Huu ujinga wa eti chama fulani kinafuata matukio ndio mmemuingiza Zito na chama chake kingi. Anajifanya anaongea sijui sera, matokeo yake chama chake hakieleweki kinaongea nini.Napiga msitali hapa(cdm ni chama kinacho fuata matukio)
Toka ndotoni wewe!Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Ndoto hizo2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna aliyekukataza kuendelea kudai katiba mpya? Au kuna mahali umeambiwa madai ya katiba mpya yamesimama?Toka ndotoni wewe!
Kwa katiba ipi na tume ipi mpk uitoe CCM!?
Kosa kubwa ni kuendelea kung'ang'ana na bandari na kuachana na katiba. Sasa hv tumebaki hatujui ht agenda yetu ni ipi hasa zaidi ya kusubiri kucheza midundo ya serikali
Ubashiri kuntu!2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa cdm wanashiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi kila mtu angejua kuna uchaguzi.[emoji419][emoji375]Huu ujinga wa eti chama fulani kinafuata matukio ndio mmemuingiza Zito na chama chake kingi. Anajifanya anaongea sijui sera, matokeo yake chama chake hakieleweki kinaongea nini.
Hivi sasa kunatakiwa kuwe na chaguzi ndogo za marudio, cdm wamegomea na uchaguzi umepoteza mvuto, ila ACT wanashiriki lakini wananchi wamepuuza. Ingekuwa cdm wanashiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi kila mtu angejua kuna uchaguzi.
Mwisho wa zama utatimu hivi punde.Ingekuwa cdm wanashiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi kila mtu angejua kuna uchaguzi.[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni 52.Leo tunafanya dua ya kuwalaani wauza bandari kimya kimya, tuko watu 51