Kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kuwa na mke mmoja

Kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kuwa na mke mmoja

Kwani ni dini gani inayokataza kuoa wake wengi? UKRISTO?
Ibrahimu, Yakobo, Daudi, Sulemani, na wengine, wote walikuwa na wake wengi.

USICHANGANYE UTAMADUNI WA WAZUNGU , NA UKRISTO
Hao hawakuwa na Ukristo, Ukristo umeanza baada ya Kristo mwenyewe
 
Mke ni kama gari, ukizimiliki nyingi unakua huru na pia unakua na options, leo unatumia prado kesho V8, keshokutwa Hilux

Imagine mtu na kigari chako kimoja maisha yako yoote ni hako hako mpka watu kwenye contact zao wanakusevu kwa jina la gari yako. Mwajuma/Juma Vitz ya blue.

Ushahidi huu hapa.


View: https://youtu.be/GBYGh6aVU90?si=mZRdHZxEWjr2ae2D
 
A
Watanzania sijui tunashida gani? kuna member kaweka thread kuelezea hali ya shule ya msingi huko Tabora, na kuna wananchi wanaishi huko na wanapeleka watoto wao kwenye hiyo shule pamoja na hayo mazingira labda pengine kungekuwa na mjadala wana namna ya kuboresha mazingira yetu ili watoto wetu wapate huduma nzuri, badala yake tuko tunajadili mambo ya kuwa na wanawake wawili, hao watoto watakao zaliwa kwa hao wanawake mazingira yao ya kusoma yatakuwaje? Nimeshawahi sikia wenzetu Kenya huwa wanafanya donation ili kusomesha watoto wao huku huwezi pata hiyo kitu tutafanya donation kwenye harusi, sendoff mpaka Birthday siku hizi kuna kadi, halafu lawama zote kwa Serikali, tutaendelea kusema tunaibiwa sana, tutaachaje kuibiwa tuko kuwaza wanawake? ukiwa na wanawake zaidi ya wawili faida zake kiuchumi ni zipi?
ACha uwoga mke mmoja unekua roho hiyo?
 
Watanzania sijui tunashida gani? kuna member kaweka thread kuelezea hali ya shule ya msingi huko Tabora, na kuna wananchi wanaishi huko na wanapeleka watoto wao kwenye hiyo shule pamoja na hayo mazingira labda pengine kungekuwa na mjadala wana namna ya kuboresha mazingira yetu ili watoto wetu wapate huduma nzuri, badala yake tuko tunajadili mambo ya kuwa na wanawake wawili, hao watoto watakao zaliwa kwa hao wanawake mazingira yao ya kusoma yatakuwaje? Nimeshawahi sikia wenzetu Kenya huwa wanafanya donation ili kusomesha watoto wao huku huwezi pata hiyo kitu tutafanya donation kwenye harusi, sendoff mpaka Birthday siku hizi kuna kadi, halafu lawama zote kwa Serikali, tutaendelea kusema tunaibiwa sana, tutaachaje kuibiwa tuko kuwaza wanawake? ukiwa na wanawake zaidi ya wawili faida zake kiuchumi ni zipi?
kwani lazima kila mtu asome hii formal education? hilo tuwaachie wanaopenda kutafiti na wanaopenda utumwa
elimu imekuja very recently na miaka yote huko nyuma watu waliishi
hii formal education sii ya lazima sana
 
Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.

Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.

Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.

Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.

Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.

LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Wafrika wanawaza ngono muda wote ndiyo maana bara la Afrika linakuwa masikini.
Hauna hela, umepanga, hauna gari na una kiwanja cha urithi. Unakimbilia kuoa wake wawili ili ufanye ngono. Mwafrika akipata vihela badala awaze afanye maendeleo anaoa mwanamke mwingine.
Zamani watu walikuwa wanaoa wanawake zaidi ya mmoja ili kupata nguvu kazi. Hao watoto ndiyo watalima, watachunga ng'ombe na kufanya shughuli za nyumbani
Billgate, Obama na matajiri wakubwa duniani wana mke mmoja tu. Obama ana watoto 2 na mke mmoja halafu wewe masikini mwafrika unawaza kuoa wanawake wawili.😀😀😀
 
Naunga mkono hoja...
Waafrika wanawaza ngono sana muda wote. Mtu akipata milion 2 badala awaze namna ya kuzalisha anawaza aongeze mke wa pili ili afanye ngono. Mwisho wa siku anaishi km digi digi
Bara la Afrika tunakuwa masikini sana kila siku. Zamani walikuwa wanaoa ili kupata nguvu kazi, watoto watakaofanya kazi.
Ukishaoa wanawake wawili unakuwa na amani😀😀😀😀
 
Ndio maana kuna majukwaa mbalimbali hapa jf kila jukwaa lina jadili hoja mahususi,hoja hii ipo jukwaa la mahusiano na mapenzi,huo ya shule ya tabora ipo jukwaa la hoja mchanganyiko na nyinginezo kulingana na majukwaa husika.
Safi kongole kwako...Kwa majibu yalio smart kiasi hiki
 
Waafrika wanawaza ngono sana muda wote. Mtu akipata milion 2 badala awaze namna ya kuzalisha anawaza aongeze mke wa pili ili afanye ngono. Mwisho wa siku anaishi km digi digi
Bara la Afrika tunakuwa masikini sana kila siku. Zamani walikuwa wanaoa ili kupata nguvu kazi, watoto watakaofanya kazi.
Ukishaoa wanawake wawili unakuwa na amani😀😀😀😀
Dini imeruhusu wanne...
Wacha uzembe!
 
Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.

Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.

Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.

Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.

Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.

LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Naam
 
Back
Top Bottom