Kosa kubwa la Malecela wa NIMR: Rais kaona mbali athari za ZIKA

Serikali imesema hakuna zika ....
 
vip kama angepewa onyo, kungekuwa na tatzo, au kila nayekosea utawala huu, lazima atumbuliwe?
 
Mbona yule waziri aliyetudanganya kuwa dawa zipo mahospitalini, na hapo hapo katibu mkuuwa wizara ya Afya anasema dawa hakuna...!MBONA HAJATUMBULIWA?
 
Tz nima sna. Mi niko pembeni ya ulingo
Endeleeni kicheza ngoma zenu. Mwishoe mshindi atajulikana.
 
Ili useme ugonjwa umeudhibiti lazima uwe na baseline data na trend yake ya ueneaji. Lazima useme hapo awali incidence ilikuwa X% kwa mwaka lakini baada ya hatua A,B na C za kuudhibiti sasa incidence yake ni Y%. Je, tafiti gani ilifanyika hapa nchini kuonyesha uwepo na ukubwa wa ZIKA? Je, hatua zipi za kiudhibiti zilizofanyika (lete na reference). Hii issue ni suala la siasa na kukomoana
 
Sasa ulitaka ukweli ufichwe au? ?sijakuelewa
 
Hv huyu Dr. Mwele alikuwa hafahamu taratibu au kimemkuta nn? au jinamizi limeikuta familia hii. Kwani angekaa kimya ingekuwaje
 
Mwele zilipendwa ameshateuliwa mr yunusu ndio mkurugenzi mkuu kwa sasa
 
Ufafanuzi Murua. Kosa hilo lipo kwenye Kifungu 9(1) Cha Sheria ifuatayo:
 
Mimi nadhan wewe ndio mjinga. Umerely kwenye mere words za mtoa ufafanuzi (Tuntemeke) Utadhan yeye ndio spokesman wa wizara. Usiwe mvivu, information za kazi ya NiMR zipo wazi, majukumu yake yapo wazi. Kukisaidia bofya hapa (NIMR Tanzania).

Hakuna popote palipoandikwa kuwa utafiti unapaswa upelekwe kwanza wizarani ndio uwe published. Wote nadhan mnajichanganya, mnachanganya kutoa taarifa ya utafiti juu ya Uwepo wa Zika na Taarifa ya Uwepo wa Zika. Alicho kifanya Dr. Mwele ni kutumia Lugha ambayo kila mtanzania ataielewa juu ya utafiti uliofanywa juu ya uwepo wa zika. Kimsingi kafafanua nini kipo ndan ya huo utafiti huo ambao yeye hakushiriki kuufanya in person.

Yeye km mkurugenz wa shirika hilo anayohaki yote kutangaza matokeo ya tafiti mbali mbali zinazohusiana na afya. Ni moja ya function za nimr.

Utaratibu wa kupublish research findings upo wazi co tu Tanzania Bali duniani. Kutaka watu wapitishe matokeo ya utafiti serikalin kabla ya kiyatangaza nadhan ni kutafuta kuziba midomo watafiti. Watafiti wanapaswa kufanya kazi independently. Kuwaingilia.ni kuparalyze brains za wataalam. Ni kuua fikra za taifa.
 
Ufafanuzi Murua. Kosa hilo lipo kwenye Kifungu 9(1) Cha Sheria ifuatayo:
View attachment 447335
Hili bandiko la kisheria umeliweka kwa kuwa umelielewa au ni ktk jitihada ya kumsulubisha Dr. Mwele? Hili ni la kutangaza uwepo wa magonjwa mbali mbali incl. Zika. Sio sheria ya kutangaza matokeo ya utafiti. Alichokifanya Dr. Mwele ni kutangaza matokeo ya utafiti uliokuwa presented kwenye scientific conference. Kazi za kutangaza ugonjwa co za Nimr, ni kazi ya wizara. Mbona tunajivuruga?
 
Amen RA
 
Patriote,
NIMR ingekuwa kama TWAWEZA, Dada yangu Mwele Ntuli alikuwa sahihi kutangaza matokeo kwa utaratibu alioutumia. Kwa upande wa Serikali, kuna taratibu zake. Nazo ni hizo zilizobainishwa kwenye kifungu tajwa na hususani kwenye suala la uwepo wa magonjwa.

Kwa mujibu sheria hiyo Dr. Mwele amekosea. Hata hivyo, kuna Sheria na Busara ya kawaida. Kwa busara ya kawaida kuna kujiuliza kama je, ilishatosha kosa hilo kumtengua Mwele au alistahili onyo? Nayo ni sehemu ya majadiliano.

Lasivyo, kwa kiasi kidogo ninacho mfahamu Dr. Mwele , ana hekima, uzoefu na ujuzi usiotiliwa shaka ktk tasnia hii ya magonjwa na tafiti. Tatizo lipo kwenye utaratibu wa kuuhabarisha umma.
 
wanapewa madaraka ya nini kama hawaruhusiwi kutoa tafiti zake? basi taasisi zote ziongozwe na kurugenzi ya ikulu.
Notifiable diseases,nationally and internationally kuna Sheria zake ndugu sivyo hivyo unavyotaka wewe.no shortcuts with international issues.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…