Kuahidi hizi teams pesa kunasababisha wapoteze attention. Hii game Singida walikamia sana wakaacha kucheza mpira

Kuahidi hizi teams pesa kunasababisha wapoteze attention. Hii game Singida walikamia sana wakaacha kucheza mpira

Screenshot_20241228-172849.jpg


#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Simba punguzeni nongwa ahadi hizo sio lazima zitangazwe, hata huko ukoloni ukute kuna ahadi hatujaisikia, zaidi ya pale singida toka lini wakacheza zaidi ya pale, pengine wasingeahidiwa wangekula nne
 
Nimeshangaa refa kalikataa goli la pili la simba maana kipa hajasukumwa na hakuruka
Refa ni mpuuzi, mpira wa kwanza tu ambao kipa Metacha aliruka na wachezaji wa Simba na waka msukuma ilitakiwa apulize filimbi, haikutakiwa ata yule kipa kuruka Tena na kuchezewa faul kabla Kibu ajafunga.

Yaani Refa alikua akitengeneza mazingira Magumu kwa Singida bila sababu.
Mpira ulio tolewa Kona na Hamza refa msaidizi anaweka goal kick, Maarufu Chakei anamuuliza refa msaidizi kwanini haikua Kona?
Refa wa Kati ana mchapa Yellow, Ni mambo ya ajabu kabisa.
 
Milioni 50 ni mshahara wa mwezi kwa mchezaji mmoja kwa timu za sauzi...

Ila kwa bongo ndio hivyo wachezaji wanazigombania kwa ahadi ya Nchemba washinde mechi 2 kwa msimu mzima (mwaka)

Milion 100 ÷ 25 =?

Hii ni dharau kabisa
Mweee mbona hela ndogo hiyo kwa mechi kubwa...mzigo ulitakiwa uwe mil 200. Sasa 50mil ata mie ningekuwa mchezaji naona aliyehaidi hayupo serious
 
Huu ujinga wa ahadi za hela huwezi ukauona au ukausikia Simba SC.

Hivi hawa Viongozi wa Serikali mbona wamekuwa ni Wapuuzi na Wajinga wajinga sana? How come wanaahidi hela wakati maeneo wanayotoka kuna mahitaji mengi ya mingi na ya lazima kwa Wananchi?

Wanachezea sana pesa za Wananchi hawa hivi hiyo 50 M ukiamua hata kuwakopesha vijana wakanunua bodaboda au wakaamua kufanya shughuli za uzalishaji. Hawa Viongozi hawalioni hili?

CCM na Viongozi wake ni adui wa Wananchi. Unakuta Waziri wanaahidi hiyo hela wakati Jimboni hakuna hata maji safi na salama kwanini hiyo hela asichimbe hata visima?

Naishia hapa
 
Refa ni mpuuzi, mpira wa kwanza tu ambao kipa Metacha aliruka na wachezaji wa Simba na waka msukuma ilitakiwa apulize filimbi, haikutakiwa ata yule kipa kuruka Tena na kuchezewa faul kabla Kibu ajafunga.

Yaani Refa alikua akitengeneza mazingira Magumu kwa Singida bila sababu.
Mpira ulio tolewa Kona na Hamza refa msaidizi anaweka goal kick, Maarufu Chakei anamuuliza refa msaidizi kwanini haikua Kona?
Refa wa Kati ana mchapa Yellow, Ni mambo ya ajabu kabisa.
Presha itakuua mkuu. Kapigwa baba na mtoto mkubwa kwenye familia , sasa hivi ni mwendo milio tu.
 
Refa ndiye aliye kamia mechi kwa maamuzi ya upendeleo.
Kipa anasukumwa Goli linafungwa na analikubali.
Faul anaziona za upande mmoja, Off side za upande mmoja.

Kwa ujumla hii ni mechi ya tatu mfulululizo refa anaibuka Man of the match.
Nunua Tv kubwa na Ya kisasa Yenye Picha Angavu huo Ndo Ushauri Wangu .
 
Refa ndiye aliye kamia mechi kwa maamuzi ya upendeleo.
Kipa anasukumwa Goli linafungwa na analikubali.
Faul anaziona za upande mmoja, Off side za upande mmoja.

Kwa ujumla hii ni mechi ya tatu mfulululizo refa anaibuka Man of the match.
Yanga mwenzangu. Kipa hakusukumwa. Tuangalie mpira kimichezo siyo kishabiki.goal la Simba ni halali kabisa halina shida. Tuache ushabiki maandazi. Najua utaniita mkia.i dont care tuseme ukweli tu.
 
Rejea post yako ya asubuhi 😂
Kausha..... Jamaa wameniangusha sana. Game tulishaimaliza. Na kuna njia Simba walitonywa wasipite hao mbwa. Ila wamecheza vizuri ingawa kuna goal mbili tumewakosa kosa.
 
Refa ni mpuuzi, mpira wa kwanza tu ambao kipa Metacha aliruka na wachezaji wa Simba na waka msukuma ilitakiwa apulize filimbi, haikutakiwa ata yule kipa kuruka Tena na kuchezewa faul kabla Kibu ajafunga.

Yaani Refa alikua akitengeneza mazingira Magumu kwa Singida bila sababu.
Mpira ulio tolewa Kona na Hamza refa msaidizi anaweka goal kick, Maarufu Chakei anamuuliza refa msaidizi kwanini haikua Kona?
Refa wa Kati ana mchapa Yellow, Ni mambo ya ajabu kabisa.
Siku Ingine Ingia na Sare Zako za Urefa Ukiona Anazingua Unaingia Uwanjani Unampora Filimbi Unachezesha Wewe Sawa Mwanangu?
 
Refa ndiye aliye kamia mechi kwa maamuzi ya upendeleo.
Kipa anasukumwa Goli linafungwa na analikubali.
Faul anaziona za upande mmoja, Off side za upande mmoja.

Kwa ujumla hii ni mechi ya tatu mfulululizo refa anaibuka Man of the match.
Bacca anamagori manne yapitie yote vzr afu reply post yangu
 
Nadhani tunapotaka kuifunga simba sasa tuache kuwajaza ujinga wachezaji. Leo singida walipania sana game. Wakapoteza concentration wakabaki kucheza kwa nguvu bila maarifa.

Angalau kipindi cha pili walitulia kidogo kuliko mwanzo. Nadhani tuwe tunawaacha wacheze kwa mipango ya kocha. Hii game imeniuma sana. Huu upuuzi wa kuwaahidi wachezaji unaondoa utulivu na wachezaji hawachezi kwa akili. Wanatumia nguvu na kukamia.

Singida ilipaswa iizuie Simba. Leo hata draw ingekuwa byeee... Ujinga umekuwa kwa wachezaji kukamia sana na kutwa kulalamika. Wakajitoa mchezoni wenyewe.
Vyovyote iwavyo, Singida kushinda mbele ya simba ni ngumu


Japo simba haipo vizuri ila sio kwa Singida, Azam na mfano wake
 
Hawa Singida ndio wakawakilishe Taifa kwenye mashindano makubwa kama ya CAF mbona ni AIBU walivyokuwa wanabehave utafikiri wanacheza kombe la 'mbuzi' 😄
 
Back
Top Bottom