Kuchukiwa kwa Wayahudi ni kwasababu ya kupendelewa na Mungu kwenye akili, Haiwezekani kundi dogo lipate maendeleo makubwa kiasi hiki bila chuki

Kuchukiwa kwa Wayahudi ni kwasababu ya kupendelewa na Mungu kwenye akili, Haiwezekani kundi dogo lipate maendeleo makubwa kiasi hiki bila chuki

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Maendeleo makubwa kwa kundi dogo huwaacha wengine na wivu na hasira

Quran na Biblia zimeweka wazi upendeleo wa Mungu kwa kuwabarikia wayahudi akili zaidi japo kwa upendeleo huu walikuwa na jukumu zito kuzidi wengine kwenye kutii amri za aliewabarikia hizo akili, adhabu zilikuwa kali mno wanapokosea kisha kusamehewa.

Kielimu Wayahudi wapo mbali, ni asilimia 0.2% tu duniani lakini wao ndio wanaongoza kwa kubeba Noble Prizes kwenye
  • Physics
  • Chemistry
  • Medicine (Physiology or Medicine)
  • Economics
  • Literature

MMmVyuo vya Marekani wayahudi kibao kutoka Israel wanahitimu kila mwaka, ukizingatia idadi yao ni asilimia kubwa, hizi ni statistics kutoka havard Worldwide Data | Harvard Worldwide

1735000454454.png


Benki ni Pesa, Wayahudi ndio waasisi wakubwa na wana mgao mkubwa kwenye hii industry, Walipotolewa nchi yao na kupelekwa nchi za Ulaya, walinyimwa mashamba, walinyimwa fursa nyingi kwa kuamini watakuwa masikini milele, kilichotokea wao wakajikita kwenye banking, ni kweli benki zilikuwepo ila wao walienda kuleta mapinduzi makubwa kiasi cha watu hata wa kawaida kuanza kuziamini benki na kutumia huduma mbalimbali

1735000571348.png


Ni ngumu kuamini Israel ipo vitani miaka nenda rudi lakini wao ni nchi ya pili kiuchumi Mashariki ya Kati, Uchumi wao ni Dola bilioni 500 (zaidi ya shilingi trilioni elfu 1) unganisha nchi zote za Africa Mashariki na kati zenye rasilimali kibao bado hazifikii, Ile dola bilioni 3 wanayopewa na Marekani kila mwaka ni sawa na Marekani anavyoipa Tanzania msaada wa kujenga vyoo.


1735000596348.png


Pesa zao huzipata kwa akili kwasababu ardhi yao haina rasili mali nyingi, Ndio nchi inayoongoza kwenye mambo ya kuwagundulia na kuwaboreshea huduma / bidhaa makampuni makubwa duniani, makampuni mengi yameweka ofisi za utafiti Israel kama Samsung, Intel, Huawei, Google, Ericsson, Sony, Microsoft, Siemens, i phone, Nokia, Facebook, Instagram, Whatsapp, Fujitsu, Amazon, NVIDIA, Philips, Cisco, Systems, IBM

Hadi sasa unapoongelea ishu ya cyber security, Israel ndie mbabe wa ulinzi wa mifumo ya computer, maadui zao kama Hezbollah ni mashahidi

1735000734419.png


Kampuni kubwa ya teknolojia ya kilimo duniani ipo Israel, Inaitwa Netafirm

1735000786216.png


Marekani ndio nchi inayoongoza kwa mabilionea, wayahudi ndio wapo wengi zaidi licha ya kuwa asilimia 2 ya wamarekani

Wayahudi ndio waanzilishi wa Hollywood, Movies unazoziona Hollywood kampuni takribani 80% ni za wayahudi
 
Issue serious ukishaanza kuiangalia kwa jicho la udini/imani inakuwa imepoteza maana. Ni kawaida kabisa kwa nchi ambayo haina rasilimali yoyote watu wake kutumia mbinu mbadala ili kuendesha maisha.
Embu fikiria watu wanaoishi kule Alaska wanaendeshaje maisha yao?
 
Issue serious ukishaanza kuiangalia kwa jicho la udini/imani inakuwa imepoteza maana. Ni kawaida kabisa kwa nchi ambayo haina rasilimali yoyote watu wake kutumia mbinu mbadala ili kuendesha maisha.
Embu fikiria watu wanaoishi kule Alaska wanaendeshaje maisha yao?
Alaska kuna Vita ??
 
Vita ndio akili? Issue hapa ni kuwa na akili, kama ulivyosema wayahudi wamependelewa kuwa na akili.
Usichojua ni kwamba Alaska ni sehemu ya Marekani, nchi yenye mabilionea wengi zaidi duniani, kundi kubwa likiwa ni wayahudi
 
Maendeleo makubwa kwa kundi dogo huwaacha wengine na wivu na hasira

Quran na Biblia zimeweka wazi upendeleo wa Mungu kwa kuwabarikia wayahudi akili zaidi japo kwa upendeleo huu walikuwa na jukumu zito kuzidi wengine kwenye kutii amri za aliewabarikia hizo akili, adhabu zilikuwa kali mno wanapokosea kisha kusamehewa.

Wayahudi ni asilimia 1 tu duniani lakini wao ndio wanaongoza kwa kubeba Noble Prizes kwenye
  • Physics
  • Chemistry
  • Medicine (Physiology or Medicine)
  • Economics
  • Literature
Walipotolewa nchi yao na kupelekwa nchi za Ulaya, walinyimwa mashamba, walinyimwa fursa nyingi kwa kuamini watakuwa masikini milele, kilichotokea wao wakajikita kwenye banking, ni kweli benki zilikuwepo ila wao walienda kuleta mapinduzi makubwa kiasi cha watu hata wa kawaida kuanza kuziamini benki na kutumia huduma mbalimbali, Wengine wakajikita kwenye masomo na wakaweza kuushangaza ulimwengu kwa kushinda noble prizes kibao,

Ni ngumu kuamini Israel ipo vitani miaka nenda rudi lakini wao ni nchi ya pili kiuchumi Mashariki ya Kati, Uchumi wao ni Dola bilioni 500 (zaidi ya shilingi trilioni elfu 1) unganisha nchi zote za Africa Mashariki na kati zenye rasilimali kibao bado hazifikii, Ile dola bilioni 3 wanayopewa na Marekani kila mwaka ni sawa na Marekani anavyoipa Tanzania msaada wa kujenga vyoo.

Pesa zao huzipata kwa akili kwasababu ardhi yao haina rasili mali nyingi, Ndio nchi inayoongoza kwenye mambo ya kuwagundulia na kuwaboreshea huduma / bidhaa makampuni makubwa duniani, makampuni mengi yameweka ofisi za utafiti Israel kama Samsung, Intel, Huawei, Google, Ericsson, Sony, Microsoft, Siemens, i phone, Nokia, Facebook, Instagram, Whatsapp, Fujitsu, Amazon, NVIDIA, Philips, Cisco, Systems, IBM

Hadi sasa unapoongelea ishu ya cyber security, Israel ndie mbabe wa ulinzi wa mifumo ya computer, maadui zao kama Hezbollah ni mashahidi

Kampuni kubwa ya kilimo duniani ipo Israel,

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa mabilionea, wayahudi ndio wapo wengi zaidi licha ya kuwa asilimia 2 ya wamarekani

Wayahudi ndio waanzilishi wa Hollywood, Movies unazoziona Hollywood kampuni takribani 80% ni za wayahudi
Marekani kuna wanasayansi wengi wairan kuliko Wayahudi, na hata ukiangalia Actual papers za Sayansi na namna Zinavyokua Recited Iran wapo juu zaidi. Hizi propaganda mnazipenda kweli mna ongea habari za vijiweni bila hata Ushahidi.

Na jews Halisi according to science ni hao wapalestina Wanaouliwa sasa hivi. Hao Ashkenazi ambao unawasifia kwenye huu uzi wana vinasaba vidogo sana vya hilo eneo.
 
Wayahudi hawaonewi wivu. Kuna sababu za msingi na zinajulikana kwanini nchi yoyote wanapokuwa wengi huwa hawapendwi, wanabaguliwa, kutengwa au hata kuuwawa.

Soviet Union hawakutakiwa sana, Stalin alikaa nao mbali. Stalin hakutaka kabisa kutibiwa na madaktari Wayahudi waliokuwa wengi.

Ufaransa walisababisha mgogoro wa Dreyfusards na anti-Dreyfusards.

Marekani Wayahudi kutumia udanganyifu na lobying kwenye kesi ya Leo Frank walisababisha raia kujichukulia sheria mkononi. Na kundi la Ku Klux Klan lilitokana na sababu zao.

Ujerumani uko kwanini Hitler alihamasisha watu wawachukie Wayahudi, na watu wakamuunga mkono haraka sana. Mbona kulikuwa na French descendants, Poles, Austrians na wengine, mbona hawakuchukiwa? How comes Ujerumani ilikuwa na ubaguzi, ila inabagua jamii moja tu!
Yaani mfano unasema Wayao ni wabaguzi ila sasa wanawachukia Wagogo peke yao kati ya makabila 120+ Tanzania, hapo Wayao wabaguzi au kuna kitu behind katika hao Wagogo wanaobaguliwa?

Waarabu ndio hawa hawawataki Wayahudi.

Warumi hawakuwapenda Wayahudi kati ya makoloni yao yote Judea ndio ilichukiwa. Na ndio maana makamanda Titus na Tiberius walifanya siege kwa miezi mitano kuhakikisha Wayahudi wanakosa chakula, maji na hawatoki. Na wakavunja temple, hadi leo sanduku la agano halijulikani lilipo.

Popote pale ambapo Myahudi anakuwa kwa wingi, eventually atachukiwa. Sasa shida ni walimwengu dunia nzima au Wayahudi wenyewe?
 
Maendeleo makubwa kwa kundi dogo huwaacha wengine na wivu na hasira

Quran na Biblia zimeweka wazi upendeleo wa Mungu kwa kuwabarikia wayahudi akili zaidi japo kwa upendeleo huu walikuwa na jukumu zito kuzidi wengine kwenye kutii amri za aliewabarikia hizo akili, adhabu zilikuwa kali mno wanapokosea kisha kusamehewa.

Wayahudi ni asilimia 1 tu duniani lakini wao ndio wanaongoza kwa kubeba Noble Prizes kwenye
  • Physics
  • Chemistry
  • Medicine (Physiology or Medicine)
  • Economics
  • Literature
Walipotolewa nchi yao na kupelekwa nchi za Ulaya, walinyimwa mashamba, walinyimwa fursa nyingi kwa kuamini watakuwa masikini milele, kilichotokea wao wakajikita kwenye banking, ni kweli benki zilikuwepo ila wao walienda kuleta mapinduzi makubwa kiasi cha watu hata wa kawaida kuanza kuziamini benki na kutumia huduma mbalimbali, Wengine wakajikita kwenye masomo na wakaweza kuushangaza ulimwengu kwa kushinda noble prizes kibao,

Ni ngumu kuamini Israel ipo vitani miaka nenda rudi lakini wao ni nchi ya pili kiuchumi Mashariki ya Kati, Uchumi wao ni Dola bilioni 500 (zaidi ya shilingi trilioni elfu 1) unganisha nchi zote za Africa Mashariki na kati zenye rasilimali kibao bado hazifikii, Ile dola bilioni 3 wanayopewa na Marekani kila mwaka ni sawa na Marekani anavyoipa Tanzania msaada wa kujenga vyoo.

Pesa zao huzipata kwa akili kwasababu ardhi yao haina rasili mali nyingi, Ndio nchi inayoongoza kwenye mambo ya kuwagundulia na kuwaboreshea huduma / bidhaa makampuni makubwa duniani, makampuni mengi yameweka ofisi za utafiti Israel kama Samsung, Intel, Huawei, Google, Ericsson, Sony, Microsoft, Siemens, i phone, Nokia, Facebook, Instagram, Whatsapp, Fujitsu, Amazon, NVIDIA, Philips, Cisco, Systems, IBM

Hadi sasa unapoongelea ishu ya cyber security, Israel ndie mbabe wa ulinzi wa mifumo ya computer, maadui zao kama Hezbollah ni mashahidi

Kampuni kubwa ya kilimo duniani ipo Israel,

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa mabilionea, wayahudi ndio wapo wengi zaidi licha ya kuwa asilimia 2 ya wamarekani

Wayahudi ndio waanzilishi wa Hollywood, Movies unazoziona Hollywood kampuni takribani 80% ni za wayahudi
Bado walibondwa na iran kwa zaidi ya missel 110
 
Marekani kuna wanasayansi wengi wairan kuliko Wayahudi, na hata ukiangalia Actual papers za Sayansi na namna Zinavyokua Recited Iran wapo juu zaidi. Hizi propaganda mnazipenda kweli mna ongea habari za vijiweni bila hata Ushahidi.

Na jews Halisi according to science ni hao wapalestina Wanaouliwa sasa hivi. Hao Ashkenazi ambao unawasifia kwenye huu uzi wana vinasaba vidogo sana vya hilo eneo.
Kwa Tanzania wao na Israeli huwaambii kitu . Ukifsnya research utagundua wa Iran wamefanya paper nyingi sana MAeno mbali mbali lakin ukiwa mlokole kamwe Hilo hutaliona maana brain washed ni kubwa
 
Kama Mungu ana upendeleo basi huyo Mungu analiwa tako.
Kwanini awe na tabia za kibinadamu?
Mungu ana wivu, Mungu ana watu wake, Mungu anapata hasira.

Sasa huyo Mungu au choko.
Ndugu yangu ivi wewe unadhan MWENYEZI MUNGU ni mwanadamu mwenzio, hebu kuwa na hofu kidogo bas


Acha mizaha ndugu yangu, acha kabisa
 
Kwa Tanzania wao na Israeli huwaambii kitu . Ukifsnya research utagundua wa Iran wamefanya paper nyingi sana MAeno mbali mbali lakin ukiwa mlokole kamwe Hilo hutaliona maana brain washed ni kubwa
Iran ameshampita Mturuki na Muisrael kwenye Scientific Output, So far Middle East ndio Taifa lenye Gunduzi nyingi kushinda wote.

Na sio Kwao Tu Iran bali dunia nzima, mfano Usa si waisrael , si wahindi si taifa lolote bali ni Iranian-Americans ndio most successfull immigrants, jamaa wameshika post za Scientist kote Usa kuanzia Google, IBM, Nasa etc position za juu za Scientist ni wao.

Mfano Hapo Nasa hadi Project ya Mars alikua ana lead Muiran.
 
Hao sio wa Israeli wa kweli Hao ni mamluki kutoka ulaya mashariki wanaitwa khazarian au Ashkenaz sio wayaudi wa kwenye biblia wala hawana Uhusiano kabisa hao ni fake
 
Kama Mungu ana upendeleo basi huyo Mungu analiwa tako.
Kwanini awe na tabia za kibinadamu?
Mungu ana wivu, Mungu ana watu wake, Mungu anapata hasira.

Sasa huyo Mungu au choko.
Huna adabu
 
Back
Top Bottom