Kuanzia 2023-2025 CHADEMA itampa wakati mgumu sana Rais Samia

Kuanzia 2023-2025 CHADEMA itampa wakati mgumu sana Rais Samia

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.

Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.

Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!

Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:

Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.

2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
 
Chadema haina ubavu wa kumtikisa mh Rais mama Samia,Haina nguvu hiyo Wala uwezo huo, chadema Ni chama kilichojichokea,Ni chama kilichokosa dira na muelekeo.

Ni chama kilichokosa safu ya uongozi ya kuaminika na kusikilizwa, Ni chama kisicho na muunganiko, Ni chama kilichokosa miziz.

Ni chama kilichopuuzwa na watanzania. Ni chama kisicho na Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya mtanzania mnyonge,Ni chama kinachofuata matukio

Watanzania wana Imani na CCM na serikali ya ccm chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia, kwa kuwa CCM ndio chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania,ndio chama kilichoonyesha kwa matendo kuwa na uchungu na maisha ya mtanzania,ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na kuungwa mkono na watanzania wote
 
Never, it won’t happen kwa maana wana mkubwa mmoja, they have a lot in common, kuna sababu kwa nini Mbatia kafukuzwa na Polisi kwa nguvu kutoka kwenye Chama chake mwenyewe, haijawahi kutokea kuanzia kuanzishwa kwa republic yetu!
 
Rais Samia, ili aendelee kuheshimika na kuaminika, ni lazima atekeleze misingi ya demokrasia kikamilifu na kwa dhamira safi, ikianzia na katiba mpya.

Kinyume cha hapo, imani dhidi yake itapungua, na ikipungus, sauti na vitendo vya kumpinga vitashamiri kiasi cha kumfanya atumie muda mwingi kupambana na upinzani badala ya ya kuutumia muda huo kwenye maendeleo ya kiuchumi.
 
Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.

Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa hivi kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.

Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!

Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:

Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.

2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
JamiiForums753274111.jpg
 
Mbowe Jana amerudia Ile kauli nisoipenda Eti sa100 ni msikivu!!!

Angekuwa msikivu, Leo MAKAMBA, nape na mwigu wasingekuwa mawaziri.

Mbowe Rudi Kwa mstari.
 
Chadema haina ubavu wa kumtikisa mh Rais mama Samia,Haina nguvu hiyo Wala uwezo huo, chadema Ni chama kilichojichokea,Ni chama kilichokosa dira na muelekeo, Ni chama kilichokosa safu ya uongozi ya kuaminika na kusikilizwa, Ni chama kisicho na muunganiko, Ni chama kilichokosa miziz,Ni chama kilichopuuzwa na watanzania. Ni chama kisicho na Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya mtanzania mnyonge,Ni chama kinachofuata matukio

Watanzania wana Imani na CCM na serikali ya ccm chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia, kwa kuwa CCM ndio chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania,ndio chama kilichoonyesha kwa matendo kuwa na uchungu na maisha ya mtanzania,ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na kuungwa mkono na watanzania wote
Kiroboto
 
Nyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.

Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.

Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.

Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
 
Ni kweli, possibility ya Chadema kumchallenge Mama ipo.

Kwanza lazima mjue, Vyama vimeanza kujipanga kuelekea 2025.

Hata hivyo 2024 Kuna Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pia, kwahiyo ni lazima Vyama hasa Chadema vitaanza kufanya mikutano na kujaribu kuwa na Hoja za kupata kuungwa Mkono.

Kuna Hoja zikisimamiwa na Upinzani zinaweza kupelekea kuungwa Mkono na Wananchi, hasa Hoja za Ugumu wa maisha, kupanda kwa bei za bidhaa, Ufisadi n.k

Mkumbuke CCM yenyewe ina Makundi, kwahiyo ni rahisi Wapinzani kupewa Tips za kuzisemea ambazo zinaweza kufanya Mama kubadiri mtazamo wake kuelekea 2025 kama aendelee au asimame mtu mwingine atakaye kuwa na Ushawishi kuwazidi Wapinzani hasa Chadema.

Kama mmeona Mikutano anayofanya J.J Mnyika imewasha taa kwa Mamlaka.
 
Back
Top Bottom