mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
PoaBasi hao wapeleka hesabu wataendelea kuwa maskini. Wamiliki wa bodaboda ambao baadhi yao wana vitega uchimi
Nipo kaka. Ova. Tutafutane.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoaBasi hao wapeleka hesabu wataendelea kuwa maskini. Wamiliki wa bodaboda ambao baadhi yao wana vitega uchimi
Nipo kaka. Ova. Tutafutane.
CCM MBELE KWA MBELE TULIIPENDA WENYEWE TUKAITAKA WENYEW ACHA WAVIMBE WAPASUKE NA COVID 19 WAKO BUNGENI,ACHA WAISOME NAMBAEEEEE CCM MBELE KWA MBELE.Serikali ilipokuwa inahangaika kufuta vyama vya upinzani na Mbowe sasa ni gaidi,kama hamna la kujifunza jifunzeni kwa hili,yajayo yanafurahisha.Here we go...
Nice move
Upuuzi
Watu wanarahisisha usafiri nyie mnaleta obstacles
Imagine nawai kikao posta na nipo magomeni na imebaki dakika 10 nitumie usafiri gani wakati hata mwendokasi hazina njia Ni Kama magari ya kawaida tu kwenye mataa!!!
Jiji linatakiwa kuwa na kila aina ya usafiri angalia mfano pale kivukoni zile pikipiki ambavyo uwa zinawawaisha watu mjini
Pale utatumia usafiri gani zaidi ya bajaji au pikipiki ili uwai town?
Huu Ni upumbavu
Ww machinga na nani?!Maeneo tulimo hamishwa sie machinga wenzetu wa bajaji ndio wamegeuza kuwa vituo.
Nimewaza jinsi viongozi walivyowanafiki na wanaopenda kujikomba,Umewaza nini?mpaka ukaandika ivyo
Umepiga kwenye mshono mkuu.Tatizo ni hao wanaondesha hivyo vyombo wengi wamekuwa watu wa hovyo sana wanashindwa kuthamini kazi zao ila kuwazuia hapana wangeweka course ili watu waende shule na watoe vibali kwa watakao fanikiwa ila bajaji zibaki za walemavu tu bodaboda ziwe monitoring
Hangaya kawaagiza kajificha nyuma ya watendaji Ili kelele zikizidi ajifanye kuingilia Kati swala la bodaboda.Nilisema! CCM imeshaishiwa pumzi subiri matokeo! Ombi wapinzania legend mtu mwenye uwezo kwa wananchi! Msituletee watu wa ovyo kama Lisu!CCM hawa wapesi sana!
Ukweli ndio huo. Ila wenye nafuu ni wale ambao wanaingia za mikataba. Yaani baada ya muda fulani kulingana na mkataba chombo kinakuwa chako.Basi hao wapeleka hesabu wataendelea kuwa maskini. Wamiliki wa bodaboda ambao baadhi yao wana vitega uchimi
Nipo kaka. Ova. Tutafutane.
We binadamu nahisi sio mu-AFRICA au MTANZANIA org... hahaha!!! Mh. Jakaya Kikwete na serikali yake alikaa akatulia na kuamua ku-solve employment problem kwa vijana wakati ule kwa kuruhusu pikipiki Tanzania then Leo kirahisi tu wasitishe na kuziondoa maana ndio content ya mwandiko wako huu. Hii Ni ngumu Sana. Af Tambua kua kufikia wazo lako hili population control haikwepeki na sio kwa kuongeaongea tu kama hivi.Serikali ijikite katika kuongeza vipato vya watu,mambo mengine yataondoka yenyewe.
Ukiwa na kipato kizuri huwezi panda bodaboda,huwezi nunua vitu kwenye kiosk.
Hahahahah ...hili wazo linanifanya nicheke tu maana linakumbusha historical background ya nchi nyingi za Africa Hasa Tanzania na Sera zake.😏Serikali ijikite katika kuongeza vipato vya watu,mambo mengine yataondoka yenyewe.
Ukiwa na kipato kizuri huwezi panda bodaboda,huwezi nunua vitu kwenye kiosk.
Nyama utazikuta chini.Kuna mdau alishauri hivi hapa jamvini, ngoja tuendelee kunywa supu
Ni marufuku kwenda Kariakoo na city centre ukiwa umevaa ndala😀😀baada ua hapo,nyumba za masikini ziondoke.
Ni marufuku kwenda Kariakoo na city centre ukiwa umevaa ndala[emoji3][emoji3]
Mkuu hawa wanatuzingua tu kwani bodaboda wanaleta usumbufu gani kariakoo?Sijaelewa hii ni kwa zile za biashara tu au zote mpaka zile za watu binafsi?
Tujue kabisa kuwa usafiri unaohitajika hii nchi ni wa Magari tu.