Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,120
- 3,468
Majini yako aroundNimeshindwa hata kuelezea, naomba kufahamu kama ni sawa jaman,. Kuna mtoto mdogo hapo nimemuonea huruma sana.
Lakini serikal imekataza kuchapa watoto wawapo mashule, sasa swali, hapo ni wanaruhusiwa kuchapwa namna hiyo? Hakuna adhabu nyingine kwani ya kuwafanya wasirudie kosa?
Nawasilisha.
Cc: Doroth Gwajima
Pia soma
- Mwalimu wa Madrasa apandishwa Kizimbani kwa tuhuma za kuwachapa fimbo (Ukatili) wanafunzi wa madrasa
View attachment 3242079
Uandishi wa barua hiyo ni veri pua!Kasongo naona upo na mwandishi mpaka mwisho
Tafuta kwenye Quran na bible nini msimamo wa vitabu hivi juu ya utumwa, hakuna hata kimoja kinakemea utumwa.., bali vinafundisha jinsi mtumwa anavyopaswa kumhudumia bwana wake anaemmliki, hata akiwa analiwa Tigo, atulie tu... Sasa elewa dhima ya kwanini tuliketewa hivyo vitabu kipindi wanaanza kutufanyia ukoloni na hata utumwa..Duh! Nilikuwa silijui hilo aisee. Hebu tuwekee hizo aya hapa mkuu tujisomee wenyewe.
Sawa; lakini hoja ya kutoa adhabu iendelee. Kama mwl. akiona viboko sio poa atatumia hekima na busara zake kwani yy kama mwl. wao kwa siku nyingi, anawajua vizuri zaidi vijana wake. Sisi watoa koment sijui kama ni wote tunajua hao ni watoto wa umri gani na darasa la ngapi. Ukubwa au udogo wa mwili isiwe ni hoja.Nadhani pia hako katoto bado kadogo sana ostqz angetafuta namna nyingine
😁😁 kweli mkuu, si mambo ya "regious" "against illegal"Angeandika hata kisukuma jamani
Ooh! Nimetafuta mno sijapata na pia nimeGoogle pia hakuna. Sijui kusoma maandishi ya qu'ran. Ni magumu sana. Nipe vifungu nimtafute jirani yangu hapa anitafsirie. Natanguliza shukrani.Tafuta kweny Quran na bible niji msimamo wa vitabu hivi juu ya utumwa, hakuna hata kimoja kinakemea utumwa.., bali vinaafundisha jinsi mtumwa anavyopaswa kumhudumia bwana wake anaemmliki, hata akiwa analiwa Tigo, atukie tu... Sasa elewa dhima ya kwanini tuliketewa hivyo vitabu kipindi wanaanza kutufantia ukoloni na hata utumwa..
kuna imbeciles wamemtetea sana yule mwalimu wa madrasa, sasa kwa msimamo huo wa ofisi ya MUFTI, saijui hawa wajinga wata post nini tenaSidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anaona ni sawa mtoto kuadhibiwa kiasi hicho.
Anaesapoti mwanae achapwe kiasi hicho anyoshe mkono juu!
Unajua Mudi na mapapa wa Vatican ndio waliongoza kwa kumiliki watumwa wengi na kuwafir@?Ooh! Nimetafuta mno sijapata na pia nimeGoogle pia hakuna. Sijui kusoma maandishi ya qu'ran. Ni magumu sana. Nipe vifungu nimtafute jirani yangu hapa anitafsirie. Natanguliza shukrani.
Tuanze na hiki nilichosema ili tujitafakariKwa mlolongo huo wa logic yako hapa, tutajikuta tunarudi hadi kuyachapa makaburi ya babu zako. Inafaa tuseme hivi: Tubadilike na Tujisahihishe; na mabadiliko hayo yanaanzia na wewe. Kuwa stable na ngangari kwenye suala la malezi ya watoto wako ili kuepuka ule msemo wa "mitoto ya siku hizi ni balaa tupu" haisikii wala haifundishiki.
Huna akili timamu weweAcha kuchanganya
Regious issue na illegal issue hapo ni madrasa yako regulated na regious ethical issues japo zko against illegal
Mhh; mbona bullet ya 2 imetaja Sexual access to female captives or slaves?Unajua Mudi na mapapa wa Vatican ndio waliongoza kwa kumiliki watumwa wengi na kuwafir@?
View attachment 3242752
View attachment 3242750
Umesema tuanze na wazazi. Nimeshangaa. Tunaanzaje kwa mfano.Tuanze na hiki nilichosema ili tujitafakari
MUFTI MKUU amelaani kitendo hicho cha kikatili, your mental faculties need to be examined by PsychologistsMbona amechapwa kistaarabu tu, na sisi kwa kukuza mambo, usimnyime mtoto kichapo
Wazazi ndio mzizi wa tabia za watoto. Mtoto hazaliwi na tabia. Tabia anazokuta baada ya kuwa duniani. Je, mwanao unamlea kwenye mazingira ya tabia zipi?Umesema tuanze na wazazi. Nimeshangaa. Tunaanzaje kwa mfano.
malezi gani mabaya yana rekebishwa kwa exaggerated/harsh corporal punishment?Wazazi ndio mzizi wa tabia za watoto. Mtoto hazaliwi na tabia. Tabia anazokuta baada ya kuwa duniani. Je, mwanao unamlea kwenye mazingira ya tabia zipi?
Kuna sex za aina ngapi kwani? We unaamini mtu aliyepewa sexual access atafanya sex ya aina moja tu ya kawaida..?Mhh; mbona bullet ya 2 imetaja Sexual access to female captives or slaves?
au ni humo-humo na ufi**ji uliruhusiwa?
Huna akili timamu wewe
Uki
Kisome tena nilichoandkaHuna akili timamu wewe
USSR