Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

Nasikia kuna Dua inapigwa kabla ya kuingia chooni.
 
Watu wanadondoka kwa sababu. Unakuta mtu ametoka usingizini anaenda msalani.ukiwa umelala mwili una relax. Ukiamka ghafla na kutembea inakua shida. Ndo maana wataalau wanashauri ukiwa umelala na unataka kuamka inabidi uamke halafu ukae kitandani miguu ikiwa chini kwa muda ili mwili uwe ktk hali ya kawaida halafu ndo usimame uanze kutembea. Tofauti na hivyo ni shida.
 
pona pona yako unapata stroke/kiharusi, hii watu weng sana imewatoke. Sababu ya hii inaelezeka hata kisayansi, imani nyingne naskia ipo ila mimi sina fact. Na hii ya kufa mi sijui
 
sasa ndio inaitwa chuma ulete!!!utashitakiwa na wanajamii kwa kuandika vitu tofauti.
 
Kwa iq fupi kama hizi mtukufu endelea kukaza vyuma mpaka wajitambue!!
Naomba niishie hapa.
 
Wanaojisaidia vichakani wakidondoka wanaruhusiwa kusema wamedondoka chooni?
 
Hizo takwimu umezitoa wapi
 
Kuna wengine huwa wanadondoka pindi wanapojimwagia maji ya baridi ilhali mwili ni wa joto
Matokeo yake huwa ni mabaya
Hayo mengine yapo na wengine kupigwa kofi kabisa
Yaani jiandae kwa mengi
 
Nnesha dondoka chooni Mara mbili na sikua chochote,Mara ya kwanza niliogopa sana maana nlisikia ukiabguka choon kuna hatihati ya kupooza,sikua hivyo!;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…