Kuanzia 2023-2025 CHADEMA itampa wakati mgumu sana Rais Samia

Kuanzia 2023-2025 CHADEMA itampa wakati mgumu sana Rais Samia

Napiga msitali hapa(cdm ni chama kinacho fuata matukio)
Huu ujinga wa eti chama fulani kinafuata matukio ndio mmemuingiza Zito na chama chake kingi. Anajifanya anaongea sijui sera, matokeo yake chama chake hakieleweki kinaongea nini.

Hivi sasa kunatakiwa kuwe na chaguzi ndogo za marudio, cdm wamegomea na uchaguzi umepoteza mvuto, ila ACT wanashiriki lakini wananchi wamepuuza. Ingekuwa cdm wanashiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi kila mtu angejua kuna uchaguzi.
 
Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.

Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.

Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!

Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:

Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.

2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Toka ndotoni wewe!
Kwa katiba ipi na tume ipi mpk uitoe CCM!?
Kosa kubwa ni kuendelea kung'ang'ana na bandari na kuachana na katiba. Sasa hv tumebaki hatujui ht agenda yetu ni ipi hasa zaidi ya kusubiri kucheza midundo ya serikali
 
Toka ndotoni wewe!
Kwa katiba ipi na tume ipi mpk uitoe CCM!?
Kosa kubwa ni kuendelea kung'ang'ana na bandari na kuachana na katiba. Sasa hv tumebaki hatujui ht agenda yetu ni ipi hasa zaidi ya kusubiri kucheza midundo ya serikali
Mkuu kuna aliyekukataza kuendelea kudai katiba mpya? Au kuna mahali umeambiwa madai ya katiba mpya yamesimama?
 
Huu ujinga wa eti chama fulani kinafuata matukio ndio mmemuingiza Zito na chama chake kingi. Anajifanya anaongea sijui sera, matokeo yake chama chake hakieleweki kinaongea nini.

Hivi sasa kunatakiwa kuwe na chaguzi ndogo za marudio, cdm wamegomea na uchaguzi umepoteza mvuto, ila ACT wanashiriki lakini wananchi wamepuuza. Ingekuwa cdm wanashiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi kila mtu angejua kuna uchaguzi.
Ingekuwa cdm wanashiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi kila mtu angejua kuna uchaguzi.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom