Kuahidi hizi teams pesa kunasababisha wapoteze attention. Hii game Singida walikamia sana wakaacha kucheza mpira

Kuahidi hizi teams pesa kunasababisha wapoteze attention. Hii game Singida walikamia sana wakaacha kucheza mpira

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa.

Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game imeniuma sana. Huu upuuzi wa kuwaahidi wachezaji unaondoa utulivu na wachezaji hawachezi kwa akili. Wanatumia nguvu na kukamia.

Singida ilipaswa iizuie Simba. Leo hata draw ingekuwa byeee... Ujinga umekuwa kwa wachezaji kukamia sana na kutwa kulalamika. Wakajitoa mchezoni wenyewe.
 
Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa.

Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game imeniuma sana. Huu upuuzi wa kuwaahidi wachezaji unaondoa utulivu na wachezaji hawachezi kwa akili. Wanatumia nguvu na kukamia.

Singida ilipaswa iizuie Simba. Leo hata draw ingekuwa byeee... Ujinga umekuwa kwa wachezaji kukamia sana na kutwa kulalamika. Wakajitoa mchezoni wenyewe.
Waliahidiwa nini na nani
 
Refa ndiye aliye kamia mechi kwa maamuzi ya upendeleo.
Kipa anasukumwa Goli linafungwa na analikubali.
Faul anaziona za upande mmoja, Off side za upande mmoja.

Kwa ujumla hii ni mechi ya tatu mfulululizo refa anaibuka Man of the match.
 
Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa.

Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game imeniuma sana. Huu upuuzi wa kuwaahidi wachezaji unaondoa utulivu na wachezaji hawachezi kwa akili. Wanatumia nguvu na kukamia.

Singida ilipaswa iizuie Simba. Leo hata draw ingekuwa byeee... Ujinga umekuwa kwa wachezaji kukamia sana na kutwa kulalamika. Wakajitoa mchezoni wenyewe.
Singida wajilaumu wao wenyewe kwa maana nafasi zilipatikana za Elvis Rupia 2 za wazi na zile beki za Simba ukizipelekea moto zinajichanganya sana, wao wangetulia wangepata matokeo but walikamia na walikuwa na watu wachache kule kwenye forward line yao
 
Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa.

Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game imeniuma sana. Huu upuuzi wa kuwaahidi wachezaji unaondoa utulivu na wachezaji hawachezi kwa akili. Wanatumia nguvu na kukamia.

Singida ilipaswa iizuie Simba. Leo hata draw ingekuwa byeee... Ujinga umekuwa kwa wachezaji kukamia sana na kutwa kulalamika. Wakajitoa mchezoni wenyewe.
Rejea post yako ya asubuhi 😂
 
Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa.

Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game imeniuma sana. Huu upuuzi wa kuwaahidi wachezaji unaondoa utulivu na wachezaji hawachezi kwa akili. Wanatumia nguvu na kukamia.

Singida ilipaswa iizuie Simba. Leo hata draw ingekuwa byeee... Ujinga umekuwa kwa wachezaji kukamia sana na kutwa kulalamika. Wakajitoa mchezoni wenyewe.
Pesa za Yanga hizo na GSM
 
Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa.

Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game imeniuma sana. Huu upuuzi wa kuwaahidi wachezaji unaondoa utulivu na wachezaji hawachezi kwa akili. Wanatumia nguvu na kukamia.

Singida ilipaswa iizuie Simba. Leo hata draw ingekuwa byeee... Ujinga umekuwa kwa wachezaji kukamia sana na kutwa kulalamika. Wakajitoa mchezoni wenyewe.
Siyo sababu timu ni mbovu, mchezaji anafika goli halafu hafungi
 
Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa.

Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game imeniuma sana. Huu upuuzi wa kuwaahidi wachezaji unaondoa utulivu na wachezaji hawachezi kwa akili. Wanatumia nguvu na kukamia.

Singida ilipaswa iizuie Simba. Leo hata draw ingekuwa byeee... Ujinga umekuwa kwa wachezaji kukamia sana na kutwa kulalamika. Wakajitoa mchezoni wenyewe.
Waliendekeza migogoro tu badala ya Mpira
 
Refa ndiye aliye kamia mechi kwa maamuzi ya upendeleo.
Kipa anasukumwa Goli linafungwa na analikubali.
Faul anaziona za upande mmoja, Off side za upande mmoja.

Kwa ujumla hii ni mechi ya tatu mfulululizo refa anaibuka Man of the match.
Nimeshangaa refa kalikataa goli la pili la simba maana kipa hajasukumwa na hakuruka
 
Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa.

Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game imeniuma sana. Huu upuuzi wa kuwaahidi wachezaji unaondoa utulivu na wachezaji hawachezi kwa akili. Wanatumia nguvu na kukamia.

Singida ilipaswa iizuie Simba. Leo hata draw ingekuwa byeee... Ujinga umekuwa kwa wachezaji kukamia sana na kutwa kulalamika. Wakajitoa mchezoni wenyewe.
Kulalamika ni mbinu ya mama mkwe wa shetani na huwa inamsaidia maana wachezaji wake ni mabingwa kucheza uhunu kwenye penalty box wakizidiwa ila hawajawahi kuadhibiwa.
Mbinu yao ya kulaimu marefa huwa inafanikiwa.
Ila sikaribishi kabisa mchezo wa kihuni hasa kwenye penalty area.Ukuzidiwa hapo acha kipa apimwe uwezo wake.Ukifanya ujinga lazima waamuzi wakubali kutoa adhabu ya penalty na kadi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom