Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia VPN mkuuNi nani anatuongoza sisi kutuamulia nini cha kufanya.
Mpaka sasa mitandao yote ya kijamii ishafungwa kuanzia Youtube, Whattsapp, Instagram, Telegram n.k..
Hujui propaganda zinaweza leta machafuko kwenye nchi?
Mi huwa natumia Uber na litlide kwenye mishe zangu nyingi lakini kuanzia jana mpaka Leo nimekwama... YouTube Mara ya mwisho kuingia nijana usiku nikiangalia vituko vya Simba dhidi ya Ruvu.. lakini leo Holaa...Nimekwazika sana
Uchumi utafanyaje?????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwangu whatsap iko poa
Idiot.Koma na hasira zako...Nchi hii iko vizuri ...kesho naenda kumpa JPM asibuhi na mapemaaaaaaaa
Tumieni VPN download kupitia computer
@ Barua ni confidential inakuwaje unafika humu JFHii inahusika VP na kufungia tweeter mkuu
No it is about National Security!!!Tanzania tumerudi nyuma miaka 60. Watu wanatumia njia haramu za kila namna ikiwemo wizi ili kung’ang’ania madaraka.
yaani wewe unafurahia ujinga aisee, yaani mtu anakunyima mawasiliano hata na ndugu zako wewe unafurahi, mpaka email zimefungiwa, wengine tunapokea kazi kupitia email, so patheticHapo ndiyo ujue kuwa wanawazidi kila kitu isipokuwa wanawaachaga tuu! Pigeni umbea wenu sasa.
Sitaki hata kuwachosha maana muda nao ni mali, kila nikipita twitter naona haifunguki na sio kawaida kila browser nayotumia wapi, huko kwako unaonaje? Ama kuna mambo nyuma ya dunia yanae
Jf wameshindwa, wame attemp several times bado imekuwa ngumuNo it is about National Security!!!
Usije shangaa kesho JF ikawa haiko hewani....kidding!!!!
😀😀😀😀😀
No it is about National Security!!!
Usije shangaa kesho JF ikawa haiko hewani....kidding!!!!
😀😀😀😀😀