Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

Ila shost una heka heka sana.. nini mbaya?

Em fanya tupande Marangu Fall kwanza ukarefresh mind.
 
Hili ni tangazo, lilipiwe! Huyu dada ndio yule tuliambiwa humu kaweka picha ya msambwanda ila live ni wa kawaida sn sio? Hebu msaidieni anahitaji wateja wamepungua kwa kazi ya 5G
 
KA MA UNA UWEZO WA KUTOA MAJINI WAKIKUDHAHAKI SI UWARUDISHIE MAJINI YAOO
 
Lakini sijaandika wewe mganga ila umetangaza huwa unawasaidia watu...
Sasa mtu unamuonea huruma unamsaidia na akipona ndio dhihaki kamazote yanini Sasa umsaidie au usaidie watu kama hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…