Kuelekea 2025: Hawa wafuatao bora niharibu kura yangu kuliko kuwachagua

Kuelekea 2025: Hawa wafuatao bora niharibu kura yangu kuliko kuwachagua

Maoni yangu binafsi kuelekea uchaguzi mkuu 2025. Hapa Nina orodha ya Watanzania wenzetu,wanasiasa ambao Kwa namna moja au nyingine huenda miongoni mwao watakuwepo wenye tamaa ya kutaka kuwania kiti cha urais uchaguzi mkuu utakapofika.

Hii ni sehemu yangu ya kujiwekea kumbukumbu Ili nisije nikasahau wanayotufanyia Watanzania kipindi hiki. Kwani iko wazi kipindi cha kampeni wanasiasa wanakuwa na lugha nzuri mno na ahadi zisizotekelezeka.

Orodha hii itanisaidia mimi na mtanzania yeyote atakayeona kuwa orodha hii Inamsaada kwake pia. Lakini pia naomba orodha iongezeke kadri itakavyoongezeka.

Pia orodha ipate muda wa kutosha wa kukaa hewani mpaka siku ya uchaguzi 2025 panapo majaliwa Kwa mwenye kufika siku hiyo akiwa hai na mzima wa Afya.

1. Tundu lissu - Mkimbizi, muongo muongo, hajui anachokihitaji, mtu mwenye ahadi za kurejea nchini Kila uchao na hazitimii. Huyu yupo tayari kuiingiza nchi kwenye utumwa na ukoloni kwa kujipendekeza kwa Wazungu.

2. Kassimu majaliwa - Si mzalendo wa kweli anapretend wema nyuma ya pazia ni wale wale. Ameshindwa kuweka lami barabara iendayo kwao Ruangwa, ameshindwa kusimamia zao la korosho zao linalolimwa zaidi na wapiga kura wake pamoja na watu wengi wa mikoa yake.

3. Mwigulu nchemba - Huyu jamaa janja janja akipewa nchi atawahamishia Watanzania wanaompinga Burundi, anaiharibu nchi Kwa kuwafisidi wananchi wanyonge wanaotafuta maisha kwa Tozo zake.

4. Edward lowassa - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya.

5 Frederick Sumaye - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya ananunulika kama alivyosema Hayati Julius Kambarage Nyerere akiwazungumzia wanasiasa wa namna hiyo.

6. Hashimu Rungwe - Ana upeo mdogo wa maono, mtazamo finyu na uwezo mdogo wa kufikiri.

7. Dr Bashiru Ally - [emoji777]

8. Humphrey Polepole -[emoji777] kihere here ,elimu haijamsaidia.

9. Prof. Sospeter Muhongo - Liprofesa liongo liongo linatumika vibaya na wanasiasa.

10. Palamagamba Kabudi - Lisomi uchwara mueneza propaganda,anatumika vibaya na wanasiasa elimu yake haijamsaidia.

11. Zitto Kabwe - Msomi uchwara mwenye njaa ya mafanikio binafsi kuliko ya umma. Yupo tayari kuuza utu wake linapokuja suala la masilahi binafsi.

12. January Makamba - Kiongozi mkubwa mwenye utoto mwingi, mbinafsi anafeli kusimamia Wizara ya Nishati kwa kujiona mjuaji na kutaka kushindana na legacy ya mzee Magufuli katika kuiboresha wizara hiyo. Huyu roho mbaya hafai.


Wagombea wengine ongezeeni ninyi,hii inaweza ikawasaidia kujitathimini huenda wakabadili mitazamo waliyonayo.
Wewe mbona hujajitaja? Au nikutaje!
 
Tanzania iko salama achana fikra za kipindi Cha mpito tulichopitia.
Tukamatie kwanza waliompiga risasi.Na utwambie sababu za kushambuliwa kwake.Ulete tena zile CCTV footages na useme kwanini camera ziliondolewa na ni nani aliyeziondoa.
 
Hivi inamana hujui kilichompata Tundu Lissu? Je mpaka leo kuna mshukiwa amekamatwa au kushtakiwa? Sasa unataka mtu arudi akufurahishe wewe ikiwa bado usalama wake haupo sawa
Mkuu Kuna watu ni ma pimbi sana humu, na jana tarehe 7.9 ametimiza miaka 5 ya kushambuliwa kwake.. Lakini hatuna mtuhumiwa hata mmoja aliyekamatwa
 
Pambana mwenyewe Hakuna mtawala yeyeto wa kiafrica anaweza letea watu maendeleo. Naona Kenya safari hii wamejifunza kutouana kwa faida ya walamba asali wameona ni ujinga kuuana kwa sababu ya uchaguzi. Wananchi ndio wapatao shida na sio watawala. Mimi yeyeto tu hata asipowekwa mtu nchi hizi za kiafrica zinajiongoza zenyewe hata bila uchaguzi,
Kituko Kiko Mbezi mwisho.Serikali imegeuka jambazi sugu na raia wamejifunza kuishi na serikali jambazi.Unakopa mtaji,unanunua bidhaa,unajenga banda au unakodishwa ,unafanya biashara wiki kadhaa.Siku ya siku unafunga siku ,unalaza mzigo wako unaenda kupumzika.Ikifika muda fulani usiku,serikali jambazi inakuja inabomoa banda na kubeba bidhaa zote.Unaenda kwa dalali anakupa bidhaa,unarudi unajenga tena banda lako unaanza kuuza tena hadi serikali jambazi itakapo amua tena.Watu ndivyo wanavyoishi.
 
Maoni yangu binafsi kuelekea uchaguzi mkuu 2025. Hapa Nina orodha ya Watanzania wenzetu,wanasiasa ambao Kwa namna moja au nyingine huenda miongoni mwao watakuwepo wenye tamaa ya kutaka kuwania kiti cha urais uchaguzi mkuu utakapofika.

Hii ni sehemu yangu ya kujiwekea kumbukumbu Ili nisije nikasahau wanayotufanyia Watanzania kipindi hiki. Kwani iko wazi kipindi cha kampeni wanasiasa wanakuwa na lugha nzuri mno na ahadi zisizotekelezeka.

Orodha hii itanisaidia mimi na mtanzania yeyote atakayeona kuwa orodha hii Inamsaada kwake pia. Lakini pia naomba orodha iongezeke kadri itakavyoongezeka.

Pia orodha ipate muda wa kutosha wa kukaa hewani mpaka siku ya uchaguzi 2025 panapo majaliwa Kwa mwenye kufika siku hiyo akiwa hai na mzima wa Afya.

1. Tundu lissu - Mkimbizi, muongo muongo, hajui anachokihitaji, mtu mwenye ahadi za kurejea nchini Kila uchao na hazitimii. Huyu yupo tayari kuiingiza nchi kwenye utumwa na ukoloni kwa kujipendekeza kwa Wazungu.

2. Prof Ibrahimu Lipumba --- mbinafsi, anatumika kuuhujumu upinzani.

3. Mwigulu nchemba - Huyu jamaa janja janja akipewa nchi atawahamishia Watanzania wanaompinga Burundi, anaiharibu nchi Kwa kuwafisidi wananchi wanyonge wanaotafuta maisha kwa Tozo zake.

4. Edward lowassa - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya.

5 Frederick Sumaye - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya ananunulika kama alivyosema Hayati Julius Kambarage Nyerere akiwazungumzia wanasiasa wa namna hiyo.

6. Hashimu Rungwe - Ana upeo mdogo wa maono, mtazamo finyu na uwezo mdogo wa kufikiri.

7. Dr Bashiru Ally - ❌

8. Humphrey Polepole -❌ kihere here ,elimu haijamsaidia.

9. Prof. Sospeter Muhongo - Liprofesa liongo liongo linatumika vibaya na wanasiasa.

10. Palamagamba Kabudi - Lisomi uchwara mueneza propaganda,anatumika vibaya na wanasiasa elimu yake haijamsaidia.

11. Zitto Kabwe - Msomi uchwara mwenye njaa ya mafanikio binafsi kuliko ya umma. Yupo tayari kuuza utu wake linapokuja suala la masilahi binafsi.

12. January Makamba - Kiongozi mkubwa mwenye utoto mwingi, mbinafsi anafeli kusimamia Wizara ya Nishati kwa kujiona mjuaji na kutaka kushindana na legacy ya mzee Magufuli katika kuiboresha wizara hiyo. Huyu roho mbaya hafai.


Wagombea wengine ongezeeni ninyi,hii inaweza ikawasaidia kujitathimini huenda wakabadili mitazamo waliyonayo.
Hizo ni Dalili za kuelekea kwa mpalange
 
Maoni yangu binafsi kuelekea uchaguzi mkuu 2025. Hapa Nina orodha ya Watanzania wenzetu,wanasiasa ambao Kwa namna moja au nyingine huenda miongoni mwao watakuwepo wenye tamaa ya kutaka kuwania kiti cha urais uchaguzi mkuu utakapofika.

Hii ni sehemu yangu ya kujiwekea kumbukumbu Ili nisije nikasahau wanayotufanyia Watanzania kipindi hiki. Kwani iko wazi kipindi cha kampeni wanasiasa wanakuwa na lugha nzuri mno na ahadi zisizotekelezeka.

Orodha hii itanisaidia mimi na mtanzania yeyote atakayeona kuwa orodha hii Inamsaada kwake pia. Lakini pia naomba orodha iongezeke kadri itakavyoongezeka.

Pia orodha ipate muda wa kutosha wa kukaa hewani mpaka siku ya uchaguzi 2025 panapo majaliwa Kwa mwenye kufika siku hiyo akiwa hai na mzima wa Afya.

1. Tundu lissu - Mkimbizi, muongo muongo, hajui anachokihitaji, mtu mwenye ahadi za kurejea nchini Kila uchao na hazitimii. Huyu yupo tayari kuiingiza nchi kwenye utumwa na ukoloni kwa kujipendekeza kwa Wazungu.

2. Prof Ibrahimu Lipumba --- mbinafsi, anatumika kuuhujumu upinzani.

3. Mwigulu nchemba - Huyu jamaa janja janja akipewa nchi atawahamishia Watanzania wanaompinga Burundi, anaiharibu nchi Kwa kuwafisidi wananchi wanyonge wanaotafuta maisha kwa Tozo zake.

4. Edward lowassa - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya.

5 Frederick Sumaye - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya ananunulika kama alivyosema Hayati Julius Kambarage Nyerere akiwazungumzia wanasiasa wa namna hiyo.

6. Hashimu Rungwe - Ana upeo mdogo wa maono, mtazamo finyu na uwezo mdogo wa kufikiri.

7. Dr Bashiru Ally - [emoji777]

8. Humphrey Polepole -[emoji777] kihere here ,elimu haijamsaidia.

9. Prof. Sospeter Muhongo - Liprofesa liongo liongo linatumika vibaya na wanasiasa.

10. Palamagamba Kabudi - Lisomi uchwara mueneza propaganda,anatumika vibaya na wanasiasa elimu yake haijamsaidia.

11. Zitto Kabwe - Msomi uchwara mwenye njaa ya mafanikio binafsi kuliko ya umma. Yupo tayari kuuza utu wake linapokuja suala la masilahi binafsi.

12. January Makamba - Kiongozi mkubwa mwenye utoto mwingi, mbinafsi anafeli kusimamia Wizara ya Nishati kwa kujiona mjuaji na kutaka kushindana na legacy ya mzee Magufuli katika kuiboresha wizara hiyo. Huyu roho mbaya hafai.


Wagombea wengine ongezeeni ninyi,hii inaweza ikawasaidia kujitathimini huenda wakabadili mitazamo waliyonayo.
Mweke na baba yako pumbavu
 
Maoni yangu binafsi kuelekea uchaguzi mkuu 2025. Hapa Nina orodha ya Watanzania wenzetu,wanasiasa ambao Kwa namna moja au nyingine huenda miongoni mwao watakuwepo wenye tamaa ya kutaka kuwania kiti cha urais uchaguzi mkuu utakapofika.

Hii ni sehemu yangu ya kujiwekea kumbukumbu Ili nisije nikasahau wanayotufanyia Watanzania kipindi hiki. Kwani iko wazi kipindi cha kampeni wanasiasa wanakuwa na lugha nzuri mno na ahadi zisizotekelezeka.

Orodha hii itanisaidia mimi na mtanzania yeyote atakayeona kuwa orodha hii Inamsaada kwake pia. Lakini pia naomba orodha iongezeke kadri itakavyoongezeka.

Pia orodha ipate muda wa kutosha wa kukaa hewani mpaka siku ya uchaguzi 2025 panapo majaliwa Kwa mwenye kufika siku hiyo akiwa hai na mzima wa Afya.

1. Tundu lissu - Mkimbizi, muongo muongo, hajui anachokihitaji, mtu mwenye ahadi za kurejea nchini Kila uchao na hazitimii. Huyu yupo tayari kuiingiza nchi kwenye utumwa na ukoloni kwa kujipendekeza kwa Wazungu.

2. Prof Ibrahimu Lipumba --- mbinafsi, anatumika kuuhujumu upinzani.

3. Mwigulu nchemba - Huyu jamaa janja janja akipewa nchi atawahamishia Watanzania wanaompinga Burundi, anaiharibu nchi Kwa kuwafisidi wananchi wanyonge wanaotafuta maisha kwa Tozo zake.

4. Edward lowassa - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya.

5 Frederick Sumaye - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya ananunulika kama alivyosema Hayati Julius Kambarage Nyerere akiwazungumzia wanasiasa wa namna hiyo.

6. Hashimu Rungwe - Ana upeo mdogo wa maono, mtazamo finyu na uwezo mdogo wa kufikiri.

7. Dr Bashiru Ally - ❌

8. Humphrey Polepole -❌ kihere here ,elimu haijamsaidia.

9. Prof. Sospeter Muhongo - Liprofesa liongo liongo linatumika vibaya na wanasiasa.

10. Palamagamba Kabudi - Lisomi uchwara mueneza propaganda,anatumika vibaya na wanasiasa elimu yake haijamsaidia.

11. Zitto Kabwe - Msomi uchwara mwenye njaa ya mafanikio binafsi kuliko ya umma. Yupo tayari kuuza utu wake linapokuja suala la masilahi binafsi.

12. January Makamba - Kiongozi mkubwa mwenye utoto mwingi, mbinafsi anafeli kusimamia Wizara ya Nishati kwa kujiona mjuaji na kutaka kushindana na legacy ya mzee Magufuli katika kuiboresha wizara hiyo. Huyu roho mbaya hafai.


Wagombea wengine ongezeeni ninyi,hii inaweza ikawasaidia kujitathimini huenda wakabadili mitazamo waliyonayo.
ina maana ndio umesahau kumuweka Samila Sululu kwenye listi, una tabia za kichawaaa.
 
Kwanini usilale tu kuliko kutumia nishati na kupoteza muda wako na wale watakaohesabu madudu
 
Correction.Hashim Rungwe ni wakili msomi usimchukukie poa.aba kampuni ya uwakili.ni mtanzania wa kwanza kufungua kampuni ya kuuza magari ikiitwa Jaba miaka ya 90 ana upeo mkubwa na ana akili na ni msomi mwenye oesa yake.

Polepole hana elimu kama ulivyomuandika hapo
Bahari Motors.
 
Ccm wote wakae kando kwanza, hawa baadhi ya wanasiasa wa upinzani nao piga chini. Tutawachukua watu wasiokuwa na uroho wa siasa watuongoze.
Kiongozi yyte akileta uhuni ni JERA. Sio kustaafishwa
 
Mkuu upige kura usipige NEC tayari imesha andaa mkeka wote.
 
Maoni yangu binafsi kuelekea uchaguzi mkuu 2025. Hapa Nina orodha ya Watanzania wenzetu,wanasiasa ambao Kwa namna moja au nyingine huenda miongoni mwao watakuwepo wenye tamaa ya kutaka kuwania kiti cha urais uchaguzi mkuu utakapofika.

Hii ni sehemu yangu ya kujiwekea kumbukumbu Ili nisije nikasahau wanayotufanyia Watanzania kipindi hiki. Kwani iko wazi kipindi cha kampeni wanasiasa wanakuwa na lugha nzuri mno na ahadi zisizotekelezeka.

Orodha hii itanisaidia mimi na mtanzania yeyote atakayeona kuwa orodha hii Inamsaada kwake pia. Lakini pia naomba orodha iongezeke kadri itakavyoongezeka.

Pia orodha ipate muda wa kutosha wa kukaa hewani mpaka siku ya uchaguzi 2025 panapo majaliwa Kwa mwenye kufika siku hiyo akiwa hai na mzima wa Afya.

1. Tundu lissu - Mkimbizi, muongo muongo, hajui anachokihitaji, mtu mwenye ahadi za kurejea nchini Kila uchao na hazitimii. Huyu yupo tayari kuiingiza nchi kwenye utumwa na ukoloni kwa kujipendekeza kwa Wazungu.

2. Prof Ibrahimu Lipumba --- mbinafsi, anatumika kuuhujumu upinzani.

3. Mwigulu nchemba - Huyu jamaa janja janja akipewa nchi atawahamishia Watanzania wanaompinga Burundi, anaiharibu nchi Kwa kuwafisidi wananchi wanyonge wanaotafuta maisha kwa Tozo zake.

4. Edward lowassa - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya.

5 Frederick Sumaye - Huyu ni mwanasiasa Malaya Malaya ananunulika kama alivyosema Hayati Julius Kambarage Nyerere akiwazungumzia wanasiasa wa namna hiyo.

6. Hashimu Rungwe - Ana upeo mdogo wa maono, mtazamo finyu na uwezo mdogo wa kufikiri.

7. Dr Bashiru Ally - ❌

8. Humphrey Polepole -❌ kihere here ,elimu haijamsaidia.

9. Prof. Sospeter Muhongo - Liprofesa liongo liongo linatumika vibaya na wanasiasa.

10. Palamagamba Kabudi - Lisomi uchwara mueneza propaganda,anatumika vibaya na wanasiasa elimu yake haijamsaidia.

11. Zitto Kabwe - Msomi uchwara mwenye njaa ya mafanikio binafsi kuliko ya umma. Yupo tayari kuuza utu wake linapokuja suala la masilahi binafsi.

12. January Makamba - Kiongozi mkubwa mwenye utoto mwingi, mbinafsi anafeli kusimamia Wizara ya Nishati kwa kujiona mjuaji na kutaka kushindana na legacy ya mzee Magufuli katika kuiboresha wizara hiyo. Huyu roho mbaya hafai.


Wagombea wengine ongezeeni ninyi,hii inaweza ikawasaidia kujitathimini huenda wakabadili mitazamo waliyonayo.
Sawa BAVICHA wa Ufipa tumekusikia
 
Back
Top Bottom