Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

Ukiwa mfanyabiashara kitu cha kwanza kabla ya vyote unatakiwa ujue mteja ni MFALME na MFALME anaweza akauliza au akataka kujua chochote kutoka kwako

Ungekua umesoma Customer care na Entrepreneur nadhani hio situation isingekupa shida maana ungejua una-deal na wateja wa aina ipi
 
Mkuu tafuta kitu kingine ufanye. Biashara huwezi. Preferably ingia jeshi au tafuta makampuni ya ulinzi uombe kazi

Unalalamika maswali ya wateja? We ulitakaje yaani, mtu anunue tu bila kujiridhisha?

Kila mtu Hela yake inamuuma aisee, hakuna Hela za kutoa toa tu. Hata mtu akikuuliza swali lile lile mara elfu we mjibu. Acha kujiona matawi wakati Hela ya mteja unaitaka
Anaulizia maswali ya wateja ya kupuuzi, hivi mfano umeweka bei sawa bado kila anaye coment anataka umtajie bei na aljsha ona coment zingine umetaja bei, unafanyaje? Sikiliza wanunuaji huwa hawa coment pale ananyanyua simu anakupigia,

Huwa wanunuaji hawa coment hata siku 1, wale wanao.sumbua kwa coment sio wanunuaji wale
 
Wauzaji pia sio waaminifu.. ndo maana wateja tunakua na maswali mengi ili kujiridhisha na huduma mkuu..
Imagine kuna mzgo nmeagiza kutoka dar tangu J3 ya wiki iliyopita, ila cha ajabu mpaka leo muuzaji hajautuma.

Uaminifu wenu ni ZERO
Na hili ndio kubwa, wabongo na waafrika kwa ujumla uaminifu ni zero kabisaa, nishapoteza laki 4 kununua simu mtandaoni ambayo sikuipata
 
Sijawahi kuona wafanyabiashara wapuuzi kama wa Online katika hii nchi! Anaweka product na kazi yake tu ila specifications hamna na bei haweki anataka umpigie simu au uende inbox. Sasa unauza kitu ambacho thamani yake huijui ama! Hii tabia inakera mno mbadilike.
Ni mbuzi kabisa, wamejaa huko instagram
Yaani wanakera, ukiangalia biashara yenyewe anayoringia sasaa, 🤣🤣🤣
 
Mkuu tafuta kitu kingine ufanye. Biashara huwezi. Preferably ingia jeshi au tafuta makampuni ya ulinzi uombe kazi

Unalalamika maswali ya wateja? We ulitakaje yaani, mtu anunue tu bila kujiridhisha?

Kila mtu Hela yake inamuuma aisee, hakuna Hela za kutoa toa tu. Hata mtu akikuuliza swali lile lile mara elfu we mjibu. Acha kujiona matawi wakati Hela ya mteja unaitaka
Ngoja tuendelee kumpopoa mawe mkuu, maana wachuuzi wa namna hii wanazingua
Yaani anafanya biashara halafu anataka awe anatoa amri badala ya kujibu maswali ya wateja wake, watu wengine ni useless kabisa
 
Anaulizia maswali ya wateja ya kupuuzi, hivi mfano umeweka bei sawa bado kila anaye coment anataka umtajie bei na aljsha ona coment zingine umetaja bei, unafanyaje? Sikiliza wanunuaji huwa hawa coment pale ananyanyua simu anakupigia,

Huwa wanunuaji hawa coment hata siku 1, wale wanao.sumbua kwa coment sio wanunuaji wale
yaani kweli nimexprience sana hii wanunuaji hawanaga mbambamba nyingi.

mfano leo nimeweka bidhaa dada wa Tanga kainua tu simi kanipigia, then tumejadili delivery inakuaje. Mwisho nimemplekea bidhaa ndugu yake pesa nimepewa.
lakini nikionyesha hapa inbox kuna watu wana maswali kibao ambayo tayari kwenye tangazo majibu yapo mwisho wa siku hakuna wanunuaji.
watanzania nimewavulia kofia🙌😂😂😂
 
Ngoja tuendelee kumpopoa mawe mkuu, maana wachuuzi wa namna hii wanazingua
Yaani anafanya biashara halafu anataka awe anatoa amri badala ya kujibu maswali ya wateja wake, watu wengine ni useless kabisa
Hakuna anayekataa maswali mkuu maswali uanayajibu vzr tu.

ila how mtu unakuja kuuliza swali ambalo kwenye item description lishajibiwa tena kwa mpangilio unaosomeka vyema.

Unakuja unauliza maswali ya kiwaki tena. Serious?? Yaani kwa mtu serious unasoma maelezo tu pale kwenye tangazo.
me nategemea kama kuna miss information ndizo hizo mtu aje inbox anihoji. Sio unamsumbua mtu kwa maswali ambayo tayari maelezo yake yametolewa.
 
Kuna watoa huduma Wana nyodo balaa sio tu online business kila idara MBADILIKE
Mimi nimejiwekea kanuni, nikija dukani kwako usiponisikiliza siwezi kununua kwako, haiwezekani nitafute hela kwa Shida halafu kuitumia Tena iwe kwa Shida, mbona ukiingia Bar wale wahudumu wanakuuliza unachohitaji, Hawa wachuuzi wengine nyodo tu zimewajaa ilihali nao ni masikini
 
Hakuna anayekataa maswali mkuu maswali uanayajibu vzr tu.

ila how mtu unakuja kuuliza swali ambalo kwenye item description lishajibiwa tena kwa mpangilio unaosomeka vyema.

Unakuja unauliza maswali ya kiwaki tena. Serious?? Yaani kwa mtu serious unasoma maelezo tu pale kwenye tangazo.
me nategemea kama kuna miss information ndizo hizo mtu aje inbox anihoji. Sio unamsumbua mtu kwa maswali ambayo tayari maelezo yake yametolewa.
Mkuu ww jibu tu maswali, hiyo si ndio kazi yako inayokupatia ugali
Hakuna hela nyepesi, Kila kazi Ina ugumu wake
Ushajiuliza ugumu wanaoupata walimu, ungekua wewe si Ungeacha kazi kabisa
 
Mkuu wabongo kwenye online sio kabisa, na bado saaa kwenye Delivery hapo ndio balaaa, anakumbia mfano niletee kuku walio.chinjwa watatu dakika za mwisho ndio unampelekea anakumbia nimepata shida hapa nitachukua mmoja tu au wawili. Acha kabisa
Eeeboo...., kuna watu wanatia hasira sasa hao kuku wengine wameshanyonyolewa anatarajia upeleke wapi?
 
Sijawahi kuona wafanyabiashara wapuuzi kama wa Online katika hii nchi! Anaweka product na kazi yake tu ila specifications hamna na bei haweki anataka umpigie simu au uende inbox. Sasa unauza kitu ambacho thamani yake huijui ama! Hii tabia inakera mno mbadilike.

Kuna wengine wanafungua akaunti za biashara zao na wanajiweka status ya "private"...

Sasa unajiuliza huyu mpuuzi ana utofauti gani na mwendawazimu ambaye kajenga duka ndani ya fensi, na ili uweze kununua kitu lazima kwanza ugonge geti...
 
Mimi nimeacha kabisa kununua nguo, viatu na handbags online. Ptuuu Wabongo ni waongo rangi imewekwa filter, size za uongo, hata hand bag kwanini mtu asiweke hata rula kama kipimo. Unaagiza handbag kubwa kinakuja kidunchu cha kuchezea watoto.

[emoji23][emoji23]hii iliwahi nikuta mimi na rafiki tulijuta from there sitamani kuagiza vitu mtandaoni, mama yake rafiki yangu alituambia hizo handbag or vichupi.
 
Wateja watalaumiwa bure,
Ila Tatizo linaanzia kwa wauzaji wenyewe,

Wengi wao Hawana elimu ya marketing, maswali kdg mteja anakudadisi, tayar muuzaji ushapanic.

-Sasa asipokuuliza maswali wewe,unadhani atamuuliza Nani?

- Unadhani Kuna mjinga atatoa pesa mfukoni kirahisi kulipia bidhaa ambayo hajajiridhisha uhalali,ubora na uaminifu nayo?
Mie huwa nafanya direct selling ama door to door kuna ambao nafunga nao biashara mapema ila kuna ambaye lazma upoteze zaidi ya dakika 20!

Na still anaweza chomoa ila treatment yangu huwa sawa kwa siku nahudumia more than 25 Outlets. Ukiwa charismatic unauza zaidi japo sio kila mtu atanunua maana kuna ambao hela hawana.
 
Mimi nimejiwekea kanuni, nikija dukani kwako usiponisikiliza siwezi kununua kwako, haiwezekani nitafute hela kwa Shida halafu kuitumia Tena iwe kwa Shida, mbona ukiingia Bar wale wahudumu wanakuuliza unachohitaji, Hawa wachuuzi wengine nyodo tu zimewajaa ilihali nao ni masikini
Yah mkuu ndio maan biashara za Bar znafanikiw sana kuliko hata awa wengine,biashara pekee haitoshi bila kuwekeza ukarimu kwa wateja
 
Hakuna anayekataa maswali mkuu maswali uanayajibu vzr tu.

ila how mtu unakuja kuuliza swali ambalo kwenye item description lishajibiwa tena kwa mpangilio unaosomeka vyema.

Unakuja unauliza maswali ya kiwaki tena. Serious?? Yaani kwa mtu serious unasoma maelezo tu pale kwenye tangazo.
me nategemea kama kuna miss information ndizo hizo mtu aje inbox anihoji. Sio unamsumbua mtu kwa maswali ambayo tayari maelezo yake yametolewa.
Tena nakuona wew una kijitabia ,wateja watakukataa
 
Back
Top Bottom