Kuelekea Uchaguzi, Mbinu zipi hutumika kuiba kura?

Kuelekea Uchaguzi, Mbinu zipi hutumika kuiba kura?

Ukienda kupiga kura utakuta namba yako haipo...wakati una kitambulisho na ulijiandikisha hapo hapo...wanakuwa tayar wameshaipigia..
 
Hatuwezi kujadili mambo yote Kwa pamoja,

Jikite kwenye mada.
Mada finyu, ukijikita hapo utatawaliwa milele.

Utataka kudhibiti wizi wa kura, wakati wenzako wanaiba uchaguzi.

Kama una nia ya kufanya maigizo, mada ni nzuri.

Kama una nia ya kuleta mabadiliko, mada haikusaidii sana.
 
Ukienda kupiga kura utakuta namba yako haipo...wakati una kitambulisho na ulijiandikisha hapo hapo...wanakuwa tayar wameshaipigia..
Ndiyo maana mimi nasema kujikita kwenye wizi wa kura wakati huangalii wizi wa uchaguzi ni kuangalia tatizo kwa kina kidogo.

Ni kutaka kutibu dalili za ugonjwa bila kuangalia chanzo cha ugonjwa.
 
Ukienda kupiga kura utakuta namba yako haipo...wakati una kitambulisho na ulijiandikisha hapo hapo...wanakuwa tayar wameshaipigia..
Cha kuchunguza ni kuwa,

Aliyekupigia kura atakuwa alikuja na kitambulisho chenye picha yake, namba za kwako, na Majina ni Yako.
 
Kwa maana hii ni kwamba hakuna maana saana ya wafuasi wa upinzani kujisumbua kupiga kura kabla mfumo haujabadilishwa?
Unapiga kura wakati mgombea mwenza kwenye tiketi ya urais kashakudharau mpiga kura mpaka anakwambia ukimpigia kura au usipompigia kura yeye ana uhakika wa kushinda, hapo unapiga kura iweje?

Rais wa sasa kashasema yeye ndiye rais mpaka 2030, kama vile 2025 hakuna uchaguzi, kashajihakikishia 2025 kapita, haombi kura, anawaambia yeye ndiye atakuwa rais mpaka 2030.

Na haya si maneno anayosema yeye tu. CCM wamepindua chaguzi tangu enzi za chama kimoja.

Unapiga kura iweje hapo?
 
Unapiga kura wakati mgombea mwenza kwenye tiketi ya urais kashakudharau mpiga kura mpaka anakwambia ukimpigia kura au usipompigia kura yeye ana uhakika wa kushinda, hapo unapiga kura iweje?

Rais wa sasa kashasema yeye ndiye rais mpaka 2030, kama vile 2025 hakuna uchaguzi, kashajihakikishia 2025 kapita, haombi kura, anawaambia yeye ndiye atakuwa rais mpaka 2030.

Na haya si maneno anayosema yeye tu. CCM wamepindua chaguzi tangu enzi za chama kimoja.

Unapiga kura iweje hapo?
Hata Kenya, Gambia, Zambia, Malawi, Ghana na Senegal ambako vyama tawala viliondolewa watawala walikuwa na kauli hizi hizi chin ya mifumo hiyo hiyo. Hakuna njia nyingine bora zaid ya kufanya mabadiliko ya nchi zaidi ya uchaguzi.
 
Hakuna wizi wa kura ni udanganyifu wa wapiga kura au kura za kudanganya. Maana yake mtu mmoja kupigia kura majina mengi. Sasa usiniulize inafanyikaje
 
Hata Kenya, Gambia, Zambia, Malawi, Ghana na Senegal ambako vyama tawala viliondolewa watawala walikuwa na kauli hizi hizi chin ya mifumo hiyo hiyo. Hakuna njia nyingine bora zaid ya kufanya mabadiliko ya nchi zaidi ya uchaguzi.
Watawala hawakuondolewa kwa wananchi kupiga kura kwenye mfumo ulioweza kuiba uchaguzi mzima.

Watawala waliondolewa kwa mbinu nyingi sana nyingine.

Na bila ku employ mbinu hizo, ukijikita kwenye kuzuia wizi wa kura, wakati watawala wana control sheria za uchaguzi zinazoruhusu mtu kuwa mbunge bila kupigiwa kura (kupita bila kupingwa, though I believe wanaiondoa hii sasa, wabunge wa kuteuliwa na rais, etc) unaweza kuzuia wizi wa kura ukaibiwa uchaguzi mzima.

Sipingi kuzuia wizi wa kura, kuzuia wizi wa kura kunaweza kuleta muamko kwa wapiga kura na kuibua mengi ambayo hatuyajui, kwa hiyo ni juhudi nzuri. Lakini, that is not strategic enough to make a difference.

Stalin anaripotiwa kusema "The people who cast the votes don't decide an election, the people who count the votes do."

There is an even better layer to this.

The people who decides who count the votes and control the election process control the whole thing.
 
IMG_20201029_122209.jpg
IMG_20201028_173703.jpg
IMG_20201027_171132.jpg
IMG_20201112_104731.jpg
IMG_20201027_222808.jpg
IMG_20201105_142029.jpg
 
Mojawapo ya mbinu zinazotumika kuiba kura ni;-

Masanduku ya kura kutoka vituo x, y, z, etc hubebwa na polisi huku yakisi dikizwa na wasimamizi wakuu. Gari ikifika polisi fataki inafyatuliwa na taharuki inatokea. Kuja kutulia unakuta tayari masanduku kadhaa yaliyojaa kura za maruhani yamepakiwa halafu yenye kura halali yameondolewa pasipo kuathiri idadi ya masanduku.
 
Hakuna wizi wa kura ni udanganyifu wa wapiga kura au kura za kudanganya. Maana yake mtu mmoja kupigia kura majina mengi. Sasa usiniulize inafanyikaje
Inaonekana unajua mengi,

Alama za wino vidoleni Huwa mnafutaje?
 
Salaam, Shalom!

Wakati tukielekea uchaguzi, vyama hutoa malalamiko kuwa wanaibiwa kura na kwakuwa tunapambana kuhakikisha, tunapata Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote, ni vyema tukazizua Mbinu waovu ambazo huzitumia kuiba kura.

Unapokaribia uchaguzi, kuna viongozi hupita nyumba hadi nyumba wakirekodi namba za vitambulisho vya wapiga kura, matumizi hasa ya namba hizo ni zipi?

Kinga ni Bora kuliko Tiba.

Karibuni [emoji120]
Vijana wa CCM wanakwenda kuanzisha fujo makusudi kituoni kwamba hawamtaki mpiga kura Fulani. Katikati ya fujo wanatokea Polisi na Kura kwenye mabegi. Sanduku linafunguliwa watu wote wakiwa nje ya kituo cha kupigia Kura. Polisi wanaweka Kura zilizopigwa tayari. Pengine wanaweka zaidi ya waliojiandikisha kwenye kituo ndo maana unakuta jumla ya Kura walizopata wagombea zinazidi waliojiandikisha.
 
Salaam, Shalom!

Wakati tukielekea uchaguzi, vyama hutoa malalamiko kuwa wanaibiwa kura na kwakuwa tunapambana kuhakikisha, tunapata Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote, ni vyema tukazizua Mbinu waovu ambazo huzitumia kuiba kura.

Unapokaribia uchaguzi, kuna viongozi hupita nyumba hadi nyumba wakirekodi namba za vitambulisho vya wapiga kura, matumizi hasa ya namba hizo ni zipi?

Kinga ni Bora kuliko Tiba.

Karibuni 🙏
Hakuna Wizi wa Kura unaofanyika. Neno Wizi ni neno linalotumiwa na Mwanasiasa kuwaaminisha Wafuasi wake kuwa ameibiwa kura ili waendelee kumuunga Mkono. Mfano kuna Chama kimoja Mgombea wake alisimimia Kituo cha Kupigia kura na Kwenye kituo hicho aliamini atapata kura nyingi lakini Matokeo yake akapata sifuri na akapota Kwenye vituo Vingine vikubwa akapna amepata kura ila amezidiwa. Hicho chama kilikuwa kimeahidiwa na Chama rafiki kule Ujerumn kuwa kikipata hata Mbunge Mmoja kitapewa Mkopo lakini kiliishia kupigwa. Walichokifanya wakaanza kumfukuzia kila Mmoja wamkamatishe kura feki nilichekaa sana ili watengeneze utetezi kwa wadhamini wao. Hizi Siasa acha tu ile nyie hizi fedha zitakuja kuuua Watu 🤣🤣🤣🤣
 
Kuna kuiba kura na kuiba uchaguzi.

Ukiwa na ujinga kama kupita bila kupingwa, ukiwa unateua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, ikiwa unachanganya resourves za serikali na chama kwenye uchaguzi, hapo unaiba uchaguzi, huibi kura tu.
Kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom