Kuelekea Uchaguzi, Mbinu zipi hutumika kuiba kura?

Kuelekea Uchaguzi, Mbinu zipi hutumika kuiba kura?

Salaam, Shalom!

Wakati tukielekea uchaguzi, vyama hutoa malalamiko kuwa wanaibiwa kura na kwakuwa tunapambana kuhakikisha, tunapata Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote, ni vyema tukazizua Mbinu waovu ambazo huzitumia kuiba kura.

Unapokaribia uchaguzi, kuna viongozi hupita nyumba hadi nyumba wakirekodi namba za vitambulisho vya wapiga kura, matumizi hasa ya namba hizo ni zipi?

Kinga ni Bora kuliko Tiba.

Karibuni 🙏
Wizi ni kitu kibaya sana... Tuukatae kwa nguvu zote. Tulinde kura zetu
 
Wizi ni kitu kibaya sana... Tuukatae kwa nguvu zote. Tulinde kura zetu
Kabla ya kulinda kura,

Tujue Mbinu zipi hutumika kuiba kura.

Baada ya hapo, tuhakikishe tutapata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.
 
Kabla ya kulinda kura,

Tujue Mbinu zipi hutumika kuiba kura.

Baada ya hapo, tuhakikishe tutapata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.
Katiba mpya or no katiba mpya inabidi kukataa wizi kwa kulinda. Pia kuwapa adhabu wezi watakaokamatwa
 
CCM illiiba uchaguzi.
CCM ilikuwepo tangu 1977 na haijawahi fanya upumbavu ilioufanya 2019 na 2020.Vile vile maisha ya CCM kabla ya 2015 hadi 2020 yalizingatia utu na Ahadi kumi za MWANA TANU ndiyo maana kila Raia aliifurahia hii nchi bila wasiwasi na alikuwa na uhuru wa kuchagua chama anachokipenda au mtu anayempenda bila kushurutishwa na mtawala.Aliyoyafanya Magufuri yanaendelea kumhukumu huko aliko.
 
Yote hiyo ilikuwa ni mipango ya Magufuri ili ionekane kuwa ccm inakubalika na Watanzania pamoja na yeye kazi zake kuwa ndiyo msingi wa vyama vya upinzani kushindwa kwenye box la kura.
Mpaka sasa tume ina watu wale wale waliofanikisha ule ushenzi kuna la maana hapo ?
 
Mbinu zipo nyingi Sana Hila zitumikazo ni hizi Sana Sana.
1. Mnasubiri wapiga kura wamepungua Yaani hile jioni kabisa, mnachokifanya mnachana zile kura mnaandika zile voter id na mnapiga kura nyie wasimamizi wa kituo lenu linakuwa Moja.
Kuhusu mawakala ambao wapo against nanyi Kuna figisu nyingi za kuwaangushia hili watoke kituoni mfanye yenu akiwa mbishi sana unamreport anapigwa zengwe aonekane ajatimiza kitu Fulani aenguliwe kwenye uwakala lango liwe wazi.
2. Wale wasiojua kusoma na kuandika na wale wote wa mahitaji maalumu, atakachokitaka kumsaidia unamsikiliza tu lakini utendi vile anavyotaka yeye unampigia kura mtu mliyepewa maagizo.
3. Mambo yakiwa magumu hizo balloon box za kura mlizopiga SI hizo zitakazohesabiwa zitaingia box zingine kabisa ambazo Zina kura zishapigwa na ni original kabisa hizo na Zina voter id number za kweli kabisa, watu nyuma yenu wanadata na wanafanya kazi wasimamizi wote mnapewa maagizo Kuna mtu analeta linguine mpeni Hilo mida ya jion mawakala hapo wanakuwa washapigwa zengwe au mlungura awatofanya foko. Hizi kura za madiwani na wabunge zinazoitaji matokeo ya haraka,
Zile za uraisi Huwa hazitiliwagwi mkazo sana na wapinzani hizi ni rahisi sana kuchakachua hizi Huwa zinachezewagwa siku ya pili baada ya uchaguzi kipindi watu wamepaniki na matokeo yanayoanza kutangazwa.
Zipo mbinu nyingi Sana
 
Mbinu zipo nyingi Sana Hila zitumikazo ni hizi Sana Sana.
1. Mnasubiri wapiga kura wamepungua Yaani hile jioni kabisa, mnachokifanya mnachana zile kura mnaandika zile voter id na mnapiga kura nyie wasimamizi wa kituo lenu linakuwa Moja.
Kuhusu mawakala ambao wapo against nanyi Kuna figisu nyingi za kuwaangushia hili watoke kituoni mfanye yenu akiwa mbishi sana unamreport anapigwa zengwe aonekane ajatimiza kitu Fulani aenguliwe kwenye uwakala lango liwe wazi.
2. Wale wasiojua kusoma na kuandika na wale wote wa mahitaji maalumu, atakachokitaka kumsaidia unamsikiliza tu lakini utendi vile anavyotaka yeye unampigia kura mtu mliyepewa maagizo.
3. Mambo yakiwa magumu hizo balloon box za kura mlizopiga SI hizo zitakazohesabiwa zitaingia box zingine kabisa ambazo Zina kura zishapigwa na ni original kabisa hizo na Zina voter id number za kweli kabisa, watu nyuma yenu wanadata na wanafanya kazi wasimamizi wote mnapewa maagizo Kuna mtu analeta linguine mpeni Hilo mida ya jion mawakala hapo wanakuwa washapigwa zengwe au mlungura awatofanya foko. Hizi kura za madiwani na wabunge zinazoitaji matokeo ya haraka,
Zile za uraisi Huwa hazitiliwagwi mkazo sana na wapinzani hizi ni rahisi sana kuchakachua hizi Huwa zinachezewagwa siku ya pili baada ya uchaguzi kipindi watu wamepaniki na matokeo yanayoanza kutangazwa.
Zipo mbinu nyingi Sana
Huo ni uongo kwa sababu muda huo wa kufanya hayo yote haupo.
 
ACT wamekamata kura fake Mtwara,

Wakati huu tunaambiwa amekamatwa nazo mkt wa uchaguzi,

Hii imekaaje kaaje?
 
ACT wamekamata kura fake Mtwara,

Wakati huu tunaambiwa amekamatwa nazo mkt wa uchaguzi,

Hii imekaaje kaaje?
Tukisema tunaambiwa waongo na hizo zinasemwa feki Kwa sababu bado hazijafanikiwa kuingia kituoni zikipenya hzo ni og autoweza zitofautisha
 
Tukisema tunaambiwa waongo na hizo zinasemwa feki Kwa sababu bado hazijafanikiwa kuingia kituoni zikipenya hzo ni og autoweza zitofautisha
Nijuavyo,

Wizi huu ni mpya, mara nyingi watumishi wa Tume wamekuwa hawahusiki direct kama hivi,

Inawezekana alishurutishwa, au mtu huyo ni wao, alikuwa pale kama pandikizi.
 
Nijuavyo,

Wizi huu ni mpya, mara nyingi watumishi wa Tume wamekuwa hawahusiki direct kama hivi,

Inawezekana alishurutishwa, au mtu huyo ni wao, alikuwa pale kama pandikizi.
Huo wizi ni comon ndugu Kuna chain kubwa Sana hapo ya vigogo wa juu. Ninauzoefu wa kusimamia chaguzi hizo maneno yanayotamba kwenye seminar ukienda kinyume nasi tunakufanga. Yaani fata maelekezo
Hizo kura sio feki ni og kabisa na zinakila kitu kinachopaswa kuthibitisha uhalali wake.
ni maagizo TU ndo mana kuna baadhi ya vyama waliumiza vichwa wakaja na mbinu za piga kura Rudi mita kadhaa subiri matokeo na iliwalipa kiasi mana hizo box utapitishia wapi na watawala wakaja na mbinu za kuwasambaza kuwA wanasababisha fujo wasikae maeneo ya vituo wanashindwa pitisha box zao za magendo.
Kuna mengi nimejionea Tanzania akuna uchaguzi tunapoteza muda .
Kuna vitu vingi vinapaswa kubalika.
siwezi shiriki uchaguzi ety mkurugenzi ndio msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo maelekezo mengi akuna haki hapo lazima nirudishe fadhila kwa anayenipa ugali
 
Back
Top Bottom