Marekani kuna wanasayansi wengi wairan kuliko Wayahudi, na hata ukiangalia Actual papers za Sayansi na namna Zinavyokua Recited Iran wapo juu zaidi. Hizi propaganda mnazipenda kweli mna ongea habari za vijiweni bila hata Ushahidi.
Na jews Halisi according to science ni hao wapalestina Wanaouliwa sasa hivi. Hao Ashkenazi ambao unawasifia kwenye huu uzi wana vinasaba vidogo sana vya hilo eneo.
Kama dola moja ya kimarekani ni sawasawa na rial 42,000 za Iran basi huwezi ukanidanganya kwamba Iran wako poa.
Lazima maisha katika nchi ya Iran yatakuwa ni balaa kubwa sana au kwa lugha nyepesi ni kwamba peremende inayouzwa Tanzania shilingi 50 nchini Iran itauzwa sawa na shilingi 5,000 sasa hiyo sio nchi.
Maendeleo makubwa kwa kundi dogo huwaacha wengine na wivu na hasira
Quran na Biblia zimeweka wazi upendeleo wa Mungu kwa kuwabarikia wayahudi akili zaidi japo kwa upendeleo huu walikuwa na jukumu zito kuzidi wengine kwenye kutii amri za aliewabarikia hizo akili, adhabu zilikuwa kali mno wanapokosea kisha kusamehewa.
Kielimu Wayahudi wapo mbali, ni asilimia 0.2% tu duniani lakini wao ndio wanaongoza kwa kubeba Noble Prizes kwenye
Physics
Chemistry
Medicine (Physiology or Medicine)
Economics
Literature
MMmVyuo vya Marekani wayahudi kibao kutoka Israel wanahitimu kila mwaka, ukizingatia idadi yao ni asilimia kubwa, hizi ni statistics kutoka havard Worldwide Data | Harvard Worldwide
Benki ni Pesa, Wayahudi ndio waasisi wakubwa na wana mgao mkubwa kwenye hii industry, Walipotolewa nchi yao na kupelekwa nchi za Ulaya, walinyimwa mashamba, walinyimwa fursa nyingi kwa kuamini watakuwa masikini milele, kilichotokea wao wakajikita kwenye banking, ni kweli benki zilikuwepo ila wao walienda kuleta mapinduzi makubwa kiasi cha watu hata wa kawaida kuanza kuziamini benki na kutumia huduma mbalimbali
Ni ngumu kuamini Israel ipo vitani miaka nenda rudi lakini wao ni nchi ya pili kiuchumi Mashariki ya Kati, Uchumi wao ni Dola bilioni 500 (zaidi ya shilingi trilioni elfu 1) unganisha nchi zote za Africa Mashariki na kati zenye rasilimali kibao bado hazifikii, Ile dola bilioni 3 wanayopewa na Marekani kila mwaka ni sawa na Marekani anavyoipa Tanzania msaada wa kujenga vyoo.
Pesa zao huzipata kwa akili kwasababu ardhi yao haina rasili mali nyingi, Ndio nchi inayoongoza kwenye mambo ya kuwagundulia na kuwaboreshea huduma / bidhaa makampuni makubwa duniani, makampuni mengi yameweka ofisi za utafiti Israel kama Samsung, Intel, Huawei, Google, Ericsson, Sony, Microsoft, Siemens, i phone, Nokia, Facebook, Instagram, Whatsapp, Fujitsu, Amazon, NVIDIA, Philips, Cisco, Systems, IBM
Hadi sasa unapoongelea ishu ya cyber security, Israel ndie mbabe wa ulinzi wa mifumo ya computer, maadui zao kama Hezbollah ni mashahidi
Unaweza ukawa jews wa conversion ama kwa asili, Ashkenaz ni jews kwa conversion hawana asili ya Middle East kwa wingi kwenye Dna zao, Meanwhile wakazi wa hilo eneo Palestina, Lebanon, Syria na wengineo ndio OG canaanite proven by Science.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.