Kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kuwa na mke mmoja

Kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kuwa na mke mmoja

Uhuru wa mawazo mkuu,,, hivo hajakosea kuleta hii mada hapa
Hata mimi sijasema amekosea kwa mujibu wa mawazo yake, nilikuwa najaribu kuonyesha upande wa pili, utakuwa na wake wanne let say kila mke akakuzalia watoto wawili hapo unawatoto sita, kumbuka ukiwa na hao wake wanne sahau kuhusu uzazi wa mpango hakuna mwanamke atakubali azae mtoto mmoja tu ili uwe na wanne, Kisa cha Yakobo kuwa na watoto wengi ni kwa sababu wake zake wawili(Recho na Lea) walikuwa wanashindana kumzalia watoto, sasa kwa nyakati hizi una watoto 6 vipi ustawi wa hao watoto?

Au Mada(mawazo) ya mtoa hoja yanalenga kistarehe zaidi ya ngono tu kwamba mwanaume atajiamulia ale wapi na saa ngapi?
 
Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.

Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.

Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.

Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.

Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.

LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Uko sahihi maana mumedanganywa na dini za Wazungu
 
Hata mimi sijasema amekosea kwa mujibu wa mawazo yake, nilikuwa najaribu kuonyesha upande wa pili, utakuwa na wake wanne let say kila mke akakuzalia watoto wawili hapo unawatoto sita, kumbuka ukiwa na hao wake wanne sahau kuhusu uzazi wa mpango hakuna mwanamke atakubali azae mtoto mmoja tu ili uwe na wanne, Kisa cha Yakobo kuwa na watoto wengi ni kwa sababu wake zake wawili(Recho na Lea) walikuwa wanashindana kumzalia watoto, sasa kwa nyakati hizi una watoto 6 vipi ustawi wa hao watoto?

Au Mada(mawazo) ya mtoa hoja yanalenga kistarehe zaidi ya ngono tu kwamba mwanaume atajiamulia ale wapi na saa ngapi?
Haujatufikiria kwamba tunaoshabikia uzi ni matajiri?Think,and think twice boss!
 
Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.

Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.

Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.

Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.

Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.

LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Tatizo kipato linatosha kuacha kodi ya meza 50000 ya matumizi kila nyumba kila siku?
 
Haujatufikiria kwamba tunaoshabikia uzi ni matajiri?Think,and think twice boss!
😂😂😂😂😂 sawa matajiri, nilikuwa sijajua,. Lakini hebu tuulizane matajiri

Mwanaume akiwa na wanawake wanne; usaliti wa kuwa na michepuko utaisha? maana waswahili wanasema ukila nyama ya binadamu hautaacha ndo maana utaona hata mfalme Daudi pamoja na kuwa na wake zaidi ya mmoja bado akamnyatia mke wa mtu.
 
Hata mimi sijasema amekosea kwa mujibu wa mawazo yake, nilikuwa najaribu kuonyesha upande wa pili, utakuwa na wake wanne let say kila mke akakuzalia watoto wawili hapo unawatoto sita, kumbuka ukiwa na hao wake wanne sahau kuhusu uzazi wa mpango hakuna mwanamke atakubali azae mtoto mmoja tu ili uwe na wanne, Kisa cha Yakobo kuwa na watoto wengi ni kwa sababu wake zake wawili(Recho na Lea) walikuwa wanashindana kumzalia watoto, sasa kwa nyakati hizi una watoto 6 vipi ustawi wa hao watoto?

Au Mada(mawazo) ya mtoa hoja yanalenga kistarehe zaidi ya ngono tu kwamba mwanaume atajiamulia ale wapi na saa ngapi?
Wewe tumekuambia kama huwezi waachie wanaoweza hili sio la wote. Tofautisha mwanaume suruali na mwanaume wa familia ambao ndo wengi tupo kusapoti hili maana Lina tija.

Ustawi wa Watoto ni afya njema tu vingine ni ziada.

Ushauri wako hatujauzingatia maana hakuna sehemu tutakuomba Hela ulishe familia zetu. kwanza hatukujui na hatujuani
 
😂😂😂😂😂 sawa matajiri, nilikuwa sijajua,. Lakini hebu tuulizane matajiri

Mwanaume akiwa na wanawake wanne; usaliti wa kuwa na michepuko utaisha? maana waswahili wanasema ukila nyama ya binadamu hautaacha ndo maana utaona hata mfalme Daudi pamoja na kuwa na wake zaidi ya mmoja bado akamnyatia mke wa mtu.
Hilo lisitusumbue kwa sasa.Tutaganga yajayo mkuu.
 
Back
Top Bottom