afisakipenyo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2020
- 445
- 777
Ndio maana walivyo kuwa wajinga waka upiga pin wakasahu sisi sio kizazi cha wajinga wajinga wa Lumumba
We ni CCM auMimi sipati instagram wala WhatsApp
Mmeanza uzushi sasa, mbona mimi naingia kabisa..?Mimi sipati instagram wala WhatsApp
Wengine vichwa vigumu kweli..tuelewesheni taratibu...haya mambo yanataka utaalamJF natumia kwa vpn bila kuzima chochote
ThanksDownload ata hii ipo poa View attachment 1613353
Hata tigo mzee wanatuletea uhanisi wao wanawaogopa activists wa Twitter,tangu jana usiku napambana wapi wanaajikuta wajanja sana wanaifungia halafu baada ya muda wanaachia then wanafunga tena,yaani wanafanya kungata na kupulizaWatumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Kumbe hata mimi ninaona telegram haipatikani, whatsapp nayo imekuwa mara msg zinaingia mara zinagoma siwez hata download kitu chochote whatsapp nilichotumiwa hata kiwe na kb 30Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Whatsapp pia wamefungaKumbe hata mimi ninaona telegram haipatikani, whatsapp nayo imekuwa mara msg zinaingia mara zinagoma siwez hata download kitu chochote whatsapp nilichotumiwa hata kiwe na kb 30
Inafanya kazi.
Asante sana!
Uoga umewazidiWhatsapp pia wamefunga
Hata instagram ilikuwa haifanyi kazi, nimewasha VPN ndo imekubali. Nikitumamsg yeneye maneno kama Kura haziendi, hata kupiga haziendiWhatsapp pia wamefunga
Uongo na upotoshaji.Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.