1881Okoza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2022
- 693
- 949
Ukiwa mfanyabiashara kitu cha kwanza kabla ya vyote unatakiwa ujue mteja ni MFALME na MFALME anaweza akauliza au akataka kujua chochote kutoka kwako
Ungekua umesoma Customer care na Entrepreneur nadhani hio situation isingekupa shida maana ungejua una-deal na wateja wa aina ipi
Ungekua umesoma Customer care na Entrepreneur nadhani hio situation isingekupa shida maana ungejua una-deal na wateja wa aina ipi