Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,057
- 1,882
Alafu huyu huyu Vuvuzera alituaminisha kuwa sasa ameachana na propaganda za kwenye mitandao ya kijamiiVuvuzela una vituko sana,
sasa huyo katibu wa CCM Monduli mnampokeaje ndani ya chama wakati tayari yupo huko ndani ya Chama na ni katibu wenu?
njia ya muongo ni fupi sana.