Kuchapwa watoto kiasi hiki ni sawa?

Hahahha hadi mkajuta kuwasindikiza
 
Sijui unataka kutuambia nini, nimechoka kusoma
 
Hivi bado mnachapana mboko? Mtoto anaishi yale anayoyashuhudia. Yaani ana adopt. Wa kuchapwa ni mzazi anayeshindwa kumtengenezea mazingira salama mtoto
 
Wewe bado upo kijijini au haujasoma, sikucheki ila nakuonea huruma, Mungu akusaiide. maisha wazazi wangu waliyokulia yalikuwa mabaya sana na hawakutaka mimi nikulie hayo, na hata mimi niliyokulia yalikuwa sio perfect na sitaki watoto wangu wapitie hell niliyopitia. kama haujaelewa sina kingine cha kukusaidia.
 
Duuuh hii kalii.
 
Labda kwasababu hapo ni madrasa sidhani kama viboko vinahitajika. Halafu pia hivyo vitoto bado vidogo.

Ila mbona sie tukiwa primary na sekondari tumechapwa sana, hapo ni cha mtoto.
Mnataka kuniambia kwamba siku hizi hakuna shule inayochapa viboko?
 
Labda kwasababu hapo ni madrasa sidhani kama viboko vinahitajika. Halafu pia hivyo vitoto bado vidogo.

Ila mbona sie tukiwa primary na sekondari tumechapwa sana, hapo ni cha mtoto.
Mnataka kuniambia kwamba siku hizi hakuna shule inayochapa viboko?
Zipo. Ila viboko vya madras si mchezo! Shuleni at least kale kaptula ka khaki na wavulana sababu ya utundu na kujiandaa tulikuwa tuna vaa 2!
Madras si mchezo aisee!
 
Hii imekaavizuri sana. Kumbe unaelewa kukumbuka Ulipotoka, Ulipo kwa sasa, Unaelekea wapi na Utafikaje huko. Hiyo ni busara na inakutaka utumie uzoefu wa yale uliyojifunza au uliyopitia (history yako) halafu uache yale yasiyofaa, uyachukue yale mazuri kisha uyaboreshe na kuyaendeleza.
Kuwepo kijijini au kutokusoma sio kosa la ajabu saana japokuwa haipendezi lakini maisha ni popote - inategemea ww unajichukuliaje na unamtizamo gani kwa wale ambao hawapo hapo ulipo ww. Usiwadharau na wala usijivune na kwaona wao ni watu duni au wamepoteza mwelekeo.
Nyie wa mjini mbona ndo tunasikia vituko kila uchao ilhali mpo mjini na mmesoma? Mbona bado hamjastaarabika?. Huku vijijini mavituko yenu hayo ya huko mjini, huku hayapo au ni nadra sana kuyasikia.
 
Any corporal punishment to humans is evil, sio kwa mtoto wala kwa mtu mzima na haifundishi wala kuinfluence any change of behavior
 
Vitabu vya dini vinasema, mtumwa anapaswa kumheshimu na kumtii mmliki wake, hata kama anamtesa na kumlawiti..; unajua hilo?
Duh! Nilikuwa silijui hilo aisee. Hebu tuwekee hizo aya hapa mkuu tujisomee wenyewe.
 
Any corporal punishment to humans is evil, sio kwa mtoto wala kwa mtu mzima na haifundishi wala kuinfluence any change of behavior
Please, show the references or the appropriate quotations/citations. Ni hayo tu.
 
Zipo. Ila viboko vya madras si mchezo! Shuleni at least kale kaptula ka khaki na wavulana sababu ya utundu na kujiandaa tulikuwa tuna vaa 2!
Madras si mchezo aisee!
Yep. Kazi ya kumwandaa mtoto si mchezo. Usipokuwa makini hapo utajikuta unazalisha na kulea maduwanzi, watu wazima wakorofi wa kila aina.
 
Nadhani pia hako katoto bado kadogo sana ostqz angetafuta namna nyingine
 
Hivi bado mnachapana mboko? Mtoto anaishi yale anayoyashuhudia. Yaani ana adopt. Wa kuchapwa ni mzazi anayeshindwa kumtengenezea mazingira salama mtoto
Kwa mlolongo huo wa logic yako hapa, tutajikuta tunarudi hadi kuyachapa makaburi ya babu zako. Inafaa tuseme hivi: Tubadilike na Tujisahihishe; na mabadiliko hayo yanaanzia na wewe. Kuwa stable na ngangari kwenye suala la malezi ya watoto wako ili kuepuka ule msemo wa "mitoto ya siku hizi ni balaa tupu" haisikii wala haifundishiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…