AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,406
- 4,899
Suala la wayahudi ku ni wateule wa Mungu ni uongo uliopachikwa kwenye bibleMimi Mkatoliki na Mseminary niliyeishia Kipalapala, juu ya Wayahudi na baraka, uongo ni mwingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suala la wayahudi ku ni wateule wa Mungu ni uongo uliopachikwa kwenye bibleMimi Mkatoliki na Mseminary niliyeishia Kipalapala, juu ya Wayahudi na baraka, uongo ni mwingi sana
Wayahudi tuwape benefit of Doubt kwamba wakati Yesu anakuja basi walikuwa hawajawa na uelewa mzuri kuhusu Yesu. Let us Assume in that way
Je hadi leo after 2000+ yrs bado hawajajua kama Yesu ni Mkombozi?
Nani alipachika Mkuu...Kwa nini alipachika.....tupe shule kidogo.Suala kua wayahudi ni wateule wa Mungu ni uongo uliopachikwa kwenye bible
Umepechikwa na Waisraeli, ili waabudiwe wao badala ya Mungu wa kweli.Nani alipachika Mkuu...Kwa nini alipachika.....tupe shule kidogo.
Walichokifanya Oktoba 7 ni maisha ya kila siku ya wayahudi kwao unyama wa kuwaonea wapalestina huwa hautangazwi popote. Ndio maana nimekwambia hao ni wamiliki wa vyombo vya habari vya magharibi, wanajua namna zote za kumgeuza mtu akawa adui wa dunia.Sio kwamba wanajulikana ni magaidi......Charter yao inaonyesha hivyo....Walichokifanya October 7th kimedhirisha hivyo....Labda hujui kilichotokea.....
Unyama wa hamas unapotokea unaandikwa kwenye media, ule wa wayahudi hauna pa kuandikwa.Na Hamas wanafanya nini...Just pure barbaric za stone age....au hilo hujaliona?
Suala la wayahudi ku ni wateule wa Mungu ni uongo uliopachikwa kwenye
Suala la wayahudi ku ni wateule wa Mungu ni uongo uliopachikwa kwenye bible
Unyama wa hamas unapotokea unaandikwa kwenye media, ule wa wayahudi hauna pa kuandikwa.
Washenzi tu hao wayahudi.
Unataka kusema hata Palestine ni nchi takatatifu nioungo ulipoachikwa kwenye Quran.......Soma Hamas wanavyosema
Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinianmovement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life isIslam. It strives to raise the banner of Allah over every inch ofPalestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam willobliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)The Exclusive Moslem Nature of the Area:----------------------------------------'The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No onecan renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, theLiberation of Palestine is an individual duty for every Moslemwherever he may be.' (Article 13)
Umeona.....The Land of Palestine is an Islamic Waqf........Holly Possession......
Hapa unahamisha magoli, tumalizane na hili la Uteule wa Waisraeli, ndio kitu kinazungumziwa katika bandiko hili.Unataka kusema hata Palestine ni nchi takatatifu nioungo ulipoachikwa kwenye Quran.......Soma Hamas wanavyosema
Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinianmovement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life isIslam. It strives to raise the banner of Allah over every inch ofPalestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam willobliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)The Exclusive Moslem Nature of the Area:----------------------------------------'The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No onecan renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, theLiberation of Palestine is an individual duty for every Moslemwherever he may be.' (Article 13)
Umeona.....The Land of Palestine is an Islamic Waqf........Holly Possession......
nimempa maagizo mletamada.Sasa hapa umejibu nini?
CNN wamiliki wake ni jews, pentagon wamejaa jews, capitol hill wamejaa jews, hakuna rais wa USA mwenye jeuri ya kuwakaripia na kuwaambia ukweli kwamba unyama wanaowafanyia wapalestina hauna nafasi katika ulimwengu huu wa sasa.Kuna mengu hujui.....na kweli hujui....anayefahamu Western Media...CNN ni chombo ambacho kiko kinyume na Israel...Hiyo inajulikana wazi.....Unataka nikupe shule ya za Media za US na misimamo yao?
Sio kwamba Hamas wanajulikana ni magaidi....Charter yao inaonyesha hivyo....Nimekuonyesha Charter yao na mismamo wao....Wewe unasemaje?
Wakristo ndani ya Israeli ni 1.9% hawa uwepo wao hautambiliki wala hauna impact yoyote, hata sherehe za krismas ni maruku IsaraeliWa Israel ambao ni Wayaudi wanamtambua Yesu Kristo ila wao wanasema yeye sio Masihi, atakuja mwingine! Ila kumbuka Waisraeli wakristo wanamtambua Yesu kama mwokozi.
Taifa la Mungu linampaka matope Mungu huyo huyo kwa kuwa na mienendo ya kibaguzi na ya kishenzi.Kuna Aljezeera Steven....Hata Waarabu wanashindwa kuandika? Hata Iran...? Hata Saudia........? Inathibitisha hao ni Warabu koko hawana msaidizi.....
Unyama wa hamas unapotokea unaandikwa kwenye media, ule wa wayahudi hauna pa kuandikwa.
Washenzi tu hao wayahudi.
Ila Hamas inapopigania haki yake in barbaric way kumtetea Allah...hilo huoni......Soma Charter tena...Taifa la Mungu linampaka matope Mungu huyo huyo kwa kuwa na mienendo ya kibaguzi na ya kishenzi.
Usiongeze maneno yako.....Christmas ni Marufuku Israel? Unataka nikuumbue....Christmas si mbali....nitakuonyesha...Tusiandikie mate wino upo....Wakristo ndani ya Israeli ni 1.9% hawa uwepo wao hautambiliki wala hauna impact yoyote, hata sherehe za krismas ni maruku Isaraeli
Boss yan Aljazeera tu ?…Wayahud ndio wamiliki wa vyombo vya habari vikubwa na vitu kama hivyo, hollywood imejaa wayahudi kuliko maelezo na wao ndio wanarun hiyo game huko, mkuu fanya utafiti ma zionist ni makatili kinoma, wao ndio wanaamua kipi kionekane kwenye maistreem media kipi kisionekane…Kuna Aljezeera Steven....Hata Waarabu wanashindwa kuandika? Hata Iran...? Hata Saudia........? Inathibitisha hao ni Warabu koko hawana msaidizi.....
Weka hoja mezani.Mkuu Bush Dokta, Swali lako lina majibu wazi ndani ya Biblia, Soma Kitabu cha Warumi sura ya 6 yote itakupa majibu....Kwa urahisi tu, sasa hawamtambui Yesu kama Mwokozi wao, Lakini kuna siku Watamtambua....Hivyo ndivyo Biblia inafundisha.....Book of Romans Chapter 6 to 11.....Imeweka wazi kwa nini hawamtambui kwa sasa na huko mbleni kwa nini watamtambua.
Usiongeze maneno yako.....Christmas ni Marufuku Israel? Unataka nikuumbue....Christmas si mbali....nitakuonyesha...Tusiandikie mate wino upo....