Kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kuwa na mke mmoja

Kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kuwa na mke mmoja

General Nguli

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2022
Posts
1,190
Reaction score
2,508
Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.

Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.

Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.

Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.

Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.

LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
 
Watanzania sijui tunashida gani? kuna member kaweka thread kuelezea hali ya shule ya msingi huko Tabora, na kuna wananchi wanaishi huko na wanapeleka watoto wao kwenye hiyo shule pamoja na hayo mazingira labda pengine kungekuwa na mjadala wana namna ya kuboresha mazingira yetu ili watoto wetu wapate huduma nzuri, badala yake tuko tunajadili mambo ya kuwa na wanawake wawili, hao watoto watakao zaliwa kwa hao wanawake mazingira yao ya kusoma yatakuwaje? Nimeshawahi sikia wenzetu Kenya huwa wanafanya donation ili kusomesha watoto wao huku huwezi pata hiyo kitu tutafanya donation kwenye harusi, sendoff mpaka Birthday siku hizi kuna kadi, halafu lawama zote kwa Serikali, tutaendelea kusema tunaibiwa sana, tutaachaje kuibiwa tuko kuwaza wanawake? ukiwa na wanawake zaidi ya wawili faida zake kiuchumi ni zipi?
 
Watanzania sijui tunashida gani? kuna member kaweka thread kuelezea hali ya shule ya msingi huko Tabora, na kuna wananchi wanaishi huko na wanapeleka watoto wao kwenye hiyo shule pamoja na hayo mazingira labda pengine kungekuwa na mjadala wana namna ya kuboresha mazingira yetu ili watoto wetu wapate huduma nzuri, badala yake tuko tunajadili mambo ya kuwa na wanawake wawili, hao watoto watakao zaliwa kwa hao wanawake mazingira yao ya kusoma yatakuwaje? Nimeshawahi sikia wenzetu Kenya huwa wanafanya donation ili kusomesha watoto wao huku huwezi pata hiyo kitu tutafanya donation kwenye harusi, sendoff mpaka Birthday siku hizi kuna kadi, halafu lawama zote kwa Serikali, tutaendelea kusema tunaibiwa sana, tutaachaje kuibiwa tuko kuwaza wanawake? ukiwa na wanawake zaidi ya wawili faida zake kiuchumi ni zipi?
Ndio maana kuna majukwaa mbalimbali hapa jf kila jukwaa lina jadili hoja mahususi,hoja hii ipo jukwaa la mahusiano na mapenzi,huo ya shule ya tabora ipo jukwaa la hoja mchanganyiko na nyinginezo kulingana na majukwaa husika.
 
Ndio maana kuna majukwaa mbalimbali hapa jf kila jukwaa lina jadili hoja mahususi,hoja hii ipo jukwaa la mahusiano na mapenzi,huo ya shule ya tabora ipo jukwaa la hoja mchanganyiko na nyinginezo kulingana na majukwaa husika.
Hayo mahusiano lazima yalenge ustawi wa jamii husika, katika mtazamo huo huo mwanaume kuoa wanawake zaidi ya mmoja yanatija gani katika ustawi wa jamii?

wanaume wakioa wake wengi je,

1. watoto wa mitaani hawatakuwepo?

2. Singo Maza's hawatakuwepo

3. mauaji yanayotokana na visa vya mapenzi yatakoma?

4 . wimbi la wanaume kukimbia majukumu ya kulea mimba na kuacha watoto wanalelewa upande mmoja hayatakuwepo?

Au Mada ni kutaka wanaume waoe wanawake wengi ili kutimiza tamaa zao za kingono? vipi nao wanawake wataruhusiwa kuwa na zaidi ya mwanaume mmoja? maana siamini kama mwanaume anaweza kuwahudumia wanawake wanne kwenye tendo la ndoa ikiwa kuna malalamiko chungu nzima ya wanaume kukosa nguvu za kiume.
 
Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.

Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.

Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.

Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.

Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.

LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Weeeeeehhh!!!! Uko wapi.....
 
Kwani ni dini gani inayokataza kuoa wake wengi? UKRISTO?
Ibrahimu, Yakobo, Daudi, Sulemani, na wengine, wote walikuwa na wake wengi.

USICHANGANYE UTAMADUNI WA WAZUNGU , NA UKRISTO
kwani hao ulio wataja walikuwa wakristo?
 
Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.

Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.

Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.

Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.

Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.

LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Ni kosa kubwa sana
 
Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.

Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.

Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.

Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.

Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.

LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Kwa moyo mkunjufu,nimekubaliana na wazo lako.Kuanzia sekunde hii natangaza kutafuta mke mwingine.
 
Kuwa na wan awake wawili sio tatizo Ila uwe na uwezo wa kuwamudu na kusomesha watoto.


Maana RAIS kasema punguzeni kasi ya kuzaliana .

Oa wanawake na zaa watoto ukiwa na uwezo Mauro wakulea.
Yani nishindwe hata kuwapeleka madrasa?Hii dharau sasa.Tufyatue watoto aiseee!
 
Back
Top Bottom