Kwenye movie ya 3 idiots kuna sehemu jamaa anasema the voice is his but words are mine..hopeful nimeelewekaKwani mimi kuna sehemu nimesema matatizo yetu waafrika yameletwa na wengine?
Ndo maana nimesema utumwa wa kinguvu uliisha, lakini upo wa ki hiyari na pia “mental slavery”
Utumwa wa kiakili umechangia kwa kiasi kikubwa zaidi kwenye hali iliyopo Africa hususan viongozi wale ambao nao ni zao la wananchi wenyewe.
Tufanye kama tunakubaliana kwamba Inshara za ujio wa Yesu alizofundisha yohana mbatizaji hawakuziamini hao wayahudi!.
Baadae akajitokeza huyo Yesu wa miujiza na matendo yake ya bayana, bado tu wayahudi wakashupaza shingo zao na kutomuamini ikapelekea mpaka wakampa adhabu ya kidharimu ambayo mimi na wewe kamwe hatuhimili.
Yesu kabla ya kufa pale msalabani yalitokea matendo makuu ikiwemo mchana kuwa giza kuanzia calvari mpaka taifa zima, pazia la hekalu likachanika na taharuki kuu ikazuka taifa zima!
Na baada ya siku3 Yesu alifufuka kutoka kwa wafu na wanafunzi wake kadhaa wanaomtukuza na kumkubali ALIWATOKEA LIVE!!
Katika hao wanafunzi walikuwemo wayahudi kindakindaki. Sasa WHY wasihubiri na kueneza matendo makuu ya Yesu huko huko kwao kwanza na kuaminika kabla hawajatufikia sisi WAMATUMBI?!
Waisraeli SIO WASABATO, Wayahudi wana dini yao ya kiyahudi mkuu usidanganye watu
Sema wewe sasa alipigwa ngapi? au alikatwa na mapanga?
Unajua kwa nini Marekani na Ulaya ndio vinara wa maendeleo duniani?Unaposema “misingi ya mafanikio yako ni ukristo” unamaanisha kitu gani?
Fuatilia vyema utafahamu mifumo yote ina watu wenye mafanikio na walioleta mabadiliko makubwa duniani.
Iwe ni Christians, Muslims, Budhas, Hindus, Chinese etc etc.
Fuatilia, kama hujui uliza.
Sema wewe sasa alipigwa ngapi? au alikatwa na mapanga?
Brother tunaishi uzunguni, ulaya yenyewe haswa mi sijaona hapa mzungu mkristo hata mmoja nchi nzima ni wapagani, ni ulaya ipi unayozungumzia wewe? Nchi Gani? Makanisa ya ulaya ni majumba ya kufanyia sherehe za kijamii tu, yana walinzi tu!! Waambie na wenzio muamke huko bara la giza!Unajua kwa nini Marekani na Ulaya ndio vinara wa maendeleo duniani?
Jibu ni Ukristu.
Unajua Ukristu ulipenya lini hadi India, China, Asia, na mataifa yote ya Kiarabu?
Wake up!
Uthibitisho huo hapo umeuweka mwenyewe. Ulaya ilikuwa senta kubwa ya Ukristu.Brother tunaishi uzunguni, ulaya yenyewe haswa mi sijaona hapa mzungu mkristo hata mmoja nchi nzima ni wapagani, ni ulaya ipi unayozungumzia wewe? Nchi Gani? Makanisa ya ulaya ni majumba ya kufanyia sherehe za kijamii tu, yana walinzi tu!! Waambie na wenzio muamke huko bara la giza!
Huyu anaonekana sio msomaji wa nenoBiblia inayo majibu ya maswali yako yote.
Umesema ya moyoni mkuuKabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.
Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.
Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!
Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .
Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?
Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
kimsboy njoo hukusina shaka katika shibe na majivuno kutoka kwa binaadam,kiumbe binaadam akishiba hujaa dharau na majivuno.
ni heri huyu ambaye hujaa dharau baada ya kujihisi ni imara,kuliko yule ambaye hujifanya anajua kufikiri, wakati hata sekunde moja ijayo hana uwezo wa kuitabiri kwa ufasaha.
Hata kipindi kile wa Israel wakiwa Misri walimkataa Mungu wao, wakamtumikia mungu wa farao lkn Mungu wao hakuwaacha alikuja kuwarudia baada ya miaka 400.Wengine kumkataa Yesu ni sawa na kumkataa Mungu, ila wengine wanamkataa wazi wazi na bado wanaitwa ni Taifa telule la Mungu!!
Kuna logic hapa kweli?
Swali ni kwamba wangali taifa teule ama la?Wahahudi wengi wao walimkataa Yesu na mafundishio yake kwa wakati ule. Lkn baadae wengi wao walikuja kumwamini na wakawa Wakristo.
Kunukuu hakumfanyi awe Mkristo, kama tu ambavyo wewe huwezi kuwa mfuasi wa Hitler kwa kunukuu tu kile alichosema au kuandika.Juzi juzi wakati Netanyahu anahutubia taifa ali quote maneno ya Bible, sasa nikawa najiuliza km wa Israel sio Wakristo, inakuwaje kiongozi wao mkuu anatumia maneno ya biblia kuhutubia wananchi wake?
Labda utusaidie wewe, ni lini waliondolewa kuwa taifa teule?Swali ni kwamba wangali taifa teule ama la?
Kunukuu hakumfanyi awe Mkristo, kama tu ambavyo wewe huwezi kuwa mfuasi wa Hitler kwa kunukuu tu kile alichosema au kuandika.
sasa usaidiwe lipi apo maana ya mayahudi hayafanani na ayo ya tuliaKabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.
Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.
Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!
Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .
Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?
Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Watu ukiwaambia mkuu hawaaamini wanadhani makanisa ulaya yanajaza kama huku masta, tell these people kwamba AFRICA bado sana, kuna majitu yanadhani YESU alikuwa mkristo, poor African’s….Brother tunaishi uzunguni, ulaya yenyewe haswa mi sijaona hapa mzungu mkristo hata mmoja nchi nzima ni wapagani, ni ulaya ipi unayozungumzia wewe? Nchi Gani? Makanisa ya ulaya ni majumba ya kufanyia sherehe za kijamii tu, yana walinzi tu!! Waambie na wenzio muamke huko bara la giza!
Eti Yesu hakuwa Mkristo, hahaha.Watu ukiwaambia mkuu hawaaamini wanadhani makanisa ulaya yanajaza kama huku masta, tell these people kwamba AFRICA bado sana, kuna majitu yanadhani YESU alikuwa mkristo, poor African’s….
Mara walipomkataa Masihi Kristu, ambaye ndiye kusudi kuu la uteule wao.Labda utusaidie wewe, ni lini waliondolewa kuwa taifa teule?
^Huwezi^???Hauwezi kunukuu kitu ambacho wale unao wa address hawana ufahamu nacho kabisa.
Inawezekana 100%!!!Mimi kijijini kwangu ni wakristo wote, eti nianze kuwaambia mtume Mohammed alisema hivi na hivi. Dah si watanishangaa sana aise