Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wakizima JF kama una VPN na internet ipo utaendelea kuipata JFWanaweza kuanza na JF kwanza kabla hawajafunga kila kitu[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakizima JF kama una VPN na internet ipo utaendelea kuipata JFWanaweza kuanza na JF kwanza kabla hawajafunga kila kitu[emoji4]
Wao watatumia nn sasa [emoji3]Baadae wanazima internet mazima ambapo VPN haitaweza kufanya kazi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina rahaa vibaya sana yaani![emoji23][emoji23][emoji23]Walianza kureport account wanaamka wanakuta verified [emoji23]
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Tumia proton vpnVpn gan ntumie jmn
siyo voda tu hata airtelWatumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Ndiyo
JF natumia kwa vpn bila kuzima chochoteNimewasha VPN twitter nikaingia vizuri tu, ila nilipojaribu kuingia Jamiiforum ikagoma ku access Jf, mpaka imebidi kuzima VPN ndo ikapata access. [emoji3526]
Kwanza lazima ujue ugumu wa kuwa verified mdio utatambua faida zake ! Kwenye terms na condition ili uwe verified ni lazima uwepo wa account yako kuwa verified ni kwa maslahi ya umma kwamba kuna kitu muhimu sana muhusika anacho so ni lazima awe verified ili kutrace uhalisia wa taarifa kwa maana nyingine zile fake DCMA report zilizotumwa na kusababisha zile account kuwa suspended! Watu wengi walirequest handle ya twitter support izifungue tena ndipo ulipoonekana umuhimu wa zile account kuwa verified kwa kifupi pale waliwapiga chura matekeMkuu kuwa verified ina faida gani?
Mchawi anaua ata wanae
😂😂😂😂 😂😂😂😂Walianza kureport account wanaamka wanakuta verified [emoji23]
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Hahah dah... walijua twitter wataunga juhudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walihisi kila mahali ni ofisi za Lumumba