Kosa kubwa la Malecela wa NIMR: Rais kaona mbali athari za ZIKA

'Kukaa gizani na kusema mimi sitak kujua hata kama ugonjwa upo haitusaidii' Dr.Mwele Malecela kwenye video ya Mwananchi online
 
Asante kwa taarifa na ufafanuzi Mubashara.
 
Taratibu za serikali za kutangaza matokeo ya utafiti ni zipi mkuu?
 
We huo utaft wako umeufanyia WAP?nawew utaka cheo nin man huko siokujipendekeza had kumepitiliza..mijitu mingne bana
 
Labda tusaidiwe zika inasabishwa na nini?

Kama ni mbu ndio wanaosambaza virus, ukisema una control ina maana kuna chanjo au hao mbu umewadhibiti.

Sasa what is stopping the epidemic bila ya jitihada zozote za kupambana na zika, au labda tafiti zao zinasema katika watu 5000 watakaong'atwa na mmbu mmoja tu ndio anaweza pata.

Vinginevyo it does not make sense on how it is not a national problem given the nature of its causes and on what little has been done to control it.
 
Huyu Prof Yunus Mgaya si alikuwa Udsm? Sasa kila ma-prof wanakuwa wakurugenzi wa taasisi za umma ,who gonna teach at university? Aau Ma T.A
 
Huo ndio ukweli mtupu. sasa wenye hasira na serikali na jpm in particular utawasikia wanavyobwabwaja.
 
Kaka utaratibu ndio unaozungumziwa. Soma uelewe usibishe tu kila kitu
 
..lakini kumfukuza kazi ndiyo kumezua taharuki kubwa na kusababisha athari/ damage kubwa zaidi.

..at least wangempa nafasi Dr.Mwele kama mtafiti afafanue atolee maelezo matokeo ya utafiti wake.

..kwa hatua ya kumfukuza haraka haraka Mkurugenzi mkuu wa NIMR kunajenga picha kwamba serikali inaficha ukweli.

..wizara na serikali kwa ujumla wanatakiwa wewe very careful na habari hizi. Wanatakiwa wachukue hatua za haraka na tahadhari ili kuepusha nchi kuingia ktk mlipuko wa zika.

Cc TUNTEMEKE
 

Shida kubwa iko kwenye utaratibu wa kugawana vyeo, hiyo nafasi ilipaswa kutangazwa na watu waombe ili atakayepatikana ajue ana ripoti kwa nini?

Sasa waziri wa Afya anateuliwa na Raisi na Dr Mwele kateuliwa Raisi hapo wote wana ndevu, Dr. mwele ataripoti kwa nani?
 
inawezekana ni kweli amekiuka taratibu lkn najaribu kuwaza zaidi.hivi huyu Dr Mwele si ni mtoto wa mzee Malecela ambaye ni miongoni mwa waasisi wa chama anachokiongoza mh Rais?ni hivi karibuni tu huyu huyu mtukufu alitengua uteuzi wa mke wa mzee Malecela mama Anne Kilango.kibinadamu inaonekana ni kama maamuzi ya mtukufu yanailenga moja kwa moja familia ya mzee huyu na inaweza ikawa na madhara makubwa kibinadamu.ilitosha kumuonya badala ya hatua kama aliyofanya mtukufu.hata hao ni binadamu wenye nyama na damu na mioyo inayosikia uchungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…