HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Sijawahi wapa kura CCM tokea 2010Kama Chadema nzima wewe umemuona mdude tuu basi huijui Chadema.
Ila kuna vijana wa Chadema wanarudisha watu nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi wapa kura CCM tokea 2010Kama Chadema nzima wewe umemuona mdude tuu basi huijui Chadema.
Kama unadhani Magufuli alipambana na mafisadi wewe ndio mpumbavu, hakuna raisi aliyeiba waziwazi akishirikiana na ndugu zake kina Doto kama Magufuli.Nyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Wewe ndiye mpumbavu haswa uliyevuka viwango vya ujinga kwa 100% udhaniaye kuwa kuna mtu mwema na jambo jema laweza kutoka CCM...!Nyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Bahati mbaya Mzee lofa na kidevu aka Jiwe wamekata moto....Chedama bado ipo.....unajisikiaje kenge wewe?Nyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Hawawezi, mwenyekiti wa kikundi chak cha uharifu mbowe kalamba asali ya nyuki wadogoNilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Alisamehewa Kwa kosa Gani?Mtu ukihisaniwa, lazima utakumbuka fadhila!. Niliwahi kuuliza Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
Mama aliusikia wito huu na kuuitikia, akasamehe bila kuombwa msamaha na baada tuu ya msamehewa kusamehewa breki ya kwanza ni kibisha Hodi Ikulu kwenda kushukuru. Msamehewa huyu baada ya kusamehewa by now he is highly compromised!, sasa ni harmless kabisa, hawezi kusumbua tena, unless kama mtampumzisha pale akaingia Heche.
P
Follow the link Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?Alisamehewa Kwa kosa Gani?
Aliyeshindwa kumsamehe Ndugai, Tulia, na Bashiru atawezaje kumsamehe Mbowe asiyetaka msamaha sababu ya kutokuwa na hatia?
Sisi watanzania wazalendo tunaoona mazuri ya serikali ya Rais Samia Suluhu tupo na mama na kama unavyojua mama hayumbishwi hao Chadema wameshaanza kulamba asali hawana jipya tena maendeleo ya awamu ya sita yanaonekan kila sekta kwaiyo kaa kwa kutulia uone watanzania tunasimama na mamaNilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Sana vijana wengi wa Chadema hawajui maana ya upinzania wanajua upinzani ni kupinga kila kitu na sio kupinga mambo yasiyo faa kwaajili ya maendeleo kwa tabia zao hizo wataona CCM ya Rais Samia Suluhu inazidi kupepeaSijawahi wapa kura CCM tokea 2010
Ila kuna vijana wa Chadema wanarudisha watu nyuma
Chadema haina ubavu wa kumtikisa mh Rais mama Samia,Haina nguvu hiyo Wala uwezo huo, chadema Ni chama kilichojichokea,Ni chama kilichokosa dira na muelekeo.
Ni chama kilichokosa safu ya uongozi ya kuaminika na kusikilizwa, Ni chama kisicho na muunganiko, Ni chama kilichokosa miziz.
Ni chama kilichopuuzwa na watanzania. Ni chama kisicho na Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya mtanzania mnyonge,Ni chama kinachofuata matukio
Watanzania wana Imani na CCM na serikali ya ccm chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia, kwa kuwa CCM ndio chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania,ndio chama kilichoonyesha kwa matendo kuwa na uchungu na maisha ya mtanzania,ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na kuungwa mkono na watanzania wote
Nyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Kajifunze kuandika kwanza, yaani kama Chadema wanapigiwa kampeni natu kama wewe basi huu ni mkwamo mkubwa.Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Mkuu nakufananisha na yule mwendakuzimu aliyepita, sijui kama kwako ni sifa au kashfa.Chadema haina ubavu wa kumtikisa mh Rais mama Samia,Haina nguvu hiyo Wala uwezo huo, chadema Ni chama kilichojichokea,Ni chama kilichokosa dira na muelekeo.
Ni chama kilichokosa safu ya uongozi ya kuaminika na kusikilizwa, Ni chama kisicho na muunganiko, Ni chama kilichokosa miziz.
Ni chama kilichopuuzwa na watanzania. Ni chama kisicho na Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya mtanzania mnyonge,Ni chama kinachofuata matukio
Watanzania wana Imani na CCM na serikali ya ccm chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia, kwa kuwa CCM ndio chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania,ndio chama kilichoonyesha kwa matendo kuwa na uchungu na maisha ya mtanzania,ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na kuungwa mkono na watanzania wote
So wewe ndiye unafaa kuwa waziri na akili zako za kisukuma gangMbowe Jana amerudia Ile kauli nisoipenda Eti sa100 ni msikivu!!!
Angekuwa msikivu, Leo MAKAMBA, nape na mwigu wasingekuwa mawaziri.
Mbowe Rudi Kwa mstari.
Wewe ni Sukuma gang ambaye hujui hata kujenga hojaNyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Usikaririshwe,So wewe ndiye unafaa kuwa waziri na akili zako za kisukuma gang