Hata mimi sijasema amekosea kwa mujibu wa mawazo yake, nilikuwa najaribu kuonyesha upande wa pili, utakuwa na wake wanne let say kila mke akakuzalia watoto wawili hapo unawatoto sita, kumbuka ukiwa na hao wake wanne sahau kuhusu uzazi wa mpango hakuna mwanamke atakubali azae mtoto mmoja tu ili uwe na wanne, Kisa cha Yakobo kuwa na watoto wengi ni kwa sababu wake zake wawili(Recho na Lea) walikuwa wanashindana kumzalia watoto, sasa kwa nyakati hizi una watoto 6 vipi ustawi wa hao watoto?
Au Mada(mawazo) ya mtoa hoja yanalenga kistarehe zaidi ya ngono tu kwamba mwanaume atajiamulia ale wapi na saa ngapi?