zenyuu!
Condom zipo na Zina nukaUKIMWI upo na unaua
Condoms haziko free size
Sio Tangazo sihitaji mpenzi kutoka jf
Kama umefanya utafiti utagundua hili
Kichwa majiEndelea kujifunza mkuu utagundua kumbe hata hilo neno condom ni jina la mtu. Na utagundua kuna mpaka condom za ngozi za wanyama. Na utagundua kuna kondomu zinazuia mimba tu na si ngoma......
Pole ndio maisha.Kichwa maji
Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kumbe
Kumbe mpaka sasa kuna watu bado wanatumia vyondomu?Condom haipwelepweti Mimi inabana mpaka misuli inataka kupasuka chuma kigumu