Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wewe ni shujaa sana.🙏Namalizia kujenga nyumba mahali ambayo wife hajui atakuja kuona pilikapilika ambazo haziishi kama kuku anataka kutaga vichakani na hapo ndo atajiongeza mwenyew bila kuambiwa na mtu na akuliza namuuliza nani kukwambia haya Tena?
Hata mimi sijasema amekosea kwa mujibu wa mawazo yake, nilikuwa najaribu kuonyesha upande wa pili, utakuwa na wake wanne let say kila mke akakuzalia watoto wawili hapo unawatoto sita, kumbuka ukiwa na hao wake wanne sahau kuhusu uzazi wa mpango hakuna mwanamke atakubali azae mtoto mmoja tu ili uwe na wanne, Kisa cha Yakobo kuwa na watoto wengi ni kwa sababu wake zake wawili(Recho na Lea) walikuwa wanashindana kumzalia watoto, sasa kwa nyakati hizi una watoto 6 vipi ustawi wa hao watoto?Uhuru wa mawazo mkuu,,, hivo hajakosea kuleta hii mada hapa
Uko sahihi maana mumedanganywa na dini za WazunguHakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.
Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.
Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.
Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.
Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.
LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Haujatufikiria kwamba tunaoshabikia uzi ni matajiri?Think,and think twice boss!Hata mimi sijasema amekosea kwa mujibu wa mawazo yake, nilikuwa najaribu kuonyesha upande wa pili, utakuwa na wake wanne let say kila mke akakuzalia watoto wawili hapo unawatoto sita, kumbuka ukiwa na hao wake wanne sahau kuhusu uzazi wa mpango hakuna mwanamke atakubali azae mtoto mmoja tu ili uwe na wanne, Kisa cha Yakobo kuwa na watoto wengi ni kwa sababu wake zake wawili(Recho na Lea) walikuwa wanashindana kumzalia watoto, sasa kwa nyakati hizi una watoto 6 vipi ustawi wa hao watoto?
Au Mada(mawazo) ya mtoa hoja yanalenga kistarehe zaidi ya ngono tu kwamba mwanaume atajiamulia ale wapi na saa ngapi?
Tatizo kipato linatosha kuacha kodi ya meza 50000 ya matumizi kila nyumba kila siku?Hakika fahari ya mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ambao wana mpenda yeye na kumuheshimu.Ile feeling ni kubwa na nzuri sanaa kiasi kuwa wanao ipata ni wachache sana kwenye hii Dunia.
Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ambao mnapendana wote bila shida kuna mfanya mwanaume kuwa mpambanaji zaidi kuwa mwenye furaha na nguvu na kujivunia wakati wote.
Mwanaume huyu hawezi kuwa na stress wala hatokuwa na kukosa tendo.
Mwanaume mwenye wake zaidi ya mmoja ni rahisi sana kuishi maisha mazuri kutokana na wake zake kuwa na wigo mpana wa kupambana na maisha na kulea watoto vyema.
Mwanaume huyu huweza kuwa na Koo kubwa zaidi na umaarufu mkubwa katika eneo analo toka.
LAKINI NAZUNGUMZIA WALE WANAUME KWELI WENYE NGUVU SAUTI NA AKILI...SIO KILA MWANAUNE ANAWEZO WA KUMILIKI WAKE WAWILI NA WAKAMUELEWA.
Mwanamke Sio mama Yako eti awe mmoja tu hii ni kumkufuru Mungu wako. Wanatakiwa wawe at least 3 huwezi zidiwa na jogoo la kuku halafu uniite mwanaume!Wewe ni shujaa sana.🙏
Swadakta maalimu.😎Mwanamke Sio mama Yako eti awe mmoja tu hii ni kumkufuru Mungu wako. Wanatakiwa wawe at least 3 huwezi zidiwa na jogoo la kuku halafu uniite mwanaume!
😂😂😂😂😂 sawa matajiri, nilikuwa sijajua,. Lakini hebu tuulizane matajiriHaujatufikiria kwamba tunaoshabikia uzi ni matajiri?Think,and think twice boss!
Wewe tumekuambia kama huwezi waachie wanaoweza hili sio la wote. Tofautisha mwanaume suruali na mwanaume wa familia ambao ndo wengi tupo kusapoti hili maana Lina tija.Hata mimi sijasema amekosea kwa mujibu wa mawazo yake, nilikuwa najaribu kuonyesha upande wa pili, utakuwa na wake wanne let say kila mke akakuzalia watoto wawili hapo unawatoto sita, kumbuka ukiwa na hao wake wanne sahau kuhusu uzazi wa mpango hakuna mwanamke atakubali azae mtoto mmoja tu ili uwe na wanne, Kisa cha Yakobo kuwa na watoto wengi ni kwa sababu wake zake wawili(Recho na Lea) walikuwa wanashindana kumzalia watoto, sasa kwa nyakati hizi una watoto 6 vipi ustawi wa hao watoto?
Au Mada(mawazo) ya mtoa hoja yanalenga kistarehe zaidi ya ngono tu kwamba mwanaume atajiamulia ale wapi na saa ngapi?
Hilo lisitusumbue kwa sasa.Tutaganga yajayo mkuu.😂😂😂😂😂 sawa matajiri, nilikuwa sijajua,. Lakini hebu tuulizane matajiri
Mwanaume akiwa na wanawake wanne; usaliti wa kuwa na michepuko utaisha? maana waswahili wanasema ukila nyama ya binadamu hautaacha ndo maana utaona hata mfalme Daudi pamoja na kuwa na wake zaidi ya mmoja bado akamnyatia mke wa mtu.
50,000 kinapikwa nini??😅😅Tatizo kipato linatosha kuacha kodi ya meza 50000 ya matumizi kila nyumba kila siku?
Una wangapi mkuu?Point mkuu mke mmoja hatoshi kwa dini zote
Mapishi na nauli za watoto kwenda shule na hela ya kula shule watoto50,000 kinapikwa nini??😅😅
Au ni umaskini wangu 🤪
Labda anataka akute kapikiwa nguva mzimamzima.Hicho kiwango kinene mnoo.50,000 kinapikwa nini??😅😅
Au ni umaskini wangu 🤪
Na wawili mkuu uzuri wakijijua wapo wengi wanapambana zaidi Tena wanashindanaUna wangapi mkuu?
Dah mkeo anafaidi🤣 mm nkipewa afu 10 ujue Kuna wageni kutoka ukweni🤣🤣Mapishi na nauli za watoto kwenda shule na hela ya kula shule watoto
Naam! Jambo zuri.Na wawili mkuu uzuri wakijijua wapo wengi wanapambana zaidi Tena wanashindana
Tutafute Hela tu🤣Labda anataka akute kapikiwa nguva mzimamzima.Hicho kiwango kinene mnoo.