Kudorora kwa muhimili wa familia na wimbi la kukataa ndoa ni ishara ya ushindi kwa shetani

Katika sayansi Inasemekana dunia imewahi kuwa na 5 mass level extinctions events kama ile ya asteroid iliyoua dinosaurs miaka millioni 66 iliyopita (cretaceous-paleogene extinction event).
 
Sasa unatushaurije sie wapenda ndoa?
 
Hivi nyoka wenye sumu, nzi wa majumbani, mende na mbu wanaoambukiza Malaria nao walipona kwenye gharika?
Hapo sijui mkuu, labda nitafute chanzo nijue kama viumbe vyote havikupona au vilipona
 
Hapa duniani shetani atashinda, ushindi wake unapimwa na wangapi ameweza kuwapotosha, lakini Mbinguni Mungu anamsubiri na huko shetani hana mamlaka yoyote na ataadhibiwa pamoja na wafuasi wake
Katika zama hizi na zama za kale je ni kipindi kipi ambacho shetani aliabudiwa sana na kuwa na wafuasi wengi sana na upinzani mchache?
 
We kijana Una akili Sana HONGERA kwa kuandika jambo zuri


Nakuja PM unipatie kitabu
Ndoa ni taasisi imara Sana hivyo panapo uzima ntaoa.✊🏿
Karibu mkuu, vitabu vipo vingi sana
 
Katika zama hizi na zama za kale je ni kipindi kipi ambacho shetani aliabudiwa sana na kuwa na wafuasi wengi sana na upinzani mchache?
Kipindi hiki shetani ana wafuasi wengi, ukitaka kujua hilo angalia population ya wakati huu na wakati uliopita
 
kusema kweli mimi kama shetani mwenyewe nimeshangaa sana!, binadamu mmekuwa mkinisakama kwa vingi sana,maswala yenu yakiwashinda mmekuwa mkinirushia mimi zinga la nyuki!.
kama ndoa zimewashinda mimi inanihusu nini..?
sio mimi ninaefungisha hizo ndoa hayo ni mambo yenu!,Hivyo basi ninakemea vikali sitaki na sihitaji mnihusishe na mambo yenu haswa ya ndoa!. Pia nitoe rai kwa yeyote atakaenisingizia basi natangaza nitamalizananae ki ubaya ubwela... 👿
 
Umesahau kwamba uliapa utahakikisha unawapoteza wanadamu?
 

Hayo yaliandikwa katika hicho kitabu au yalitabiriwa katika maandiko kwenye nyakati za mwisho?? 😥
 
Hayo yaliandikwa katika hicho kitabu au yalitabiriwa katika maandiko kwenye nyakati za mwisho?? 😥
Hayo yote yapo katika hicho kitabu, familia ni chapter mojawapo tu, yapo mambo mengine mengi
 
Hayo yote yapo katika hicho kitabu, familia ni chapter mojawapo tu, yapo mambo mengine mengi
Nilimaanisha hicho kitabu kiliandika sawa. Reference ya Vitabu vya dini zinasemaje?
 
Nilimaanisha hicho kitabu kiliandika sawa. Reference ya Vitabu vya dini zinasemaje?
Vitabu vya dini vimetabiri dalili za nyakati za mwisho na mambo ambayo yatatokea nyakati hizo.

Nadhani kitabu cha Ufunuo ndyo kinaeleza hayo mambo
 
Kukanusha na kudanganya ndyo tabia yako Kuu
nakupa onyo!. kama huna fikra pana achana na kunisingizia kwenye mambo yenu!, nyinyi mmedanganywa shetani sihusiki na dhambi zenu!, Je hamuoni kwenye vitabu vyenu mmeandikiwa mtabeba misalaba yenu..? kama mimi nawatendesha mbona sio mzigo wangu!
 
Hakuna jipya chini ya jua. Ni jambo jipya kwa unayeishi sasa, ila hofu hiyo ilikuwapo na itakuwapo hata baadae, maisha yanaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…