Kuanzia leo naacha pombe na namrudia Mungu

Maisha haya bila pombe ni ufungwa kabisaaa!

Thamani ya kuishi duniani unaanza kuipunguza Kwa speed mno.

Serkali umeipunguzia Kodi mkuu ni sawa na uhujumu uchumi.

Utakoswa marafiki vibopa wenye konekisheni zao!

Utakuwa kama unaishi kisiwani sehemu wanapoishi walokole.pombe hawanywi ila kitu moto wanakula ukiwaauliza wanakuambia alikatazwa kipindi cha agano la kale agano jipya ruksa! Ili Hali vyote ni halali tu
 
Baada ya miaka 24 , rudi utueleze ulipofikia upande huo ulioamua kuhamia
 
Hello jamiiforum

Natangaza msimamo huu Leo 27/7/2024 huku nikimuomba Mungu aniongoze katika njia sahihi.
Ubarikiwe sana
Ukiondoa dini ya Islamic na walikole, sisi Wakatoliki divai ni ibada, huo ndio muujiza wa kwanza wa Bwana wetu Yesu Kristo aluoufanya kwenye harusi ya Kana, aligeuza maji kuwa divai safi, hivyo sisi tunapiga divai
Tunaipiga kama sehemu ya ibada.

Pombe ukiinywa kidogo is good for you health ila ukizidisha ndio mbaya, unanaweza kunywa ili uchangamke ila usilewe.

Na kuna mambo fulani ukiyafanya under the influence of alcohol, you enjoy more. Enzi za ujana mimi na house mate wangu, tuligundua kuna wadada wengi, huwa wana ... lakini hawajawahi ..., kileleni due to inhibitions, ukiwapiga pombe kidogo, kabla hamja..., mki ... ni kitonga fasta!, hivyo pombe kidogo kwenye baadhi ya mambo ni muhimu.
P
 
Tafuta hela pombe unaachaje kizembe [emoji16]
 
Ukilewa unatukana Sele, uko kama una laana Sele......afazari tupumzike
 
Ni Vyema Na Haki kabisa. Kunywa kidogo lkn usilewe!
 
Mkuu nashukuru vipo visa vingi vinavyosababisha nikatae pombe na vilinikuta mara nyingi kama kuibiwa kupoteza vifaa vya ofisi na kadhalika.

Kubwa zaidi jana nimepoteza milioni themanini na saba cash nilizokuwa nataka leo niende nazo kwenye mitikasi yangu ya mbao Kuna mzigo nilitaka kwenda kununua aisee,my God please help me Mimi ni mja wako najua nakosea mengi
 
Aliyekwambia kunywa pombe ni kumuacha Mungu ni nani
 
hongera sana, haya ni maamuzi sahihi. Karibu kwenye ufalme.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…