Kuelekea 2025: Hawa wafuatao bora niharibu kura yangu kuliko kuwachagua

OI hao mimi sitokutananao

Mimi Samia Suluhu Hasani simpi Kura yanga hata iwejee bora niwape akina wakimbizi ,Bashiru ,Hashumu rungwe Polepole na
 
Una kiakili kiwango ya Lami.
Uliowataja wengi wanahusikanaje na CCM yako hivi unatarajia Lowasa aingie huko au Sumaye!
Rungwe (ubwabwa) si mpinzani kinakuwashia Nini?
Lissu anakuumiza kichwa kivile!!??
Lipumba si ndio CCM B!
Acha ujinga.
 
Tukamatie kwanza waliompiga risasi.Nala utwambie sababu za kushambuliwa kwake.Ulete tena zile CCTV footages na useme kwanini camera ziliondolewa na ni nani aliyeziondoa.
Nadhani hilo swali lazima Lissu alimuuliza mama walipo kutana huko Belgium. Sijui wala sikumbuki alimjibuje. Tatizo la viongozi wetu wa upinzani awamu hii ya 6 wamezidi kuimba sifa na mapambio huku wananchi wa kawaida tukiumia sana.
 
Una kiakili kiwango ya Lami.
Uliowataja wengi wanahusikanaje na CCM yako hivi unatarajia Lowasa aingie huko au Sumaye!
Rungwe (ubwabwa) si mpinzani kinakuwashia Nini?
Lissu anakuumiza kichwa kivile!!??
Lipumba si ndio CCM B!
Acha ujinga.
Unajiona kama unajua Sana kumbe uozo umejaza kichwa chako
 
Ongezea Mbowe hapo, atatuchukulia na kutembea na wake zetu wote kama alivyomchukua Joyce Mukya
Hivi katika kundi la wanaume, mkiambiwa mtoke mbele kweli mtatoka kwa akili za aina hii!

Yaani mwanaume aliyekamilika anaweza kweli kumsifia mwanaume mwenzake kwa kumchukua/kutembea na mke wake!! Halafu huyo Joyce Mukya alikuwa ni mke wako, mpaka akuume!!! Aina ndiyo zile tabia za wanaume suruali?

Kweli wanaume tumebakia wachache sana.
 
Ujinga mtupu!!! Ungeandika na uwatakao ili tujue huna uchama chama mana kwa haraka tu nishaona una uchama fulani ambao umeuficha kwa kuchimbia kichwa chini nakuacha matako juuu
 
Aliyekuambia Lowasa ana mpango wa kugombea hata uenyekiti wa kitongoji ni naani? Waache wazee wa watu wapumzike
 











bitozo
 
Hahahaaaaaa!, yaani Auto Pilot, aaaah hayo ni maskhara ndugu.
 
MPUMBAVU na UPUMBAFU wake
 
Mtoa mada hajajua kama Tanzania uchaguzi ni kiini macho.
Kwanini unashangilia matokeo au unaenda kupiga kura huku ukijua kuwa matokeo ni changa la macho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…