Kuelekea Uchaguzi, Mbinu zipi hutumika kuiba kura?

Kuelekea Uchaguzi, Mbinu zipi hutumika kuiba kura?

Msimsingizie,

Yeye hakuwahi kutuhumiwa kuiba kura,

Mfumo ulliiba uchaguzi,

Kuhusu kuiba kura, aliyenadi msemo wa BAO la mkono, anatakiwa achangie hapa.
Magufuri aliiba uchaguzi kwa kauli zake,matendo yake,matukio ya 2019 na 2020 siyo mfumo bali mwendakuzimu Magufuri.
 
Hakuna Wizi wa Kura unaofanyika. Neno Wizi ni neno linalotumiwa na Mwanasiasa kuwaaminisha Wafuasi wake kuwa ameibiwa kura ili waendelee kumuunga Mkono. Mfano kuna Chama kimoja Mgombea wake alisimimia Kituo cha Kupigia kura na Kwenye kituo hicho aliamini atapata kura nyingi lakini Matokeo yake akapata sifuri na akapota Kwenye vituo Vingine vikubwa akapna amepata kura ila amezidiwa. Hicho chama kilikuwa kimeahidiwa na Chama rafiki kule Ujerumn kuwa kikipata hata Mbunge Mmoja kitapewa Mkopo lakini kiliishia kupigwa. Walichokifanya wakaanza kumfukuzia kila Mmoja wamkamatishe kura feki nilichekaa sana ili watengeneze utetezi kwa wadhamini wao. Hizi Siasa acha tu ile nyie hizi fedha zitakuja kuuua Watu 🤣🤣🤣🤣
Niliyoyashuhudia na kuyaona 2020 sitakuja kusahau kamwe.
 
Watawala hawakuondolewa kwa wananchi kupiga kura kwenye mfumo ulioweza kuiba uchaguzi mzima.

Watawala waliondolewa kwa mbinu nyingi sana nyingine.

Na bila ku employ mbinu hizo, ukijikita kwenye kuzuia wizi wa kura, wakati watawala wana control sheria za uchaguzi zinazoruhusu mtu kuwa mbunge bila kupigiwa kura (kupita bila kupingwa, though I believe wanaiondoa hii sasa, wabunge wa kuteuliwa na rais, etc) unaweza kuzuia wizi wa kura ukaibiwa uchaguzi mzima.

Sipingi kuzuia wizi wa kura, kuzuia wizi wa kura kunaweza kuleta muamko kwa wapiga kura na kuibua mengi ambayo hatuyajui, kwa hiyo ni juhudi nzuri. Lakini, that is not strategic enough to make a difference.

Stalin anaripotiwa kusema "The people who cast the votes don't decide an election, the people who count the votes do."

There is an even better layer to this.

The people who decides who count the votes and control the election process control the whole thing.
Fact.
 
Hata Kenya, Gambia, Zambia, Malawi, Ghana na Senegal ambako vyama tawala viliondolewa watawala walikuwa na kauli hizi hizi chin ya mifumo hiyo hiyo. Hakuna njia nyingine bora zaid ya kufanya mabadiliko ya nchi zaidi ya uchaguzi.
huko si sw na tz , ccmu ameishika hii nchi na kutudumaza kiakili tofauti na huko kwingine mtu anakula mlo mmoja hlf anamshabikia mwizi wa 41B
 
2020 hapa mtaani kwetu kituo cha kupiga kura ilikuwa ofisi ya kitongoji. Siku ya kupiga kura badala ya kuwa na kituo kimoja, vikawa vitu vitatu- yaani watu wakapiga kura 1) ndani ya ofisi ya kitongoji, 2) ndani ya room nyingine iliyo kwenye jengo hilo na 3) kwenye
2020 hawakupora kura zilizopigwa na wapiga kura waliweka za kwao tu za wapiga kura wakazitupa majalalani.

Wewe hukuona wasimamizi walienda na mabegi yamejaa ballots?
 
2020 hawakupora kura zilizopigwa na wapiga kura waliweka za kwao tu za wapiga kura wakazitupa majalalani.

Wewe hukuona wasimamizi walienda na mabegi yamejaa ballots?
Ndiyo maana mimi nimesema katika mfumo ambao watu wanaiba uchaguzi mzima, mfumo wote wa uchaguzi wanauiba, ukijikita kuzuia wizi wa kura tu, unajikita kwenye sehemu ndogo tu ya tatizo, bado kuna sehemu kubwa watakupiga tu.
 
Ndiyo maana mimi nimesema katika mfumo ambao watu wanaiba uchaguzi mzima, mfumo wote wa uchaguzi wanauiba, ukijikita kuzuia wizi wa kura tu, unajikita kwenye sehemu ndogo tu ya tatizo, bado kuna sehemu kubwa watakupiga tu.
Uchaguzi wa 2020 wizi ulianzia kwenye kanuni za uchaguzi Tume ilizitengeneza zile kanuni kwa lengo la kuharibu uchaguzi na siyo kusimamia uchaguzi.

Tume ilikuwa inawachukulia wagombea wa upinzani kama wahalifu na haikuwa na ilikuwa inawezesha wafanyiwe kila aina ya uhalifu na wapinzani wao pamoja na wasimamizi wa uchaguzi.

Hizi Kanuni ziliandaliwa mahususi kwajili ya kufanikisha uhuni wa 2020 na tume yenyewe.View attachment 1595919061-SUPP GN NO 402 TEXT 5 JUNE 2020 - THE National Elections Regulations 15 May 2020.pdf
 
Ndiyo maana mimi nimesema katika mfumo ambao watu wanaiba uchaguzi mzima, mfumo wote wa uchaguzi wanauiba, ukijikita kuzuia wizi wa kura tu, unajikita kwenye sehemu ndogo tu ya tatizo, bado kuna sehemu kubwa watakupiga tu.
Hakika wizi wa kura pekee ni eneo dogo sana la madhaifu ya mifumo ya uchaguzi nchini na pengine huwa ni rahisi kudeal nalo kuliko mchakato wa uchaguzi wenyewe.

2020 kuna wagombea wa udiwani walienguliwa wakakata rufaa tume ya uchaguzi halafu barua za kurejeshwa kwao wakapewa siku tatu kabla ya uchaguzi.

Kuna wagombea wa ubunge walienguliwa wakakata rufaa kwenye tume halafu wakarejeshwa wiki kadhaa kabla ya uchaguzi mambo kama hayo yanaonesha wazi uchaguzi unakuwa hauna maana.
 
Uchaguzi wa 2020 wizi ulianzia kwenye kanuni za uchaguzi Tume ilizitengeneza zile kanuni kwa lengo la kuharibu uchaguzi na siyo kusimamia uchaguzi.

Tume ilikuwa inawachukulia wagombea wa upinzani kama wahalifu na haikuwa na ilikuwa inawezesha wafanyiwe kila aina ya uhalifu na wapinzani wao pamoja na wasimamizi wa uchaguzi.

Hizi Kanuni ziliandaliwa mahususi kwajili ya kufanikisha uhuni wa 2020 na tume yenyewe.View attachment 2939084
Naam,

Ndiyo maana nasisitiza kuangalia tatizo kimfumo, sio kuishia kwenye udhibiti wa wizi wa kura tu.

Kwa sababu kuna wagombea wameondolewa kwenye ugombea kwa sababu za kipuuzi sana ambazo zimo katika sheria na kanuni za uchaguzi. Kwa mikakati ya kisiasa.

Huwezi kudhibiti hiyo issue kwa kudhibiti wizi wa kura.
 
Salaam, Shalom!

Wakati tukielekea uchaguzi, vyama hutoa malalamiko kuwa wanaibiwa kura na kwakuwa tunapambana kuhakikisha, tunapata Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote, ni vyema tukazizua Mbinu waovu ambazo huzitumia kuiba kura.

Unapokaribia uchaguzi, kuna viongozi hupita nyumba hadi nyumba wakirekodi namba za vitambulisho vya wapiga kura, matumizi hasa ya namba hizo ni zipi?

Kinga ni Bora kuliko Tiba.

Karibuni [emoji120]
Vyakula vya Marekani ni bora zaidi kuliko unavyokula,unamkataa mzungu wewe kama nani wakati chanjo na madawa karibu yote unayotumia anatengeneza yeye?stop being stupid
 
CCM kwa wizi wa kura ni out of this world kabisa, jamaa hata aibu hawana, mimi huwa wananimaliza pale wanapotoka wakaanza kusherekea baada ya kujitangaza washindi kwa kuiba kura
Kutoka kushangilia ni Mbinu ya kimedani,

Ni kujaribu kuwaaminisha watu kuwa wao wameshinda kihalali na kuwadhoofisha walioibiwa ushindi wakate tamaa kuinuka kudai HAKI.
 
Kwa sasa hawana mbinu nyingine zaidi ya kupindua matokeo kwa nguvu ya NEC na vyombo vya Ulinzi Usalama.
 
Uchaguzi wa 2020 wizi ulianzia kwenye kanuni za uchaguzi Tume ilizitengeneza zile kanuni kwa lengo la kuharibu uchaguzi na siyo kusimamia uchaguzi.

Tume ilikuwa inawachukulia wagombea wa upinzani kama wahalifu na haikuwa na ilikuwa inawezesha wafanyiwe kila aina ya uhalifu na wapinzani wao pamoja na wasimamizi wa uchaguzi.

Hizi Kanuni ziliandaliwa mahususi kwajili ya kufanikisha uhuni wa 2020 na tume yenyewe.View attachment 2939084
Yote hiyo ilikuwa ni mipango ya Magufuri ili ionekane kuwa ccm inakubalika na Watanzania pamoja na yeye kazi zake kuwa ndiyo msingi wa vyama vya upinzani kushindwa kwenye box la kura.
 
Ukweli ndiyo kinachofanya Magufuri achukiwe ni uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019,Maneno yake ya shombo kwamba mkiweka upinzani sileti maendeleo na uchaguzi mkuu 2020
Yote hiyo ilikuwa ni mipango ya Magufuri ili ionekane kuwa ccm inakubalika na Watanzania pamoja na yeye kazi zake kuwa ndiyo msingi wa vyama vya upinzani kushindwa kwenye box la kura.
 
Back
Top Bottom