begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
Kabisa yaani na manjonjo kitandani wanajitumaNaam! Jambo zuri.
Na heshima inakuwepo pia hawawezi ku mess up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yaani na manjonjo kitandani wanajitumaNaam! Jambo zuri.
Na heshima inakuwepo pia hawawezi ku mess up
HahahahahaKabisa yaani na manjonjo kitandani wanajituma
Hao hawakuwa na Ukristo, Ukristo umeanza baada ya Kristo mwenyeweKwani ni dini gani inayokataza kuoa wake wengi? UKRISTO?
Ibrahimu, Yakobo, Daudi, Sulemani, na wengine, wote walikuwa na wake wengi.
USICHANGANYE UTAMADUNI WA WAZUNGU , NA UKRISTO
Hahahahaha
Hatariiiiii 😂
Wazungu wabayaUko sahihi maana mumedanganywa na dini za Wazungu
Mtafika imekakamaa walai
Yangu inakakamaa kwako tu... Nakupakata wewe tu...Mtafika imekakamaa walai
ACha uwoga mke mmoja unekua roho hiyo?Watanzania sijui tunashida gani? kuna member kaweka thread kuelezea hali ya shule ya msingi huko Tabora, na kuna wananchi wanaishi huko na wanapeleka watoto wao kwenye hiyo shule pamoja na hayo mazingira labda pengine kungekuwa na mjadala wana namna ya kuboresha mazingira yetu ili watoto wetu wapate huduma nzuri, badala yake tuko tunajadili mambo ya kuwa na wanawake wawili, hao watoto watakao zaliwa kwa hao wanawake mazingira yao ya kusoma yatakuwaje? Nimeshawahi sikia wenzetu Kenya huwa wanafanya donation ili kusomesha watoto wao huku huwezi pata hiyo kitu tutafanya donation kwenye harusi, sendoff mpaka Birthday siku hizi kuna kadi, halafu lawama zote kwa Serikali, tutaendelea kusema tunaibiwa sana, tutaachaje kuibiwa tuko kuwaza wanawake? ukiwa na wanawake zaidi ya wawili faida zake kiuchumi ni zipi?
Sio uoga, sioni faidaA
ACha uwoga mke mmoja unekua roho hiyo?
dini zipi mkuuWenye dini ambazo haziruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja hujawatendea haki.
kwani lazima kila mtu asome hii formal education? hilo tuwaachie wanaopenda kutafiti na wanaopenda utumwaWatanzania sijui tunashida gani? kuna member kaweka thread kuelezea hali ya shule ya msingi huko Tabora, na kuna wananchi wanaishi huko na wanapeleka watoto wao kwenye hiyo shule pamoja na hayo mazingira labda pengine kungekuwa na mjadala wana namna ya kuboresha mazingira yetu ili watoto wetu wapate huduma nzuri, badala yake tuko tunajadili mambo ya kuwa na wanawake wawili, hao watoto watakao zaliwa kwa hao wanawake mazingira yao ya kusoma yatakuwaje? Nimeshawahi sikia wenzetu Kenya huwa wanafanya donation ili kusomesha watoto wao huku huwezi pata hiyo kitu tutafanya donation kwenye harusi, sendoff mpaka Birthday siku hizi kuna kadi, halafu lawama zote kwa Serikali, tutaendelea kusema tunaibiwa sana, tutaachaje kuibiwa tuko kuwaza wanawake? ukiwa na wanawake zaidi ya wawili faida zake kiuchumi ni zipi?
mfano dini ya kikristo!dini zipi mkuu
tupe andiko
Wafrika wanawaza ngono muda wote ndiyo maana bara la Afrika linakuwa masikini.Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.
Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.
Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.
Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.
Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.
LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Waafrika wanawaza ngono sana muda wote. Mtu akipata milion 2 badala awaze namna ya kuzalisha anawaza aongeze mke wa pili ili afanye ngono. Mwisho wa siku anaishi km digi digiNaunga mkono hoja...
Safi kongole kwako...Kwa majibu yalio smart kiasi hikiNdio maana kuna majukwaa mbalimbali hapa jf kila jukwaa lina jadili hoja mahususi,hoja hii ipo jukwaa la mahusiano na mapenzi,huo ya shule ya tabora ipo jukwaa la hoja mchanganyiko na nyinginezo kulingana na majukwaa husika.
Dini imeruhusu wanne...Waafrika wanawaza ngono sana muda wote. Mtu akipata milion 2 badala awaze namna ya kuzalisha anawaza aongeze mke wa pili ili afanye ngono. Mwisho wa siku anaishi km digi digi
Bara la Afrika tunakuwa masikini sana kila siku. Zamani walikuwa wanaoa ili kupata nguvu kazi, watoto watakaofanya kazi.
Ukishaoa wanawake wawili unakuwa na amani😀😀😀😀
NaamHakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.
Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.
Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.
Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.
Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.
LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.