Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Nimekubaliana nae ...na nipo tayari kuletewa mathna inshallahWewe umekubaliana na wazo la mleta uzi au umemruka kizimbani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekubaliana nae ...na nipo tayari kuletewa mathna inshallahWewe umekubaliana na wazo la mleta uzi au umemruka kizimbani?
Hahahaha wakati chuo Kila week buku😅Yani nishindwe hata kuwapeleka madrasa?Hii dharau sasa.Tufyatue watoto aiseee!
Umenifananisha!Kila siku unafungua ID mpya wewe Nyamwi.
Ni magharibi(bana Kongoo banaita mangaribe)mwa mkoa wa Tabora kuelekea Kigoma mkuu.Nauli ni takribani 70 elfu tu kutoka ku-Dalisalame.Ndo ipo mkoa gani na nauli ni Tsh ngapi kutoka dar?
Naam.Dunia ni starehe na starehe bora ni kupata wake wema...
Marhabaaa!🙏Nimekubaliana nae ...na nipo tayari kuletewa mathna inshallah
Ntashindwaje sasa?Nauza migebuka na ugali wa loya kwa wasafiri wa treni mambo yanajipa tu.Hahahaha wakati chuo Kila week buku😅
Umenifananisha!
Deee jeeeiii...weka wimbo wa "kamatia chini" kusindikiza huyu madamoisele!😂😂😂Ndio bro
Hapo sasaaaa na mpunga unalima mwenyeweNtashindwaje sasa?Nauza migebuka na ugali wa loya kwa wasafiri wa treni mambo yanajipa tu.
Majaruba ya kutosha.Mamchele gawiza!😂Hapo sasaaaa na mpunga unalima mwenyewe
Mkuu kasomeshe tu wewe hujakataliwa na sisi tuache na mjadala wetu wa wake zaidi ya wawili watatuWatanzania sijui tunashida gani? kuna member kaweka thread kuelezea hali ya shule ya msingi huko Tabora, na kuna wananchi wanaishi huko na wanapeleka watoto wao kwenye hiyo shule pamoja na hayo mazingira labda pengine kungekuwa na mjadala wana namna ya kuboresha mazingira yetu ili watoto wetu wapate huduma nzuri, badala yake tuko tunajadili mambo ya kuwa na wanawake wawili, hao watoto watakao zaliwa kwa hao wanawake mazingira yao ya kusoma yatakuwaje? Nimeshawahi sikia wenzetu Kenya huwa wanafanya donation ili kusomesha watoto wao huku huwezi pata hiyo kitu tutafanya donation kwenye harusi, sendoff mpaka Birthday siku hizi kuna kadi, halafu lawama zote kwa Serikali, tutaendelea kusema tunaibiwa sana, tutaachaje kuibiwa tuko kuwaza wanawake? ukiwa na wanawake zaidi ya wawili faida zake kiuchumi ni zipi?
Pointless & hopeless tu ndo anaweza sema hiki.Hayo mahusiano lazima yalenge ustawi wa jamii husika, katika mtazamo huo huo mwanaume kuoa wanawake zaidi ya mmoja yanatija gani katika ustawi wa jamii?
wanaume wakioa wake wengi je,
1. watoto wa mitaani hawatakuwepo?
2. Singo Maza's hawatakuwepo
3. mauaji yanayotokana na visa vya mapenzi yatakoma?
4 . wimbi la wanaume kukimbia majukumu ya kulea mimba na kuacha watoto wanalelewa upande mmoja hayatakuwepo?
Au Mada ni kutaka wanaume waoe wanawake wengi ili kutimiza tamaa zao za kingono? vipi nao wanawake wataruhusiwa kuwa na zaidi ya mwanaume mmoja? maana siamini kama mwanaume anaweza kuwahudumia wanawake wanne kwenye tendo la ndoa ikiwa kuna malalamiko chungu nzima ya wanaume kukosa nguvu za kiume.
Badilisha id isomeke "nikidanja wake zangu wasiolewe"!Pointless & hopeless tu ndo anaweza sema hiki.
Yap,Maeneo ya Nguruka,ninapafamu sana hapo.Niliwahi kuharibikiwa na gari nikielekea Kigoma from Moro.Ndo ipo mkoa gani na nauli ni Tsh ngapi kutoka dar?
Pole sana mkuu kwa yaliyokusibu kipindi hiko.Yap,Maeneo ya Nguruka,ninapafamu sana hapo.Niliwahi kuharibikiwa na gari nikielekea Kigoma from Moro.
Hivi ninyi mnaona kutunza Watoto ni kuwasomesha tu ama?Kuwa na wan awake wawili sio tatizo Ila uwe na uwezo wa kuwamudu na kusomesha watoto.
Maana RAIS kasema punguzeni kasi ya kuzaliana .
Oa wanawake na zaa watoto ukiwa na uwezo Mauro wakulea.
Uhuru wa mawazo mkuu,,, hivo hajakosea kuleta hii mada hapaWatanzania sijui tunashida gani? kuna member kaweka thread kuelezea hali ya shule ya msingi huko Tabora, na kuna wananchi wanaishi huko na wanapeleka watoto wao kwenye hiyo shule pamoja na hayo mazingira labda pengine kungekuwa na mjadala wana namna ya kuboresha mazingira yetu ili watoto wetu wapate huduma nzuri, badala yake tuko tunajadili mambo ya kuwa na wanawake wawili, hao watoto watakao zaliwa kwa hao wanawake mazingira yao ya kusoma yatakuwaje? Nimeshawahi sikia wenzetu Kenya huwa wanafanya donation ili kusomesha watoto wao huku huwezi pata hiyo kitu tutafanya donation kwenye harusi, sendoff mpaka Birthday siku hizi kuna kadi, halafu lawama zote kwa Serikali, tutaendelea kusema tunaibiwa sana, tutaachaje kuibiwa tuko kuwaza wanawake? ukiwa na wanawake zaidi ya wawili faida zake kiuchumi ni zipi?
Mbadilisheni jina.Muwe mnaanza kumuita Ninja ndiyo yafuate majina mengine.Hivi ninyi mnaona kutunza Watoto ni kuwasomesha tu ama?
Kuna watu wengi Wana mtoto mmoja na yupo mtaani hana faida yyte
Mtoto wa ndg yangu kampeleke seminary matokeo yake katimuliwa kakutwa nabk vant kwenye chupa ya Dasani ndo kwanza anamiaka17! Kampeleka shule binfasi katoroka saivi lipo china kule lilipata mchongo
Namalizia kujenga nyumba mahali ambayo wife hajui atakuja kuona pilikapilika ambazo haziishi kama kuku anataka kutaga vichakani na hapo ndo atajiongeza mwenyew bila kuambiwa na mtu na akuliza namuuliza nani kukwambia haya Tena?Badilisha id isomeke "nikidanja wake zangu wasiolewe"!